Hakika upinzani upo kimaslahi binafsi!
Hakuna chama cha upinzani chenye nia ya kushika dola!
Hata rais mbele ya bawacha alilisisitiza hilo, siyo kwamba alitania, ukweli ndiyo huo! Kelele za upinzani huwa ni za kutafta shibe hakuna chama hata kimoja chenye nia ya kushika dola kwa sasa!
Katika mazungumzo ya maridhiano na CCM mtashuhudia Viongozi wa upinzani wakiropoka hoja za kipuuzi ili kuipa nguvu CCM.
1. Alianza Godbless LEMA Kufuta Bodaboda na hii hoja ya hovyo CCM wamenufaika nayo.
2. Msigwa naye kaleta hoja nyingine ya kipuuzi kwamba shule zote nchini ziwe day! Yaani tufute KIBAHA BWENI, TUFUTE ILBOLU BWENI, TUFUTE TABORA BWENI, TUFUTE BWIRU BWENI, TUFUTE MOSHI TECHNICAL BWENI, TUFUTE IFUNDA BWENI, LYAMUNGO,TOSA, OLDMOSHI. Shule Zoooote za bweni tufute!Ukiuliza ni kwanini majibu eti zinaleta Ushoga!
Yaani viongozi wa sampuli hii ni wa hovyo kabisa! Yaani kila changamoto suruhisho lake ni kufuta!? Wangapi tumepitia hizo shule mbona hatujawahi kuwa mashoga? Wangapi tumepita hizo shule hatukuvuta hata bangi!
Mimi nimesoma bweni najua umhimu wa bweni kuna faida nyingi:
1. Inapunguza mzigo kwa wazazi
2. Inapunguza usumbufu na hatari kwa mtoto
3. Inapunguza mimba za utotoni
4. Inaongeza Socialism kwa vijana
5. Inafudisha stadi za maisha ya kujitegemea
6. Unafundisha ukakamavu
7. Inaweza kuwa chachu ya kuibua vipaji kirahisi kwa vijana kushiriki michezo mingi
8. Ni rahisi walimu kuwasiliana na wanafunzi namna ya kuwasaidia
9. Zinakuza watoto kiimani (kujifunza kusali) n.k
Katika wanafunzi elfu 10 hata ikitokea mashoga wakipatikana 10 haiwezi kuwa chanzo cha kufuta bweni mkumbuke kuna wazima elfu 9990 walio bora.
Ukweli ni kwamba Upinzani wameahidiwa kupewa majimbo yao katika uchaguzi ifikapo 2025! Ili waendelee kutimiza Akidi ya Bunge, biashara zao zilindwe, ruzuku n.k
Tutarajie usalama wa taifa wengi ingizo jipya litajiunga na siasa kupitia upinzani. HAKUNA UPINZANI TANZANIA WENYE MPANGO WA KUSHIKA DOLA!
Chimbuko la upinzani mwalimu nyerere aliruhusu uwepo ili watu wenye mawazo mbadala wapate majukwaa ya kusemea lakini siyo kuongoza nchi!
Chama cha upinzani hakipo kwa sasa labda sheria ya vyama vya siasa iundwe upya, na katiba iundwe upya
Kwa sasa upinzani wameramba asali wataropoka ujinga mwingi kwa maslahi yao na mali zao!
Upuuzi wa LEMA KWENYE HOJA YA BODABODA huu hapa.
Hakuna chama cha upinzani chenye nia ya kushika dola!
Hata rais mbele ya bawacha alilisisitiza hilo, siyo kwamba alitania, ukweli ndiyo huo! Kelele za upinzani huwa ni za kutafta shibe hakuna chama hata kimoja chenye nia ya kushika dola kwa sasa!
Katika mazungumzo ya maridhiano na CCM mtashuhudia Viongozi wa upinzani wakiropoka hoja za kipuuzi ili kuipa nguvu CCM.
1. Alianza Godbless LEMA Kufuta Bodaboda na hii hoja ya hovyo CCM wamenufaika nayo.
2. Msigwa naye kaleta hoja nyingine ya kipuuzi kwamba shule zote nchini ziwe day! Yaani tufute KIBAHA BWENI, TUFUTE ILBOLU BWENI, TUFUTE TABORA BWENI, TUFUTE BWIRU BWENI, TUFUTE MOSHI TECHNICAL BWENI, TUFUTE IFUNDA BWENI, LYAMUNGO,TOSA, OLDMOSHI. Shule Zoooote za bweni tufute!Ukiuliza ni kwanini majibu eti zinaleta Ushoga!
Yaani viongozi wa sampuli hii ni wa hovyo kabisa! Yaani kila changamoto suruhisho lake ni kufuta!? Wangapi tumepitia hizo shule mbona hatujawahi kuwa mashoga? Wangapi tumepita hizo shule hatukuvuta hata bangi!
Mimi nimesoma bweni najua umhimu wa bweni kuna faida nyingi:
1. Inapunguza mzigo kwa wazazi
2. Inapunguza usumbufu na hatari kwa mtoto
3. Inapunguza mimba za utotoni
4. Inaongeza Socialism kwa vijana
5. Inafudisha stadi za maisha ya kujitegemea
6. Unafundisha ukakamavu
7. Inaweza kuwa chachu ya kuibua vipaji kirahisi kwa vijana kushiriki michezo mingi
8. Ni rahisi walimu kuwasiliana na wanafunzi namna ya kuwasaidia
9. Zinakuza watoto kiimani (kujifunza kusali) n.k
Katika wanafunzi elfu 10 hata ikitokea mashoga wakipatikana 10 haiwezi kuwa chanzo cha kufuta bweni mkumbuke kuna wazima elfu 9990 walio bora.
Ukweli ni kwamba Upinzani wameahidiwa kupewa majimbo yao katika uchaguzi ifikapo 2025! Ili waendelee kutimiza Akidi ya Bunge, biashara zao zilindwe, ruzuku n.k
Tutarajie usalama wa taifa wengi ingizo jipya litajiunga na siasa kupitia upinzani. HAKUNA UPINZANI TANZANIA WENYE MPANGO WA KUSHIKA DOLA!
Chimbuko la upinzani mwalimu nyerere aliruhusu uwepo ili watu wenye mawazo mbadala wapate majukwaa ya kusemea lakini siyo kuongoza nchi!
Chama cha upinzani hakipo kwa sasa labda sheria ya vyama vya siasa iundwe upya, na katiba iundwe upya
Kwa sasa upinzani wameramba asali wataropoka ujinga mwingi kwa maslahi yao na mali zao!
Upuuzi wa LEMA KWENYE HOJA YA BODABODA huu hapa.
Kama siyo kukihujumu chama kimaridhiano, nitakuwa wa mwisho kuamini Lema na CHADEMA wana ajenda ya kuifuta Bodaboda
Sikutaka kuchambua hili, sikutaka kuchambua kwasababu namheshimu sana Godbless lema! Nikiongozi mzuri na amekuwa na maono mengi mazuri! Pamoja na yote hayo! Namna Lema alivyoanzisha kampeni ya kupinga bodaboda na vikoba kakengehuka kidogo! Anayo nia njema kabisa kiufupi ingekuwa ni wimbo basi...
www.jamiiforums.com