Nataka nifumue ukweli kuhusu 666

Nataka nifumue ukweli kuhusu 666

Kama kuna ummah kwa nni usimfuate Mussa ambaye alikuwepo kabla ya issa?
Hekima yako ndogo ...swali ...mungu akisema leo watu wote wavae nguo nyeusi na baada ya siku 5 mungu akasema sasa watu wote wavae nguo nyeupe je ni amri ipo utakayo endelea kuifuata ile ya mwanzo au hii ya pili ....hivyo ilitakiwa mudi awe mkristo kwanza maana ndiyo kitabu kilicho kuwepo cha mwisho na ukristo umkuze hadi kufikia daraja la utume ndiyo naye alete mwongozo wa kitabu kipya
 
. Mnyama ana jina lenye namba 666.

Ufunuo 13:17 “tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, ispokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.”

Ufunuo 13:18 “Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinaadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.”

Biblia inatuambia kuwa hesabu au namba ya jina la mnyama ni 666

Kanisa la Romani Katoliki hudai kuwa Papa ni kichwa cha kanisa au mwakilishi wa Yesu.

“Maneno yaliyoandikwa katika kofia (miter) ya Papa ni haya, ‘VICURIUS FILII DEI’. ambayo ni ya kilatini kwa ajili ya ‘KASISI WA MWANA WA MUNGU’. Wakatoliki huchukulia kwamba kanisa, ambalo ni jumuiya ya kuonekana, lazima liwe na kichwa cha kuonekana. Kristo, kabla ya kupaa kwake kwenda mbinguni, alimteua M.t. Petro kuwa kama mwakilishi wake…hata hivyo Askofu wa Roma, kama kichwa cha kanisa, alipewa jina ‘KASISI WA YESU.'” –Our Sunday Visitor, (Catholic Weekly) “Bureau of information,” Huntington, Ind., April 18, 1915.

Kwa hiyo “VICARIUS FILII DEI” ndilo jina linalotumiwa na mamlaka ya Upapa na kumthibitisha Papa kama kichwa cha kanisa.

Helufi za kilatini zinaweza kutumika pia kama namba, na siku hizi hujulikana kama “Namba za Kirumi,” na helufi U inaweza pia kutumika kama V.


VICARIVS FILII DEI”

(Kasisi wa Mwana wa Mungu)

V...............................5
I.................................1
C.......................... 100
A..............................0
R,.............................0
I................................1
V.............................5
S.............................0
F..............................0
I................................1
L.............................50
I...............................1
I................................1
D..........................500
E..............................0
I.................................1
Jumla =666

Vicarius inamaanisha, katika nafasi ya
Filii Mwana
Dei Mungu
Hivyo, kanisa la Romani Katoliki linatimiza unabi huu wa hesabu ya mnyama 666 kwa ukamilifu kabisa.

11. Onyo la Mungu kwa wote walio katika kanisa katoliki.

Mungu anaoya vikali sana juu ya wale wote ambao wanashirikiana na mnyama huyu, kama wewe ni mmojawapo unapaswa kuchukua uamuzi sahihi sasa bila kupoteza muda; kwa maana hukumu itakuja juu ya mnyama na yule kahaba (kanisa Katoliki) aliyekaa juu mnyama. Hili ni onyo la mwisho la upendo na la rehema kutoka kwa Mungu.

Ufunuo 14:9-10. “Na mwingine, malaika watatu, akafuata, akisema kwa sauti kuu, Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake, yeye naye atakunywa katika mvinyo ya gadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele za Mwana-Kondoo.”

Ufunuo 19:20 “Yule mnyama akakamatwa, na yule nabii wa uongo pamoja naye, yeye aliyezifanya hizo ishara mbele yake, ambazo kwa hizo aliwadanganya watu wale walioipokea ile chapa ya huyo mnyama, nao walioisujudia sanamu yake; hao wawili wakatupwa wangali hai katika lile ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti;”

Ufunuo 18:4 “Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake. Kwa maana dhambi zake zimefika hata mbinguni, na Mungu amemkumbuka maovu yake…Kwa sababu hiyo mapigo yake yatakuja katika siku moja, mauti, na huzuni, na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto. Kwa maana Bwana Mungu aliyemuhukumu ni mwenye nguvu

KARIBU KWA MJADALA.
Inafikirisha
 
. Mnyama ana jina lenye namba 666.

Ufunuo 13:17 “tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, ispokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.”

Ufunuo 13:18 “Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinaadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.”

Biblia inatuambia kuwa hesabu au namba ya jina la mnyama ni 666

Kanisa la Romani Katoliki hudai kuwa Papa ni kichwa cha kanisa au mwakilishi wa Yesu.

“Maneno yaliyoandikwa katika kofia (miter) ya Papa ni haya, ‘VICURIUS FILII DEI’. ambayo ni ya kilatini kwa ajili ya ‘KASISI WA MWANA WA MUNGU’. Wakatoliki huchukulia kwamba kanisa, ambalo ni jumuiya ya kuonekana, lazima liwe na kichwa cha kuonekana. Kristo, kabla ya kupaa kwake kwenda mbinguni, alimteua M.t. Petro kuwa kama mwakilishi wake…hata hivyo Askofu wa Roma, kama kichwa cha kanisa, alipewa jina ‘KASISI WA YESU.'” –Our Sunday Visitor, (Catholic Weekly) “Bureau of information,” Huntington, Ind., April 18, 1915.

Kwa hiyo “VICARIUS FILII DEI” ndilo jina linalotumiwa na mamlaka ya Upapa na kumthibitisha Papa kama kichwa cha kanisa.

Helufi za kilatini zinaweza kutumika pia kama namba, na siku hizi hujulikana kama “Namba za Kirumi,” na helufi U inaweza pia kutumika kama V.


VICARIVS FILII DEI”

(Kasisi wa Mwana wa Mungu)

V...............................5
I.................................1
C.......................... 100
A..............................0
R,.............................0
I................................1
V.............................5
S.............................0
F..............................0
I................................1
L.............................50
I...............................1
I................................1
D..........................500
E..............................0
I.................................1
Jumla =666

Vicarius inamaanisha, katika nafasi ya
Filii Mwana
Dei Mungu
Hivyo, kanisa la Romani Katoliki linatimiza unabi huu wa hesabu ya mnyama 666 kwa ukamilifu kabisa.

11. Onyo la Mungu kwa wote walio katika kanisa katoliki.

Mungu anaoya vikali sana juu ya wale wote ambao wanashirikiana na mnyama huyu, kama wewe ni mmojawapo unapaswa kuchukua uamuzi sahihi sasa bila kupoteza muda; kwa maana hukumu itakuja juu ya mnyama na yule kahaba (kanisa Katoliki) aliyekaa juu mnyama. Hili ni onyo la mwisho la upendo na la rehema kutoka kwa Mungu.

Ufunuo 14:9-10. “Na mwingine, malaika watatu, akafuata, akisema kwa sauti kuu, Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake, yeye naye atakunywa katika mvinyo ya gadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele za Mwana-Kondoo.”

Ufunuo 19:20 “Yule mnyama akakamatwa, na yule nabii wa uongo pamoja naye, yeye aliyezifanya hizo ishara mbele yake, ambazo kwa hizo aliwadanganya watu wale walioipokea ile chapa ya huyo mnyama, nao walioisujudia sanamu yake; hao wawili wakatupwa wangali hai katika lile ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti;”

Ufunuo 18:4 “Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake. Kwa maana dhambi zake zimefika hata mbinguni, na Mungu amemkumbuka maovu yake…Kwa sababu hiyo mapigo yake yatakuja katika siku moja, mauti, na huzuni, na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto. Kwa maana Bwana Mungu aliyemuhukumu ni mwenye nguvu

KARIBU KWA MJADALA.
Huuu ni uendawazimu kama wa pastor wa Kenya
 
Hekima yako ndogo ...swali ...mungu akisema leo watu wote wavae nguo nyeusi na baada ya siku 5 mungu akasema sasa watu wote wavae nguo nyeupe je ni amri ipo utakayo endelea kuifuata ile ya mwanzo au hii ya pili ....hivyo ilitakiwa mudi awe mkristo kwanza maana ndiyo kitabu kilicho kuwepo cha mwisho na ukristo umkuze hadi kufikia daraja la utume ndiyo naye lete mwongozo wa kitabu kipya
😂😂😂so Muhamad alizaliwa zama za issah tambua ukristo kaanzisha paulo na sio yesu ..

Niambia Mussa alikuwa dini gani na Ibrahimu..
 
Huyu kacopy mahali ni kwamba hamna muunganiko kabisa
Ni vema na wewe ukampinga kwa hoja/facts mkuu, lengo ni kuelemishana! Naamini 99.9% kama siyo 100% ya wanajamvi wrote humu tuna utashi. Wenye kutafakari watabainisha!
 
so Muhamad alizaliwa zama za issah tambua ukristo kaanzisha paulo na sio yesu ..

Niambia Mussa alikuwa dini gani na Ibrahimu..
Kwahiyo unapingana na mudi maana yeye alipokuwa anawaelezea waislamu kuhusu uma wa mitume ndiyo alisema hivyo ...pia mimi nilikuwa nazungumzia injili kwanini mudi akuwa mfuasi wa kitabu cha injili kabla ya kuwa mtume maana injili ndiyo kitabu cha mwisho kabla ya mudi kuja duniani
 
Ukiwa na pesa hauwazi upuuzi kama huu,unafikiria leo nikale Serena au kesho nikale dubai lunch,mzee fremanson ni nzuri sana ebu fikiria watu wote maarafu wapo huko,tatizo upati connection nzuri ongea na watu vinzuri.
Alafu usiogope kutolewa kafara hakuna fremanson anayetoa kafara,yote hayo ni hoja zilitengenezwa na watu ili kuifanya fremanson kuonekana mbaya..

Mtu asikuambie ndugu zangu watatu wapo huko yani bongo kuwaona nadira safari zao sasa leo utasikia wanakuambia tupo Canada baad ya siku 5 wanakuambia tupo China yani kwao ni bata juu ya bata.
Alafu hakuna masharti ya kutoa mtu uhai hakuna kitu kama hicho.

Labda niwaelekeze kitu kuna ela za freemanson na kuna ela za kafara au majini hapo unatakiwa uelewe..
Sio unasema freemanson vibaya sisi kwetu ni taasisi kama zilivyo Bank au makanisa.

Freemanson hakuna kafara yeyote eti mtu anakuambia ukienda kuku anatupiwa punje za mahindi akidonoa 3 eti unaishi miaka 3 ya utajiri sio kweli.

Ukijiunga nao wanakupa pesa za maana ni kama mtaji,utawaambia unataka kufanya biashara au uekezaji.
Then wanakupa mtu aliyefanikiwa kwenye hiyo ishu unayotaka kufanya,huyo mtu anakuwa anakusimamia kwenye kila kitu..

yani baada ya miezi kadhaa mafanikio yanakutembelea sana,unaporudi kwao wanakuongezea mpunga mrefu sana,wanakuambia uwe unarudisha kiasi fulani kwenye ile pesa waliokupa.
Maana kuna wengine wanatakiwa kupewa kama wewe.

Wenzetu Nigeria,South Africa na nchi kibao tu walishutukia hii fursa mda mrefu ndo maana sasa hivi wana run africa yote.

Freemansons sio mbaya wala hawatoi kafara, ile ni taasisi
Nadhani nimeeleweka kama mtakuwa na maswali nitayajibu hapa hapa
Sindio hapo maana nachojua Dunia hili hakuna Cha Bure hata taka taka inauzwa
"Ukijiunga nao wanakupa pesa za maana ni kama mtaji,utawaambia unataka kufanya biashara au uekezaji."

Malipo ni yapi utakayotakiwa kutoa?
 
Kila kitu duniani ni namba,mpangilio wa ulimwengu huu tuliopo ni namba kuanzia kuzaliwa hadi siku ya kuondoka ulimwengu huu,na elimu hii Kwa anayeifahamu sio tu kujua hesabu ila pia aweze kuzichanganua hesabu hizo,No wonder Bible inasema hesabu 666 ni rahisi tu kibinadamu ila watu wanafungua hadi Uzi,Hesabu na mahesabu si Kwa kila mtu ndio maana ukiskia mtaalamu wa hesabu ogopa,na hesabu hasa ndilo somo linalo ongoza Kwa watu kufell probably,kuna ukweli nliusoma sehemu kuhusu ulimwengu na namba nikiuleta hapa wa Africa hawako tayari Bado Kwa mapokeo.Bado wako brainwashed na wazungu,tusubiri tu tutajioneaga mbele huko
 
Kwanza kabisa tambueni chapa hii ya mnyama ya 666 kwa mujibu wa Biblia, haimaanishi na haihusiani kabisa na papa na Ukatoliki. Yaani ni mbingu na ardhi.

Pia chapa hii ya 666 haihusiani kabisa na taifa la Marekani. Ni kama mbingu na ardhi. Haihusiani na CORONA wala ugonjwa wowote.
Omba ufundishwe

Tueleze hapa mnyama wa 666 ni Nani ,Mimi naweza kukueleza Aya kwa kwa Aya kitabu Cha UFUNUO sura yoyote ile unayoitaka kwa evidence za kibiblia na kihistoria ya zaman had Sasa


Kina Martin Luther,John cavin, John Knox, William Tyndale , Sir Isack Newton,n.k wote walichunguza na kusoma kitabu Cha UFUNUO na Daniel wakatambua Upapa(Papacy system) ndiye mpinga kristo ,


Wewe leo unasali kwa mwamposa unauziwa Mafuta na udongo,unakula nguruwe na ndizi mbili , Unasema 666 Papa hahusiki


Unasema UFUNUO 13 ,USA haihusiki


Ndio maana mnatapeliwa Sana , hamtaki kusoma Biblia
 
Omba ufundishwe

Tueleze hapa mnyama wa 666 ni Nani ,Mimi naweza kukueleza Aya kwa kwa Aya kitabu Cha UFUNUO sura yoyote ile unayoitaka kwa evidence za kibiblia na kihistoria ya zaman had Sasa


Kina Martin Luther,John cavin, John Knox, William Tyndale , Sir Isack Newton,n.k wote walichunguza na kusoma kitabu Cha UFUNUO na Daniel wakatambua Upapa(Papacy system) ndiye mpinga kristo ,


Wewe leo unasali kwa mwamposa unauziwa Mafuta na udongo,unakula nguruwe na ndizi mbili , Unasema 666 Papa hahusiki


Unasema UFUNUO 13 ,USA haihusiki


Ndio maana mnatapeliwa Sana , hamtaki kusoma Biblia
"Kina Martin Luther,John cavin, John Knox, William Tyndale , Sir Isack Newton,n.k wote walichunguza na kusoma kitabu Cha UFUNUO na Daniel wakatambua Upapa(Papacy system) ndiye mpinga kristo"

Kwa hiyo kwa sababu walisoma hao uliowataja ndiyo unaamini kuwa upapa ni upinga kristo? Lete vifungu vya biblia na uchambue hapa.
 
Omba ufundishwe

Tueleze hapa mnyama wa 666 ni Nani ,Mimi naweza kukueleza Aya kwa kwa Aya kitabu Cha UFUNUO sura yoyote ile unayoitaka kwa evidence za kibiblia na kihistoria ya zaman had Sasa


Kina Martin Luther,John cavin, John Knox, William Tyndale , Sir Isack Newton,n.k wote walichunguza na kusoma kitabu Cha UFUNUO na Daniel wakatambua Upapa(Papacy system) ndiye mpinga kristo ,


Wewe leo unasali kwa mwamposa unauziwa Mafuta na udongo,unakula nguruwe na ndizi mbili , Unasema 666 Papa hahusiki


Unasema UFUNUO 13 ,USA haihusiki


Ndio maana mnatapeliwa Sana , hamtaki kusoma Biblia
Thibitisha kuwa USA inahusika kupitia maandiko, thibitisha kula kitimoto na ndizi mbili ni 666 kwa vifungu vya maandiko ya BIBLIA.

Mkuu kwa arguments zako naona ni kama wewe ndiyo unatakiwa ueleweshwe, upo kwenye giza zito.
 
Mnyama ni utawala wa Roma na dini Yao ya ukristo

Mathayo 24:15
Basi hapo mtakapoliona chukizo la uharibifu, lile lililonenwa na nabii Danieli, limesimama katika patakatifu (asomaye na afahamu),

Yesu anawambia Wayahudi mtaliona chukuzo la uharibifu lililonenwa na nabii Daniel

Je! Daniel alisemaje?

Danieli 7:23
Akanena hivi, Huyo mnyama wa nne atakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia, utakaokuwa mbali na falme zile zote, nao utakula dunia yote, na kuikanyaga, na kuivunja vipande vipande.

HUYO MNYAMA HAPO JU NI DORA YA ROMAN

Danieli 7:24
Na habari za zile pembe kumi, katika ufalme huo wataondoka wafalme kumi; na mwingine ataondoka baada ya hao; naye atakuwa mbali na hao wa kwanza; naye atawashusha wafalme watatu.

Daniel anaendelea kusema huyo mnyama ana pembe kumi , hizo pembe kumi ni nchi kumi zilizokuwa zinapatikana ndani ya hiyo Dora ya Kirumi nazo ni GARMANY, ITALY, FRANCE, SPAIN, PORTUGAL, ENGLAND, SWISLAND, ELUL, OSTRAGO na VEGAS

mwisho anasema nayeatawashusha wafalume watu Yani katika hao kumi

Inchi ya ELUL. OSTRAGO na VEGAS zilifutwa Kwa kuunganishwa kaika nchi hizo zingine zikabakia saba Yani GERMANY, ITALY, FRANCE, SPAIN, PORTUGAL, ENGLAND na SWISLAND

Constantino Agusto akiwa kama mtawala wa hiyo Dora ya Kirumi aliitisha kikao tarehe 3/7/ 321 AD katika nchi ya Uturuki na kupitisha maadhimio yafuatayo

1)Kuunganisha serikali na dini hivyo makao maku ya dini ya ukristo yakawa Italy

2)Internetional language iwe lugha ya Kigiriki


Danieli 7:25
Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati.

Daniel anaendelea kusema huyo mnyama

ATANENA KINYUME NA ALIYE JUU
Hapa watu wakafundishwa binadamu mwenzao Yesu kuwa ndio Mungu wao

ATAWADHOFISHA WATAKATIIFU
Hapa wale walio onenakana wanashika mafundisho ya kweli ya Taurati na Injili waliteswa na kuuliwa rejea kitabu Cha Matendo ya mitume

ATABADILI MAJIRA
Wayahudi walikuwa wanatumia Calendar ya mwezi muandamo

Kumbukumbu la Torati 16:1
Utunze mwezi wa Abibu, ukamfanyie pasaka Bwana, Mungu wako, kwa kuwa ilikuwa ni mwezi wa Abibu alipokutoa Misri usiku Bwana; Mungu wako.

Musa anaambiwa utunze mwezi wa Habibu Habibu ni jina la mwezi linalopatikana katika kalenda ya mwezi mwandamo sisi waislam Hadi Leo tunaitumia hiyo calendar ya mwezi muandamo na mwezi wa Habibu upo ndani yake
Hata kipindi Yesu yupo hapa funiani hi ndio calendar iliyokuwa inatumika

Zaburi 104:19
Aliufanya mwezi kwa ajili ya nyakati, Jua latambua kuchwa kwake.

Daudi naye pia anasema Mungu ameufanya Mwezi Kwa ajili ya nyakati maana yake nyakati na majira uhesabiwa Kwa kufuata muandamo wa mwezi

Na calendar ya mwezi muandamo siku inabadirika Baada ya jua kuzama Yani jion

iMwanzo 1:5
Mungu akaiita nuru Mchana, na giza akaliita Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku moja.


Warumi wakabadirisha haya majira wakaleta Calendar ya Jan to Dec na siku inabadirika saa 6 usiku Kwa jina lingine inaitwa Gregory Calendar

Ilianza kutumika kipindi Cha utawala wa Gregory mwaka 445 AD

Na haya majina ya hi miezi yote ni miungu ya Kirumi

January ni Mungu mume wa kirumi anaitwa Janus alikuwa anaabudiwa siku 31

Na February ni Mungu mke anaitwa Febus anaabudiwa siku 28 Kwa sababu siku 3 anakuwa katika siku zake

ATABADILI SHERIA
Taurati inasema msile nguruwe

Kumbukumbu la Torati 14:8
na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse.

Warumi wakatumia nguvu nyingi kuwafanya Wayahudi na wakristo wote duniani wale nguruwe

Hadi wamempa jina anaitwa Mbuzi katoliki
 
Back
Top Bottom