Kwanini eneo la Mashariki ya Kati lililopo baina ya mito ya Euphrates na Nile limekuwa likipiganiwa sana tangu enzi?

Myebusi Mweusi

JF-Expert Member
Jan 23, 2022
668
1,505
KUHUSU UTAKATIFU WA ENEO LA MASHARIKI YA KATI.

Na

MUMBE MOMBEE
Singida, Tz.
+255 759770233
Feb. 5, 2024.

Duniani kuna maeneo makuu kumi na mbili(12) ambayo yana Nguvu maalumu ambayo hata Sayansi ya sasa haijafikia uwezo wa kuyaelezea kwa ufasaha...yaani kujua ni nguvu gani ipo hapo maana inashinda au kukinzana na kanuni za Sayansi. Yapo maeneo mengine mengi madogo madogo mfano hapo Kenya kuna Eneo ambapo vitu hupanda mlima kirahisi kuliko kushuka. Yaani mfano ukimwaga maji yanatiririka kupanda mlima badala ya kushuka kufuata mteremko kama kanuni za kawaida zinavyotarajiwa!

Leo tutaacha yote tulenge eneo La Mashariki ya kati.

Hili eneo linaelezewa vema sana hata na Bendera tu ya nchi ya Israeli!

Ukiangalia hiyo bendera utaona kuna NYOTA YA DAVID(Ile yenye Pembe Sita) imewekwa katika mistari miwili ya Rangi ya BLUE JUU NA CHINI.

Nyota ya David yenye pembe Sita ni Alama ya kale sana yenye chimbuko lake Misri ya kale inayomaanisha Maeneo yenye Balance ya Nguvu Takatifu ya Asili...Iliitwa MAKABA!

Na hata alama ya MaKaBa ni pembe sita hiyo hiyo.

Maana ya Makaba ni

Ma.....Mwili
Ka.....Spirit
Ba.....Soul...hizi mbili nimeandika kiingereza mana kiswahili chake kinachanganya.

Nguvu ya Asili iliitwa KA katika Misri ya kale. Na ndio ilikuwa Nguvu mama yenye Matumizi makubwa sana. Hata sasa yapaswa kuwa hivyo kama isingekuwa UJINGA WETU ULIOPITILIZA.!!

Nguvu hii ndio inazalisha Nguvu zingine Zooooote...umeme, Sumaku, joto, UHAI na kikubwa zaidi UTAKATIFU au Utimilifu wa Kiroho n.k.

Sasa; katika bendera ya Israeli ile mistari miwili inaonesha Mito miwili ya EUPHRATES NA NILE.

Kwa hiyo Eneo lililopo katikati ya Mito hiyo miwili ni moja ya Eneo(Grid) lenye nguvu kubwa mno ya Utakatifu ya asili!!

Kwa lugha nyingine tunaweza sema ni eneo ambapo NGUVU ZA NYOTA HASA JUA na Mwezi zinakutana na KUWA AUGMENTED(KUKUZWA?)

Duniani kuna grids 12 zinazojulikana...na zote zilikuwa na Civilizations za maendeleo ya ajabu ya kiroho huko kale.

Watu wa kale miji yao au makazi yao yalifuata Maeneo yenye Nguvu ya Utakatifu....humo ndipo watu waliweka makazi yao n.k. Katika jamii zooote duniani zenye mila na tamaduni zao hata ujenzi wa nyumba tu walizingatia uwepo wa Utakatifu au nguvu ya Asili na walijenga kwa Matirio na vipimo vya asili ili kuwezesha uwepo wa nguvu takatifu ya asili mahali hapo! Moja ya vipimo hivyo ni Pi(3.14) na Phi( 1.618). Vitu vyote vya asili vimeumbwa na uwiano wa namba hizo mbili...namaanisha kila kitu cha Asili. Hasa hii phi(1.618) au uwiano wa DHAHABU kama inavyoitwa ni Namba au kanuni Nyeti sana.

Kwa maneno Mengine hii ni namba ya Mungu kwa maana hakuna Uungu au utakatifu isipokuwa penye hii namba!
Mimi nimeibatiza jina la Uwiano wa TUNGULI au NAMBA YA KANUNI YA TUNGULI.

Tunguli ni jina lililoharibiwa na kushirikishwa na Ushirikina....lakini tunguli kwa mantiki hslisi ni MTAMBO WA KUVUNIA NGUVU TAKATIFU YA ASILI...UUNGU!!!

Na umbo mama la TUNGULI au namba ya dhahabu au uwiano wa Dhahabu au UWIANO MTAKATIFU ni UMBO LA GAMBA LA KONOKONO au MAGAMBA MAGUMU ya Wadudu WA BAHARINI!!!!

Kila kitu katika Asili kina Umbo hili....iwe waziwazi au katika kificho!! Hii ni siri ya kwanza kuijua katika kanuni za asili na Utakatifu na UUNGU!!

Vitu vyoooooote vya asili vina Umbo la konokono na uhusiano au Uwiano wa DHAHABU (1.618) au (0.618). Inayotokana na namba mfuatano zijulikanazo kama FIBONACCI SEQUENCE!

Sasa kwa tafiti zilizofanywa senta(centre) ya Uwiano wa Dhahabu ya Dunia inapatikana maeneo 12 kulingana na unapoanza kuchukulia vipimo. Eneo mojawapo ni Pale KA'BA Saudi Arabia na viunga vyake mpaka huko Misri kwenye Mapiramidi n.k.

Kuanzia sasa usiogopeshwe na neno TUNGULI. Uoga wetu umesababishea na laana za kukataa tamaduni zetu. Sasa ukiona mtu kwa mfano Mganga wa kienyeji(kama mnavyowaita) amevaa magamba ya Simbi au konokono basi elewa kuwa amevaa mtambo matata sana wa kuvuna Utakatifu(Tunguli) mithili ya King'amuzi na dishi la azamu linavyowezesha kuvuna mawimbi ya Satelite na kukuletea picha kwa Tv yako!!


Kwa sasa maeneo kama haya ya Mashariki ya kati na wenzake kwa kingereza huitwa LEYLINES....Maeneo yenye nguvu isiyoeleweka na Sayansi ya sasa.!!..

Katika maeneo haya, watu wa kale waliokuwa wanatumia wataalamu wao(watakatifu au SENSITIVES)...Waliweza kusimika Mitambo mbalimbali ya Kuvuna Nguvu hiyo Ya asili na kuitumia katika mahitaji yoooote ....kiroho, Matibabu, Usafiri wa Anga, kutengeneza Mvua, Kurefusha Maisha na kuzuia kifo kwa Muda, Ulinzi na usalama, Uumbaji....na mengine mengi tunayosimuliwa kuwa ni miujiza katika Vitabu vya Dini n.k.

Mfano, Mji wa Luz uliotajwa na kina Solomon n.k ambapo baadae paliitwa Bethel...lilikuwa ni eneo la maisha marefu sana ukiwa unaishi au kuzuru hapo mara kwa mara. Eneo pendwa la Patriachs kama kina Methusela n.k....ni haidithi au kweli, haijalishi....tuendelee....Ila tambua kuna binadamu walioweza kuishi MAELFU ya miaka kwa Umri huko nyakati za kale. Hao wa biblia n.k ni miaka michache tu waliishi maana hawakuweza kuvuka miaka elfu moja.

Sasa hili unganisha na fumbo linalosumbua wataalamu wa mambo ya kale kuhusu Wafalme Nane waliotawala eneo liitwalo Sumer kwa mika laki mbili na Elfu arobaini. Yaani watu nane waliachiana ufalme kwa jumla ya hiyo miaka....na ufalme huo ulikuwa katika Eneo hilo la Mashariki ya kati...sasa nchi ya Iraq kama Sikosei.

Pia Misri mwahistoria wa Misri ya Kale Manetho anaelezea wafalme waliotawala miaka mpaka elfu sita(6,000) yaani mfalme mmoja alitawala miaka elfu sita!!
Kuhusu umri wa Mapiramid ya Misri eti sijui yana miaka elfu sita hadi elfu 12 ni uongo ulio wazi. Tafiti zinaonesha kuwa great SPHINX lile umbo la Simba mwenye kichwa cha mtu ambalo limechongwa kwa mwamba mgumu...lina alama za mimomonyoko iliyotokana na MAJI....yaani inamaanisha kuwa hilo sanamu lilikuwepo hapo....likanyeshewa mvua mpaka likaonesha mmomonyoko au likaliwa na maji. Sasa mvua katika jangwa la Sahara ikiwemo Misri imeacha kunyesha zaidi ya miaka elfu ishirini(20,000) iliyopita ambapo ndipo pakawa jangwa tunaloliona leo....chukua hiyo miaka na muda ambao mvua ililinyeshea hilo jiwe mpaka kulimomonyoa utapata jibu lako hapo!!

Turudi katika Mstari kidogo:
Sasa Mfano wa Mitambo ya kuvunia UTAKATIFU iliyosimikwa ukanda huo wa Eneo la Mashariki ya kati ni Mapiramids(pyramids),OBELISKS(Minara ya mawe mikibwa), Ukuta wa Kuabudu Wayahudi(Western wall au Wailing Wall), KAABA ya Waislamu pale Maka, mitambo ya kuweza kubebeka mfano Sanduku la Agano iliyoongelewa kwa Biblia n.k.

Sasa hii Kaaba ya Waislamu pale Maka inaeleza pia kila kitu Kuhusu MA'KA'BA....

Mji unaitwa MAKA...sehemu ya kuvunia nguvu inaitwa KA'BA!....Hivyo MA'KA'BA! Na maana halisi ya jina hili ni ENEO LA UPATANISHO WA ROHO NA MWILI. Yaani eneo la kujikuuza kiroho!!

Sasa Kuna tafiti nyingi saaaaaana kuhusu maajabu ya pyramids na mitambo mfano wa Sanduku la Agano...achana na maajabu kwamba yalijengwaje?...naongelea maajabu ya sababu au kazi yaliyojengwa kufanya. Tafiti ni nyingi sana na zinaonesha matokeo ya ajabu haswaaa...fuatilia! Anza na kitabu kinaitwa PYRAMID POWER kimeandikwa na PATRICK FLANAGAN na tafit za WARUSI n.k.

Binafsi pyramidi nimetafiti kwa mikono yangu hii...nimeanza kuzitengeneza tangu 2014....zina matokeo yasiyoelezeka wala kueleweka kirahisi. Tena sio lazima ujenge makubwa. Piramidi ya maboksi au fremu za mbao inayozingatia uwiano wa GREAT PYRAMID. Uwiano huu ni ule wa Gamba la konokono au Phi ratio au Goldeni ratio au UWIANO WA DHAHABU au namba 1.618 Au UWIANO WA MUNGU!! ukiweza kutengeneza hata piramodi dogo tu la mezani kwa materio yoyote ile japokuwa metali kama shaba ni nzuri zaidi itakupa tu matokeo.....ni mitambo matata mno.

Jenga vijumba vya piramidi kuzingatia vipimo....tena ndogo tu.....utaponya...fuga wanyama mf. kuku au sungura ndani yake watakuwa wakubwa mno bila maradhi....weka nyama au samaki mle haziozi!!! Hakuna mdudu mharibifu atasogelea kitu mle.....weka maji wanyama watayapendelea kunywa wakiacha mengine.....Ukitengeneza kubwa usawa wa chumba na material maalumu mfano shaba...mimea itastawi hata kama palikuwa jangwa(tafiti za Warusi n.k)...mimea inakua mara dufu ndani ya piramids. Vita kuu ya pili ya Dunia wanajeshi wengi wa Ulaya walitembea na piramids kuondoa mikosi vitani....pia walitumia kunolea VIWEMBE vya kunyolea Ndevu n.k maana kitu chenye ncha kali kilichokuwa butu kikiwekwa ndani ya pyramid dogo kinakuwa na makali km kipyaa! Infact, kuna PATENT yaani MALI AKILI ambayo mtu aliandikisha uvumbuzi wa Kutumia Pyramids kunolea viwembe n.k....ni Ulaya huko miaka ya 1940s au 50s hivi!!!

Kuna Mtu marekani alitengeneza kwa kutumia chuma kilichopakwa Dhahabu ukubwa wa chumba....eneo hilo lilikuwa kavu kabisa lakini maji yalivia kutoka Ardhini na ardhi ikawa oevu( chem chem) baada ya siku chache tu.

Kwa kifupi pyramids zinafanya kila kitu kiwe kizuri!!! Lakini kwa tafiti zangu ni kuwa pyramids zinafuata Matakwa ya mtumiaji....ni kama zinakuza matakwa(unachotaka kiwe) yako na kukufanyia unachotaka wewe!!! Fuatiliaaa

Sasa hizo piramids ni mfanano wa gamba la konokono au yale magamba ya baharini. Chunguza vitu vyooooote katika asili....vingi utaona vipo kama umbo la konokono ukiangalia kwa juu. Hata maji na upepo hutembea katika umbo hilo kiasili....chunguza maumbo ya vimbunga....pia nyota(galaxies)...maua....masikio....nywele za kichwani mtu akinyoa zikabaki fupi....Alizeti...mpangilio wa matawi ya miti....mpangilio wa viungo vya binadamu....maumbo ya pembe za wanyama....na kila kitu cha asili utaona....google tu golden ratio in Nature...utaona vingi....!!

Jamii nyingibza Asia, Afrika n.k walitumia sana pembe na magamba hayo katika shughuli mbalimbali. Fuatilia kuhusu 'Conch shells'.....kuna jamii ulikuwa ukienda tu kutibiwa unapuliziwa upepo kupitia magamba hayo au pembe....hewa inayotoka humo na sauti iliponya na kutoa nguvu mbaya hata majumbani na katika miji!!!!
Wakavumbua kuwa ukipachika pembe za wanyama falani flani katika maeneo ya mwili yaliyoathirika na ugonjwa n.k mtu anapona haraka. Watu wa kileo au kisasa wakaita CUPPING THERAPY...bila kujua mantiki ya tiba hiyo eti wao wakasema wanaboresha wakawa wanatumia Vikombe vya chupa(glass) n.k....ilipofeli kuponya wakaaanza kuponda....PUMBAVU ZENU NA UJINGA WENU KUHUSU ASILI!!

Sasa sikieni....tiba ya kupachika pembe au magamba mwilini ni kwamba yale magamba au pembe vinavuna nguvu TAKATIFU kutokana na kuwa na UMBO TAKATIFU LA UWIANO WA DHAHABU. hivyo damu inayojikusanya katika eneo lililopachikwa pembe au gamba au kitu cha asili inafyonza ile nguvu na kuisambaza mwilini.

Nilisahau kukumbusha tu kuwa TIBA KUU ya vitu vyote ni HII NGUVU TAKATIFU YA ASILI....Hii ikiwepo mwilini kwa Wingi Maradhi yoooote ya kimwili na Kiroho yanatoweka!!! Huu ndio msingi wa TIBA ASILIA...Ndio maana zinatibu vitu vingi mwilini na kuwachanganya wataalamu wa kileo wanaoamini kuwa kila Ugonjwa eti unapaswa kuwa na dawa yake tena eti dawa hizo ziwe na Bioavailability...ni lazima zipambane kikemikali na chembe za maradhi ndio mtu apone...NONSENSE! kuna ukweli mdogo sana juu ya mifumo ya matibabu ya kisasa.

Leo hii yameibuka maradhi ambayo siyo ya kuambukiza kama kisukari, Presha, Kansa n.k....hayana tiba bali kumfanya mgonjwa kutegemea madawa maisha yake yote.

Sasa nawapa siri na zawadi kubwa sana humu. Ichukueni.

Ni kwamba maradhi hayo yote yasiyoambukizwa sababu yake kubwa ni UKOSEFU WA NGUVU YA ASILI AU UTAKATIFU MWILINI!!!! Ndio maana yanatibika kirahisi mno kwa Njia za Asili!!!....maana matibabu halisi ya kiasili ni kurudisha NGUVU TAKATIFU YA ASILI ILIYOPOTEA MWILINI....BHAAAAASII!!! Si vinginevyo!!!

Tukiachana na hayo; Kama nilivyotangulia kusema, Eneo hilo la Mashariki ya kati lilikuwa ni muhimu sana kwa Mabara ya Ulaya, Asia ya waarabu na Waafrika kutokana na Nguvu iliyopo humo. Ndio maana toka kale vita hata za Miungu zilipiganwa kugombania eneo hilo.....mfano simulizi za vita nyiiingi katika biblia zilihusu eneo hilo....Watu au miungu ilipigana kutawala na kuishi humo.

Katika maandiko ya Dini za Abraham kunasimuliwa vitu mbalimbali pia kuhusu maeneo katika eneo hilo. Yote hayo yanalenga kuelezea nguvu za eneo hilo n.k.

Mfano kunasimuliwa kulikuwako mji unaitwa LUZ ambao baadae paliitwa BETHEL(Nyumba ya Mungu)....pale ambapo JAKOBO alienda na HEKIMA(MAFUTA) aliyopewa na Baba yake(ISAKA) kwa kumtapeli ndunguye ESAU...Alichofanya JAKOBO pale ni kuvuna Nguvu ya asili na kupata nguvu ya UUNGU...!
Hata baada ya ubatizo wake JAKOBO aliitwa Is-Ra-El.....kwa Misri ni AUSAR..NTR.....ikiwa ni muunganiko wa miungubya wamisri ya jua(Ra)na mwezi(Ausar au Isis kwa lugha za Ulaya)....NTR...inamaanisha NETERU...Nguvu ya asili au Mungu ambapo kwa kiyahudi waliita EL.

Hivyo muunganiko wa jina Israel una chembe ya maelezo kwamba ni sehemu ambapo Mungu(El)anayeitwa Ra (Jua) na Isis( mwezi)wanapambana na katika mapambano hayo nguvu zao zinageuzwa kuwa kamilifu na timilifu kuweza kubariki n.k.

Na unaona Jakobo alipewa jina hili pale yeye(kimbe dhaifu) alipopambana na Malaika(kiumbe takatifu) na kushinda ndipo akaitwa Israel. Hili pia ni Fumbo lenye maana wazi wazi ya nilichokielezea na ambacho kinaelezewa na alama ya nyota ya David ambayo ina maumbo ya pembe tatu ambazo zinakizana.

Pembe tatu inayotazama chini inawakilisha nguvu mfu kama ya mwezi inayotegemea jua kuangaza...na ile inayotizama juu inaelezea nguvu 'active' ya Jua. Hizi nguvu mbili ni lazima zipambanishwe ili ziweze kuwa timilifu n.k....kwenye CULT kama Caballa n.k ambazo ndizo mama wa dini tatu za eneo hilo kazi kuu ilikuwa ni namna ya kuwezesha kubalansi nguvu hizi. Ulaya wakazalisha kitu kinaitwa Alchemy(yenye maana Elimu takatifu ya Misri).

Sasa Turudi kwenye njia kidogo.

Hili la kuvuna nguvu kwa mawe na mafuta kama alivyofanya Jakobo pale Beth-el(Nyumba au eneo la Mungu) lilifanyika sehemu nyingi hata Kwetu kwa Wanyaturu Singida tulifanya kitu kinafanana ni hicho. Waliita 'Khamsta'....yaani Mawe maalumu yanapakwa mafuta maalumu hasa SAMLI na baadhi ya Miti. Hilo jiwe hasa kimondo....mtu akiligusa tu anapata UPONYAJI WA AJABU MNOO. Hata km alishakata kauli muda huo huo akiguswa akapiga msosi ukimpa jembe atakulimia ekari bila shida kama hajawahi kuugua!! Ila huu ni UCHAWI...lakini cha JAKOBO ni cha Mungu...Ndivyo TULIVYOLAANIWA SISI WAAFRIKA!!!

Ukiangalia katika kitabu cha LIBER MUTUS(Kitabu cha Ukimya au cha picha); Picha ya kwanza utaona Jakobo akiwa BETHEL baada ya kutumia hekima(Mafuta) na kupata nguvu ya kiroho ya maono na kuanza kupiga Stori na Malaika, kuona Ngazi ya kwenda Mbinguni n.k!

Picha zoote zinazofuata katika LIBER MUTUS zinaelezea namna ya kuvuna Umande wa Mbinguni na FATNESS ya Dunia(Earth) katika kutengeneza HEKIMA...Dawa kuu ya UTAKATIFU aliyokuwa nayo ELISHA kwa jina la CHUMVI na manabii wengine wengi tu. Pichani katika kitanu cha liber mutus Utaona matumizi ya Wanyama wakitumika katika kutambua kama UMANDE tayari umeshavuna UTAKATIFU WA KUTOSHA ama LAA!! Katika biblia, ESAU alipomlilia baba yake endapo alibakiza hata tone la HEKIMA kwa ajili yake; Isaka alimjibu Jakobo amechukua hekima yote. Lakini akamwambia jinsi ya kutengeneza hiyo HEKIMA kwamba atumie UMANDE WA MBINGUNI NA FATNESS OF EARTH(Kiswahili sijajua!!!)....Lakini sasa nakuibia Siri kubwa mno kwa mara ya kwanza katika maelfu ya miaka na mahangaiko ya mamilioni ya binadamu katika kutegua hili bila mafanikio(amini nakwambia. Hilo neno Fatness of Earth linamaanisha chumvi!!! Ni jibu fupi ila kama unaweza lishikilie na ikibidi fanya juhudi za kurithisha wanao na uzao wako....yaani kwamba utengenezaji wa HEKIMA yaani dawa ya Kumpatia binadamu utakatifu mkuu unahusisha CHUMVI MAALUMU na UMANDE WA MBINGUNI!!!....Nazidi kukuibia siri kuwa Chumvi zooote ni vitu bitakatifu ila Chumvi inayotokana na DHAHABU ni kitu kingine katika UTAKATIFU...baada ya maandalizi maalumu! Sasa jaribu kufuatilia Dawa za kale za kuitwa KUSHTI TILA KALAN(Waarabu na Ulaya kiasi)pia SWARNA BHASMA(WAHINDI) pia kitu cha kuitwa MUPPU(Ukanda wa Himalaya)....Majina haya yote yanamaanisha Majivu au Chumvi ya DHAHABU!!!! Kwenye biblia pale Moses alipochoma dhahabu iliyoundwa kwa mfano wa ng'ombe na kuweka katika maji na kuwapa watu wanywe ili kufuta dhambi basi hapo alitengeneza Chumvi ya dhahabu sasa...dawa ya kuondoa mikosi na kumpa binadamu UTAKATIFU na uponyaji wa maradhi yote hata kama alikuwa hapendi!! Wanaoijua dhahabu ni kwamba huwezi ichoma kwa moto ukaiharibu nali hunawiri kwa moto...isipokuwa tu kama unaigeuza kuwa chumvi n.k kwa kutumia vitu vingine. Hivyo Moses alitengeneza hii dawa amnayo iliwafaa watu wa chini huku yeye na wakubwa wenzie wakifaidi dawa hiyo hiyo ya dhahabu iliyostawishwa katika SANDUKU LA AGANO na kujazwa nguvu zaidi...ikaitwa MANNA KUU!! Pia wakawaficha watu kuwa Ile Manna iliyokuwa inadondoka na kuokotwa asubuhi ilikuwa ndio umande wa mbinguni katika mfumo wa barafu au jelly na ni sehemu tu ya manna kuu.....sasa Moses na wenzake wao walichukua huo umande wa mbinguni na kuunganisha na chumvi au majivu ya dhahanu katika mtambo wa kuvunia utakatifu(Sanduku la Agano) na kupata MANNA KUU yenye nguvu mara dufu ya Umande waliookota watu jangwani au Majivu ya dhahabu ya ng'ombe alichoma Moses. Kwa hiyo watu wa kawaida walipewa vitu nusu nusu wasije wakazidi HEKIMA! Hata hizo dawa za dhahabu nilizotaja hapo juu ni vitu nusu nusu ila uponyaji wake huwezi fanana na dawa yoyote duniani! MIFUMO YA KILEO YA KIBEPARI ILAANIWE Maana Inaficha vitu vingi sana hakika!! Binadamu amefanywa kuwa mpumnavu mnoo!! Kwa maelezo haya naomba unipe Maua yangu mimi Pamoja na Manabii na Wanafalsafa wengine waliodiriki kupenyeza Akili zao na kutatua Mafumbo makubwa kama haya! Asante!

Sasa wewe endelea kuhubiriwa na PASTOR WAKO kuwa Hekima aliyopewa JAKOBO na babaye ESAU ni maneno yatokanayo Na MVI za kichwani kama tunavyojuzwa maana ya hekima kwa nyakati hizi....eti hekima ni maneno ya busara ya wazee wenye mvi n.k! Sasa kama HEKIMA ni maneno ISAKA aliishiwaje hayo maneno mpaka ashindwe kumpa ESAU????????

Katika aya hii iliyopita nimeelezea KITU KIKUBWA KILICHOWASUMBUA HATA MANABII KWA MIAKA NA MIKAKA....AMINI NAKWAMBIENI!!!! Lichukue kama somo kubwa sana na liwafundisheni kuheshimu Mila na tamaduni zenu. Mila na tamaduni zoooooote Ulimwenguni zimezaliwa kutokana na JUHUDI za binadamu katika kuvuna UTAKATIFU uliowekwa katika Mifumo ya asili!!

Sasa wewe endelea kudharau na kudhihaki ule msemo wa kutoa mikosi kwa kuoga maji ya baharini ya chumvi huku ukikimbilia kupewa chumvi na maji ya dukani huko kanisani kwako. Maji na chumvi ambayo kiuhalisia hayana nguvu yoyote TAKATIFU YA ASILI AU MUNGU bali kinyume chake....hiyo ndio gharama ya UTUMWA WA KIROHO NA KIFIKRA!!

Suala la Matumizi ya Chumvi na maji katika kuvuna Utakatifu lipo katika jamii zote duniani!! Chumvi ya mawe...chumvi ya mawe ya rangi ya himalaya n.k.....ila kama nilovyosema kuna chumvi na chumvi na zinatofautiana nguvu!! Pia maji na nguvu zake zinatofautiana kulingana na eneo lina nguvu kiasi gani kuweza kuyapatia maji hiyo nguvu.

Ukiangalia DOCUMENTARY inayoitwa WATER HAS MEMORY utaona watu wanavyokesha kutafiti vitu...humo kuna maelezo ya majaribiio yanatumia Wanyama kutambua maji Yenye nguvu isiyo ya kawaida.....miujiza mingi ya maji imeelezewz humo kwa tafiti kama za kina MASARU EMOTO n.k!

HEKIMA aliyoomba SOLOMON kwa MIUNGU YAKE kilikuwa ni kitu cha kushikika haswaa mkononi kama ugali n.k....na SOLOMON Ameongelea hilo katika maandiko yake. Hata wimbo tunaoambiwa anawasifia mabinti n.k Mfalme SOLOMON alikuwa anaisifia hiyo daw na namna ya kutengeneza...URITHI wa mababu zake.

Mafuta ya wapakwa MAFUTA kama Kina Yesu Ndio hiyo HEKIMA sasa. Hayo yote yakazaa CHUMVI ya UPAKO na Maji ua UPAKO na MAFUTA YA UPAKO ya kina MWAMPOSA n.k....UTAPELI!!!!!

Nimeenda mbali kidogo na Topic ya eneo la Mashariki ya kati lakini najaribu kuelezea umuhimu wa eneo hilo katika uvunaji wa UTAKATIFU maana hata utengenezaji wa vitu kama HEKIMA niliyotaja hufanikiwa zaidi mtu akiwa katika maeneo kama hayo n.k!!

Tukirudi katika maelezo ya Eneo hilo la kati ya mito hiyo miwili ambalo limeelezewa kwa njia ya METAPHOR katika maandiko mbalimbali, haimaanishi kuwa hakuna maeneo mengine au hilo ndilo la muhimu dunia nzima kiasi cha watu kutumia gharama kubwa kila mwaka kwenda kuhiji huko. Huu ni Utumwa wa Kiimani na ujinga(kutokujuwa) wa hali ya juu unaotudhalilisha waafrika.

Nimeshaelezea kuwa vitu au majengo au maumbo ambayo kimsingi ni Mitambo ya kuvunia Utakatifu inaweza kuwepo popote. Umaarufu wa eneo la mashariki ya kati baina ya Mto Euphrates na Nile linatokana na kuwa Dini za Abrahamu zimelifanya hivyo kutokana na kuenea sana duniani katika Nyakati zetu. Wayahudi na Waarabu kwa Mila na tamaduni zao wanatukuza maeneo yao kwa utakatifu nasi kwa kuwa ni MAKONDOO WAO tukadhani kwetu hakuna kitu kama hicho na kulazimika kuwatajirisha watu kila mwaka kifuata hija huko!

Sasa iko hivi; Nimeeleza kuwa vitu kama KA'BA ni mtambo tu wa kuvunia utakatifu. Maeneo hayo na karibu yake kwa kuwa na Concentration ya Utakatifu basi hata Maji yana nguvu mfano maji maarufu ya ZAM ZAM!!!

Sasa pale KA'BA kilichopo ni jengo tu la umbo la Pembe nne(cube) na KIPANDE CHA KIMONDO katika Angle mojawapo! Wanaohiji hukishika hicho kimondo(jiwe.... lakini ni chuma. Kwa kushika kimondo hicho basi huvuna baraka kwa Imani yao.

Vivyo hivyo katika Ukuta wa Magharibi wayahudi huabudu kwa kusoma Torah na kushika mawe ya ukuta....huku ni kuvuna utakatifu!

Pale Misri yale mapiramidi yalitumika km hivyo juu....lakini kwa mapana zaidi. Watu walienda kuvuna UTAKATIFU...Lakini wale ELITE(wakubwa) walitumia vyumba vya Malkia na mfalme(kings & queens chambers) kusafiri kiroho n.k!

Sasa kusini mwa Afrika na hata Tanzania tuna maeneo kama hayo ya Mashariki ya kati!!!!!

Maeneo ya kale sana ni kaskazini hasa Mikoa ya Manyara, Arusha na Kilomanjaro.....Mlimma wa Oldonyo na ukanda wake wote....Kilomanjaro n.k.

Lakini eneo lenye nguvu za kufanana na KA'BA ni MBOZI pale kwenye KIMONDO. Kwanza kabisa kisichojulikana na Wengi ni kwamba kile KIMONDO pale KIMEWEKWA...na nani!!? Haijulikani!....Lakini kimewekwa hakijaangukia eneo hilo!! Hiki kimondo pamoja na vingine kama kile kikubwa cha HOBA viliwekwa katika GRIDS hizo kwa Ajili ya KUVUNIA UTAKATIFU!!!

Walichokuwa wanakifanya wenyeji ni kukishika au kuweka vimiminika km mafuta na maji. Baada ya vimiminika hivyo kujaa utakatifu au upako basi walovitumia kujipatia BARAKA/UTAKATIFU/UPAKO. Mpaka leo kuna watu hufanya hivyo pale MBOZI.

Wasomi na wataalamu wa KISASA hawana majibu vimondo hivyo vilifikaje pale!! Hawana!!! Nadharia zao hazitoshi kuelezea uhalisia wa kuwepo vimondo vile pale....maana kama vingefika hapo kwa kuanguka basi vingeacha mashimo makubwa sanaaa....dalili zote hazioneshi hivyo.

Sasa jibu rahisi ni kuwa vilifikishwa maeneo hayo kutoka sehemu zingine kwa njia ya Anga!!! Ndio kwa usafiri wa anga!!...kiaje!??
Vilisafirishwa kama ambavyo mawe makubwa mara dufu yenye maelfu ya tani za uzito yalisafirishwa mamia ya kilomita mpaka site za ujenzi kama pale giza plateau Kwenye Mapiramidi! Yaani kuna mawe yenye mamia ya tani yalosafirishwa umbali wa Dar hadi Singida maelfu ya miaka iliyopita....bila gari, ndege wala meli!! Walisafishaje!??....somo jingine.

Turudi kwenye mstari. Nimejaribuvkufodosa vitu vingi kidogo ili kusudi niweze kueleweka pale ninaposema kuwa sisi ni WATUMWA WABAYA na pengine hatupaswi kuwekwa katika ubora wa binadamu aliyekamilika!!!!

Hakuna utumwa mbaya kama Utumwa wa KITAMADUNI, KIMILA NA KIDINI....Tizama sasa tunavyotumia gharama kubwa kwa kufuata KIMONDO UARABUNI na Wakati tuna KIMONDO CHETU tena kikubwa na chenye NGUVU KUBWA mara dufu ya kile cha Waarabu. Tizama sasa tunavyofunga safari kwenda kuhiji Israeli na wakati tuna maeneo yenye nguvu kupita hayo.....tizama tulivyolishwa uchafu wa kuidharau MISRI yetu na vitu au mitambo yake na Hekima zake! Hakika wangekuwepo leo hao manabii watajwa wa vitabu vya dini za Abraham wangekuwa wanalilia kufika Afrika kwa ajili ya kubarikiwa na ardhi hii!! Anayebisha kuhusu ukweli huu basi Naomba anitajie NABII Wa kitabuni MMOJA TU ambaye hakuwa kufika MISRI KUHIJI NA KUBARIKIWA!!!! Sasa wapumbavu walichukua maovu ya Farao mmoja tu kuichafua Misri yoote....yaani tuseme walichukua hadithi ya kupotoshwa ya Iddi Amini kuichafua Uganda!!!!

Utakatifu utuingie.....TUTOKE KATIKA UTUMWA NA LAANA HII.

Kutoka kwa:
MUMBE MOMBEE
0759770233
Singida, Tz.
Feb.5,2024.
 
Sababu za eneo hilo kupiganiwa:

Rasilimali na utajiri: Eneo hilo linajulikana kuwa na rasilimali nyingi, kama vile mafuta, gesi asilia, na maji ya mito. Hii imefanya eneo hilo kuwa muhimu kiuchumi na kuchochea ushindani wa kudhibiti rasilimali hizo.

Historia na utamaduni: Eneo hilo lina historia ndefu na utamaduni tajiri, likiwa ni mahali ambapo tamaduni za zamani zilipitia na kuishi. Kwa hiyo, kuna maslahi ya kihistoria, kitamaduni, na kidini yanayosababisha mvutano na mapigano.

Mgawanyiko wa kikabila na kisiasa: Eneo hilo limekuwa na mgawanyiko wa kikabila na kisiasa kwa muda mrefu, na makabila na mataifa tofauti yamekuwa yakipigania udhibiti na ushawishi katika eneo hilo. Hii imechochea migogoro ya kikabila na kisiasa.

Mipaka na ardhi: Masuala ya mipaka na umiliki wa ardhi yamekuwa chanzo cha migogoro kati ya nchi na makundi mbalimbali katika eneo hilo. Migogoro ya mipaka na madai ya ardhi imechochea mapigano na mvutano kwa muda mrefu.
 
KUHUSU UTAKATIFU WA ENEO LA MASHARIKI YA KATI.

Na

MUMBE MOMBEE
Singida, Tz.
+255 759770233
Feb. 5, 2024.

Duniani kuna maeneo makuu kumi na mbili(12) ambayo yana Nguvu maalumu ambayo hata Sayansi ya sasa haijafikia uwezo wa kuyaelezea kwa ufasaha...yaani kujua ni nguvu gani ipo hapo maana inashinda au kukinzana na kanuni za Sayansi. Yapo maeneo mengine mengi madogo madogo mfano hapo Kenya kuna Eneo ambapo vitu hupanda mlima kirahisi kuliko kushuka. Yaani mfano ukimwaga maji yanatiririka kupanda mlima badala ya kushuka kufuata mteremko kama kanuni za kawaida zinavyotarajiwa!

Leo tutaacha yote tulenge eneo La Mashariki ya kati.

Hili eneo linaelezewa vema sana hata na Bendera tu ya nchi ya Israeli!

Ukiangalia hiyo bendera utaona kuna NYOTA YA DAVID(Ile yenye Pembe Sita) imewekwa katika mistari miwili ya Rangi ya BLUE JUU NA CHINI.

Nyota ya David yenye pembe Sita ni Alama ya kale sana yenye chimbuko lake Misri ya kale inayomaanisha Maeneo yenye Balance ya Nguvu Takatifu ya Asili...Iliitwa MAKABA!

Na hata alama ya MaKaBa ni pembe sita hiyo hiyo.

Maana ya Makaba ni

Ma.....Mwili
Ka.....Spirit
Ba.....Soul...hizi mbili nimeandika kiingereza mana kiswahili chake kinachanganya.

Nguvu ya Asili iliitwa KA katika Misri ya kale. Na ndio ilikuwa Nguvu mama yenye Matumizi makubwa sana. Hata sasa yapaswa kuwa hivyo kama isingekuwa UJINGA WETU ULIOPITILIZA.!!

Nguvu hii ndio inazalisha Nguvu zingine Zooooote...umeme, Sumaku, joto, UHAI na kikubwa zaidi UTAKATIFU au Utimilifu wa Kiroho n.k.

Sasa; katika bendera ya Israeli ile mistari miwili inaonesha Mito miwili ya EUPHRATES NA NILE.

Kwa hiyo Eneo lililopo katikati ya Mito hiyo miwili ni moja ya Eneo(Grid) lenye nguvu kubwa mno ya Utakatifu ya asili!!

Kwa lugha nyingine tunaweza sema ni eneo ambapo NGUVU ZA NYOTA HASA JUA na Mwezi zinakutana na KUWA AUGMENTED(KUKUZWA?)

Duniani kuna grids 12 zinazojulikana...na zote zilikuwa na Civilizations za maendeleo ya ajabu ya kiroho huko kale.

Watu wa kale miji yao au makazi yao yalifuata Maeneo yenye Nguvu ya Utakatifu....humo ndipo watu waliweka makazi yao n.k. Katika jamii zooote duniani zenye mila na tamaduni zao hata ujenzi wa nyumba tu walizingatia uwepo wa Utakatifu au nguvu ya Asili na walijenga kwa Matirio na vipimo vya asili ili kuwezesha uwepo wa nguvu takatifu ya asili mahali hapo! Moja ya vipimo hivyo ni Pi(3.14) na Phi( 1.618). Vitu vyote vya asili vimeumbwa na uwiano wa namba hizo mbili...namaanisha kila kitu cha Asili. Hasa hii phi(1.618) au uwiano wa DHAHABU kama inavyoitwa ni Namba au kanuni Nyeti sana.

Kwa maneno Mengine hii ni namba ya Mungu kwa maana hakuna Uungu au utakatifu isipokuwa penye hii namba!
Mimi nimeibatiza jina la Uwiano wa TUNGULI au NAMBA YA KANUNI YA TUNGULI.

Tunguli ni jina lililoharibiwa na kushirikishwa na Ushirikina....lakini tunguli kwa mantiki hslisi ni MTAMBO WA KUVUNIA NGUVU TAKATIFU YA ASILI...UUNGU!!!

Na umbo mama la TUNGULI au namba ya dhahabu au uwiano wa Dhahabu au UWIANO MTAKATIFU ni UMBO LA GAMBA LA KONOKONO au MAGAMBA MAGUMU ya Wadudu WA BAHARINI!!!!

Kila kitu katika Asili kina Umbo hili....iwe waziwazi au katika kificho!! Hii ni siri ya kwanza kuijua katika kanuni za asili na Utakatifu na UUNGU!!

Vitu vyoooooote vya asili vina Umbo la konokono na uhusiano au Uwiano wa DHAHABU (1.618) au (0.618). Inayotokana na namba mfuatano zijulikanazo kama FIBONACCI SEQUENCE!

Sasa kwa tafiti zilizofanywa senta(centre) ya Uwiano wa Dhahabu ya Dunia inapatikana maeneo 12 kulingana na unapoanza kuchukulia vipimo. Eneo mojawapo ni Pale KA'BA Saudi Arabia na viunga vyake mpaka huko Misri kwenye Mapiramidi n.k.

Kuanzia sasa usiogopeshwe na neno TUNGULI. Uoga wetu umesababishea na laana za kukataa tamaduni zetu. Sasa ukiona mtu kwa mfano Mganga wa kienyeji(kama mnavyowaita) amevaa magamba ya Simbi au konokono basi elewa kuwa amevaa mtambo matata sana wa kuvuna Utakatifu(Tunguli) mithili ya King'amuzi na dishi la azamu linavyowezesha kuvuna mawimbi ya Satelite na kukuletea picha kwa Tv yako!!


Kwa sasa maeneo kama haya ya Mashariki ya kati na wenzake kwa kingereza huitwa LEYLINES....Maeneo yenye nguvu isiyoeleweka na Sayansi ya sasa.!!..

Katika maeneo haya, watu wa kale waliokuwa wanatumia wataalamu wao(watakatifu au SENSITIVES)...Waliweza kusimika Mitambo mbalimbali ya Kuvuna Nguvu hiyo Ya asili na kuitumia katika mahitaji yoooote ....kiroho, Matibabu, Usafiri wa Anga, kutengeneza Mvua, Kurefusha Maisha na kuzuia kifo kwa Muda, Ulinzi na usalama, Uumbaji....na mengine mengi tunayosimuliwa kuwa ni miujiza katika Vitabu vya Dini n.k.

Mfano, Mji wa Luz uliotajwa na kina Solomon n.k ambapo baadae paliitwa Bethel...lilikuwa ni eneo la maisha marefu sana ukiwa unaishi au kuzuru hapo mara kwa mara. Eneo pendwa la Patriachs kama kina Methusela n.k....ni haidithi au kweli, haijalishi....tuendelee....Ila tambua kuna binadamu walioweza kuishi MAELFU ya miaka kwa Umri huko nyakati za kale. Hao wa biblia n.k ni miaka michache tu waliishi maana hawakuweza kuvuka miaka elfu moja.

Sasa hili unganisha na fumbo linalosumbua wataalamu wa mambo ya kale kuhusu Wafalme Nane waliotawala eneo liitwalo Sumer kwa mika laki mbili na Elfu arobaini. Yaani watu nane waliachiana ufalme kwa jumla ya hiyo miaka....na ufalme huo ulikuwa katika Eneo hilo la Mashariki ya kati...sasa nchi ya Iraq kama Sikosei.

Pia Misri mwahistoria wa Misri ya Kale Manetho anaelezea wafalme waliotawala miaka mpaka elfu sita(6,000) yaani mfalme mmoja alitawala miaka elfu sita!!
Kuhusu umri wa Mapiramid ya Misri eti sijui yana miaka elfu sita hadi elfu 12 ni uongo ulio wazi. Tafiti zinaonesha kuwa great SPHINX lile umbo la Simba mwenye kichwa cha mtu ambalo limechongwa kwa mwamba mgumu...lina alama za mimomonyoko iliyotokana na MAJI....yaani inamaanisha kuwa hilo sanamu lilikuwepo hapo....likanyeshewa mvua mpaka likaonesha mmomonyoko au likaliwa na maji. Sasa mvua katika jangwa la Sahara ikiwemo Misri imeacha kunyesha zaidi ya miaka elfu ishirini(20,000) iliyopita ambapo ndipo pakawa jangwa tunaloliona leo....chukua hiyo miaka na muda ambao mvua ililinyeshea hilo jiwe mpaka kulimomonyoa utapata jibu lako hapo!!

Turudi katika Mstari kidogo:
Sasa Mfano wa Mitambo ya kuvunia UTAKATIFU iliyosimikwa ukanda huo wa Eneo la Mashariki ya kati ni Mapiramids(pyramids),OBELISKS(Minara ya mawe mikibwa), Ukuta wa Kuabudu Wayahudi(Western wall au Wailing Wall), KAABA ya Waislamu pale Maka, mitambo ya kuweza kubebeka mfano Sanduku la Agano iliyoongelewa kwa Biblia n.k.

Sasa hii Kaaba ya Waislamu pale Maka inaeleza pia kila kitu Kuhusu MA'KA'BA....

Mji unaitwa MAKA...sehemu ya kuvunia nguvu inaitwa KA'BA!....Hivyo MA'KA'BA! Na maana halisi ya jina hili ni ENEO LA UPATANISHO WA ROHO NA MWILI. Yaani eneo la kujikuuza kiroho!!

Sasa Kuna tafiti nyingi saaaaaana kuhusu maajabu ya pyramids na mitambo mfano wa Sanduku la Agano...achana na maajabu kwamba yalijengwaje?...naongelea maajabu ya sababu au kazi yaliyojengwa kufanya. Tafiti ni nyingi sana na zinaonesha matokeo ya ajabu haswaaa...fuatilia! Anza na kitabu kinaitwa PYRAMID POWER kimeandikwa na PATRICK FLANAGAN na tafit za WARUSI n.k.

Binafsi pyramidi nimetafiti kwa mikono yangu hii...nimeanza kuzitengeneza tangu 2014....zina matokeo yasiyoelezeka wala kueleweka kirahisi. Tena sio lazima ujenge makubwa. Piramidi ya maboksi au fremu za mbao inayozingatia uwiano wa GREAT PYRAMID. Uwiano huu ni ule wa Gamba la konokono au Phi ratio au Goldeni ratio au UWIANO WA DHAHABU au namba 1.618 Au UWIANO WA MUNGU!! ukiweza kutengeneza hata piramodi dogo tu la mezani kwa materio yoyote ile japokuwa metali kama shaba ni nzuri zaidi itakupa tu matokeo.....ni mitambo matata mno.

Jenga vijumba vya piramidi kuzingatia vipimo....tena ndogo tu.....utaponya...fuga wanyama mf. kuku au sungura ndani yake watakuwa wakubwa mno bila maradhi....weka nyama au samaki mle haziozi!!! Hakuna mdudu mharibifu atasogelea kitu mle.....weka maji wanyama watayapendelea kunywa wakiacha mengine.....Ukitengeneza kubwa usawa wa chumba na material maalumu mfano shaba...mimea itastawi hata kama palikuwa jangwa(tafiti za Warusi n.k)...mimea inakua mara dufu ndani ya piramids. Vita kuu ya pili ya Dunia wanajeshi wengi wa Ulaya walitembea na piramids kuondoa mikosi vitani....pia walitumia kunolea VIWEMBE vya kunyolea Ndevu n.k maana kitu chenye ncha kali kilichokuwa butu kikiwekwa ndani ya pyramid dogo kinakuwa na makali km kipyaa! Infact, kuna PATENT yaani MALI AKILI ambayo mtu aliandikisha uvumbuzi wa Kutumia Pyramids kunolea viwembe n.k....ni Ulaya huko miaka ya 1940s au 50s hivi!!!

Kuna Mtu marekani alitengeneza kwa kutumia chuma kilichopakwa Dhahabu ukubwa wa chumba....eneo hilo lilikuwa kavu kabisa lakini maji yalivia kutoka Ardhini na ardhi ikawa oevu( chem chem) baada ya siku chache tu.

Kwa kifupi pyramids zinafanya kila kitu kiwe kizuri!!! Lakini kwa tafiti zangu ni kuwa pyramids zinafuata Matakwa ya mtumiaji....ni kama zinakuza matakwa(unachotaka kiwe) yako na kukufanyia unachotaka wewe!!! Fuatiliaaa

Sasa hizo piramids ni mfanano wa gamba la konokono au yale magamba ya baharini. Chunguza vitu vyooooote katika asili....vingi utaona vipo kama umbo la konokono ukiangalia kwa juu. Hata maji na upepo hutembea katika umbo hilo kiasili....chunguza maumbo ya vimbunga....pia nyota(galaxies)...maua....masikio....nywele za kichwani mtu akinyoa zikabaki fupi....Alizeti...mpangilio wa matawi ya miti....mpangilio wa viungo vya binadamu....maumbo ya pembe za wanyama....na kila kitu cha asili utaona....google tu golden ratio in Nature...utaona vingi....!!

Jamii nyingibza Asia, Afrika n.k walitumia sana pembe na magamba hayo katika shughuli mbalimbali. Fuatilia kuhusu 'Conch shells'.....kuna jamii ulikuwa ukienda tu kutibiwa unapuliziwa upepo kupitia magamba hayo au pembe....hewa inayotoka humo na sauti iliponya na kutoa nguvu mbaya hata majumbani na katika miji!!!!
Wakavumbua kuwa ukipachika pembe za wanyama falani flani katika maeneo ya mwili yaliyoathirika na ugonjwa n.k mtu anapona haraka. Watu wa kileo au kisasa wakaita CUPPING THERAPY...bila kujua mantiki ya tiba hiyo eti wao wakasema wanaboresha wakawa wanatumia Vikombe vya chupa(glass) n.k....ilipofeli kuponya wakaaanza kuponda....PUMBAVU ZENU NA UJINGA WENU KUHUSU ASILI!!

Sasa sikieni....tiba ya kupachika pembe au magamba mwilini ni kwamba yale magamba au pembe vinavuna nguvu TAKATIFU kutokana na kuwa na UMBO TAKATIFU LA UWIANO WA DHAHABU. hivyo damu inayojikusanya katika eneo lililopachikwa pembe au gamba au kitu cha asili inafyonza ile nguvu na kuisambaza mwilini.

Nilisahau kukumbusha tu kuwa TIBA KUU ya vitu vyote ni HII NGUVU TAKATIFU YA ASILI....Hii ikiwepo mwilini kwa Wingi Maradhi yoooote ya kimwili na Kiroho yanatoweka!!! Huu ndio msingi wa TIBA ASILIA...Ndio maana zinatibu vitu vingi mwilini na kuwachanganya wataalamu wa kileo wanaoamini kuwa kila Ugonjwa eti unapaswa kuwa na dawa yake tena eti dawa hizo ziwe na Bioavailability...ni lazima zipambane kikemikali na chembe za maradhi ndio mtu apone...NONSENSE! kuna ukweli mdogo sana juu ya mifumo ya matibabu ya kisasa.

Leo hii yameibuka maradhi ambayo siyo ya kuambukiza kama kisukari, Presha, Kansa n.k....hayana tiba bali kumfanya mgonjwa kutegemea madawa maisha yake yote.

Sasa nawapa siri na zawadi kubwa sana humu. Ichukueni.

Ni kwamba maradhi hayo yote yasiyoambukizwa sababu yake kubwa ni UKOSEFU WA NGUVU YA ASILI AU UTAKATIFU MWILINI!!!! Ndio maana yanatibika kirahisi mno kwa Njia za Asili!!!....maana matibabu halisi ya kiasili ni kurudisha NGUVU TAKATIFU YA ASILI ILIYOPOTEA MWILINI....BHAAAAASII!!! Si vinginevyo!!!

Tukiachana na hayo; Kama nilivyotangulia kusema, Eneo hilo la Mashariki ya kati lilikuwa ni muhimu sana kwa Mabara ya Ulaya, Asia ya waarabu na Waafrika kutokana na Nguvu iliyopo humo. Ndio maana toka kale vita hata za Miungu zilipiganwa kugombania eneo hilo.....mfano simulizi za vita nyiiingi katika biblia zilihusu eneo hilo....Watu au miungu ilipigana kutawala na kuishi humo.

Katika maandiko ya Dini za Abraham kunasimuliwa vitu mbalimbali pia kuhusu maeneo katika eneo hilo. Yote hayo yanalenga kuelezea nguvu za eneo hilo n.k.

Mfano kunasimuliwa kulikuwako mji unaitwa LUZ ambao baadae paliitwa BETHEL(Nyumba ya Mungu)....pale ambapo JAKOBO alienda na HEKIMA(MAFUTA) aliyopewa na Baba yake(ISAKA) kwa kumtapeli ndunguye ESAU...Alichofanya JAKOBO pale ni kuvuna Nguvu ya asili na kupata nguvu ya UUNGU...!
Hata baada ya ubatizo wake JAKOBO aliitwa Is-Ra-El.....kwa Misri ni AUSAR..NTR.....ikiwa ni muunganiko wa miungubya wamisri ya jua(Ra)na mwezi(Ausar au Isis kwa lugha za Ulaya)....NTR...inamaanisha NETERU...Nguvu ya asili au Mungu ambapo kwa kiyahudi waliita EL.

Hivyo muunganiko wa jina Israel una chembe ya maelezo kwamba ni sehemu ambapo Mungu(El)anayeitwa Ra (Jua) na Isis( mwezi)wanapambana na katika mapambano hayo nguvu zao zinageuzwa kuwa kamilifu na timilifu kuweza kubariki n.k.

Na unaona Jakobo alipewa jina hili pale yeye(kimbe dhaifu) alipopambana na Malaika(kiumbe takatifu) na kushinda ndipo akaitwa Israel. Hili pia ni Fumbo lenye maana wazi wazi ya nilichokielezea na ambacho kinaelezewa na alama ya nyota ya David ambayo ina maumbo ya pembe tatu ambazo zinakizana.

Pembe tatu inayotazama chini inawakilisha nguvu mfu kama ya mwezi inayotegemea jua kuangaza...na ile inayotizama juu inaelezea nguvu 'active' ya Jua. Hizi nguvu mbili ni lazima zipambanishwe ili ziweze kuwa timilifu n.k....kwenye CULT kama Caballa n.k ambazo ndizo mama wa dini tatu za eneo hilo kazi kuu ilikuwa ni namna ya kuwezesha kubalansi nguvu hizi. Ulaya wakazalisha kitu kinaitwa Alchemy(yenye maana Elimu takatifu ya Misri).

Sasa Turudi kwenye njia kidogo.

Hili la kuvuna nguvu kwa mawe na mafuta kama alivyofanya Jakobo pale Beth-el(Nyumba au eneo la Mungu) lilifanyika sehemu nyingi hata Kwetu kwa Wanyaturu Singida tulifanya kitu kinafanana ni hicho. Waliita 'Khamsta'....yaani Mawe maalumu yanapakwa mafuta maalumu hasa SAMLI na baadhi ya Miti. Hilo jiwe hasa kimondo....mtu akiligusa tu anapata UPONYAJI WA AJABU MNOO. Hata km alishakata kauli muda huo huo akiguswa akapiga msosi ukimpa jembe atakulimia ekari bila shida kama hajawahi kuugua!! Ila huu ni UCHAWI...lakini cha JAKOBO ni cha Mungu...Ndivyo TULIVYOLAANIWA SISI WAAFRIKA!!!

Ukiangalia katika kitabu cha LIBER MUTUS(Kitabu cha Ukimya au cha picha); Picha ya kwanza utaona Jakobo akiwa BETHEL baada ya kutumia hekima(Mafuta) na kupata nguvu ya kiroho ya maono na kuanza kupiga Stori na Malaika, kuona Ngazi ya kwenda Mbinguni n.k!

Picha zoote zinazofuata katika LIBER MUTUS zinaelezea namna ya kuvuna Umande wa Mbinguni na FATNESS ya Dunia(Earth) katika kutengeneza HEKIMA...Dawa kuu ya UTAKATIFU aliyokuwa nayo ELISHA kwa jina la CHUMVI na manabii wengine wengi tu. Pichani katika kitanu cha liber mutus Utaona matumizi ya Wanyama wakitumika katika kutambua kama UMANDE tayari umeshavuna UTAKATIFU WA KUTOSHA ama LAA!! Katika biblia, ESAU alipomlilia baba yake endapo alibakiza hata tone la HEKIMA kwa ajili yake; Isaka alimjibu Jakobo amechukua hekima yote. Lakini akamwambia jinsi ya kutengeneza hiyo HEKIMA kwamba atumie UMANDE WA MBINGUNI NA FATNESS OF EARTH(Kiswahili sijajua!!!)....Lakini sasa nakuibia Siri kubwa mno kwa mara ya kwanza katika maelfu ya miaka na mahangaiko ya mamilioni ya binadamu katika kutegua hili bila mafanikio(amini nakwambia. Hilo neno Fatness of Earth linamaanisha chumvi!!! Ni jibu fupi ila kama unaweza lishikilie na ikibidi fanya juhudi za kurithisha wanao na uzao wako....yaani kwamba utengenezaji wa HEKIMA yaani dawa ya Kumpatia binadamu utakatifu mkuu unahusisha CHUMVI MAALUMU na UMANDE WA MBINGUNI!!!....Nazidi kukuibia siri kuwa Chumvi zooote ni vitu bitakatifu ila Chumvi inayotokana na DHAHABU ni kitu kingine katika UTAKATIFU...baada ya maandalizi maalumu! Sasa jaribu kufuatilia Dawa za kale za kuitwa KUSHTI TILA KALAN(Waarabu na Ulaya kiasi)pia SWARNA BHASMA(WAHINDI) pia kitu cha kuitwa MUPPU(Ukanda wa Himalaya)....Majina haya yote yanamaanisha Majivu au Chumvi ya DHAHABU!!!! Kwenye biblia pale Moses alipochoma dhahabu iliyoundwa kwa mfano wa ng'ombe na kuweka katika maji na kuwapa watu wanywe ili kufuta dhambi basi hapo alitengeneza Chumvi ya dhahabu sasa...dawa ya kuondoa mikosi na kumpa binadamu UTAKATIFU na uponyaji wa maradhi yote hata kama alikuwa hapendi!! Wanaoijua dhahabu ni kwamba huwezi ichoma kwa moto ukaiharibu nali hunawiri kwa moto...isipokuwa tu kama unaigeuza kuwa chumvi n.k kwa kutumia vitu vingine. Hivyo Moses alitengeneza hii dawa amnayo iliwafaa watu wa chini huku yeye na wakubwa wenzie wakifaidi dawa hiyo hiyo ya dhahabu iliyostawishwa katika SANDUKU LA AGANO na kujazwa nguvu zaidi...ikaitwa MANNA KUU!! Pia wakawaficha watu kuwa Ile Manna iliyokuwa inadondoka na kuokotwa asubuhi ilikuwa ndio umande wa mbinguni katika mfumo wa barafu au jelly na ni sehemu tu ya manna kuu.....sasa Moses na wenzake wao walichukua huo umande wa mbinguni na kuunganisha na chumvi au majivu ya dhahanu katika mtambo wa kuvunia utakatifu(Sanduku la Agano) na kupata MANNA KUU yenye nguvu mara dufu ya Umande waliookota watu jangwani au Majivu ya dhahabu ya ng'ombe alichoma Moses. Kwa hiyo watu wa kawaida walipewa vitu nusu nusu wasije wakazidi HEKIMA! Hata hizo dawa za dhahabu nilizotaja hapo juu ni vitu nusu nusu ila uponyaji wake huwezi fanana na dawa yoyote duniani! MIFUMO YA KILEO YA KIBEPARI ILAANIWE Maana Inaficha vitu vingi sana hakika!! Binadamu amefanywa kuwa mpumnavu mnoo!! Kwa maelezo haya naomba unipe Maua yangu mimi Pamoja na Manabii na Wanafalsafa wengine waliodiriki kupenyeza Akili zao na kutatua Mafumbo makubwa kama haya! Asante!

Sasa wewe endelea kuhubiriwa na PASTOR WAKO kuwa Hekima aliyopewa JAKOBO na babaye ESAU ni maneno yatokanayo Na MVI za kichwani kama tunavyojuzwa maana ya hekima kwa nyakati hizi....eti hekima ni maneno ya busara ya wazee wenye mvi n.k! Sasa kama HEKIMA ni maneno ISAKA aliishiwaje hayo maneno mpaka ashindwe kumpa ESAU????????

Katika aya hii iliyopita nimeelezea KITU KIKUBWA KILICHOWASUMBUA HATA MANABII KWA MIAKA NA MIKAKA....AMINI NAKWAMBIENI!!!! Lichukue kama somo kubwa sana na liwafundisheni kuheshimu Mila na tamaduni zenu. Mila na tamaduni zoooooote Ulimwenguni zimezaliwa kutokana na JUHUDI za binadamu katika kuvuna UTAKATIFU uliowekwa katika Mifumo ya asili!!

Sasa wewe endelea kudharau na kudhihaki ule msemo wa kutoa mikosi kwa kuoga maji ya baharini ya chumvi huku ukikimbilia kupewa chumvi na maji ya dukani huko kanisani kwako. Maji na chumvi ambayo kiuhalisia hayana nguvu yoyote TAKATIFU YA ASILI AU MUNGU bali kinyume chake....hiyo ndio gharama ya UTUMWA WA KIROHO NA KIFIKRA!!

Suala la Matumizi ya Chumvi na maji katika kuvuna Utakatifu lipo katika jamii zote duniani!! Chumvi ya mawe...chumvi ya mawe ya rangi ya himalaya n.k.....ila kama nilovyosema kuna chumvi na chumvi na zinatofautiana nguvu!! Pia maji na nguvu zake zinatofautiana kulingana na eneo lina nguvu kiasi gani kuweza kuyapatia maji hiyo nguvu.

Ukiangalia DOCUMENTARY inayoitwa WATER HAS MEMORY utaona watu wanavyokesha kutafiti vitu...humo kuna maelezo ya majaribiio yanatumia Wanyama kutambua maji Yenye nguvu isiyo ya kawaida.....miujiza mingi ya maji imeelezewz humo kwa tafiti kama za kina MASARU EMOTO n.k!

HEKIMA aliyoomba SOLOMON kwa MIUNGU YAKE kilikuwa ni kitu cha kushikika haswaa mkononi kama ugali n.k....na SOLOMON Ameongelea hilo katika maandiko yake. Hata wimbo tunaoambiwa anawasifia mabinti n.k Mfalme SOLOMON alikuwa anaisifia hiyo daw na namna ya kutengeneza...URITHI wa mababu zake.

Mafuta ya wapakwa MAFUTA kama Kina Yesu Ndio hiyo HEKIMA sasa. Hayo yote yakazaa CHUMVI ya UPAKO na Maji ua UPAKO na MAFUTA YA UPAKO ya kina MWAMPOSA n.k....UTAPELI!!!!!

Nimeenda mbali kidogo na Topic ya eneo la Mashariki ya kati lakini najaribu kuelezea umuhimu wa eneo hilo katika uvunaji wa UTAKATIFU maana hata utengenezaji wa vitu kama HEKIMA niliyotaja hufanikiwa zaidi mtu akiwa katika maeneo kama hayo n.k!!

Tukirudi katika maelezo ya Eneo hilo la kati ya mito hiyo miwili ambalo limeelezewa kwa njia ya METAPHOR katika maandiko mbalimbali, haimaanishi kuwa hakuna maeneo mengine au hilo ndilo la muhimu dunia nzima kiasi cha watu kutumia gharama kubwa kila mwaka kwenda kuhiji huko. Huu ni Utumwa wa Kiimani na ujinga(kutokujuwa) wa hali ya juu unaotudhalilisha waafrika.

Nimeshaelezea kuwa vitu au majengo au maumbo ambayo kimsingi ni Mitambo ya kuvunia Utakatifu inaweza kuwepo popote. Umaarufu wa eneo la mashariki ya kati baina ya Mto Euphrates na Nile linatokana na kuwa Dini za Abrahamu zimelifanya hivyo kutokana na kuenea sana duniani katika Nyakati zetu. Wayahudi na Waarabu kwa Mila na tamaduni zao wanatukuza maeneo yao kwa utakatifu nasi kwa kuwa ni MAKONDOO WAO tukadhani kwetu hakuna kitu kama hicho na kulazimika kuwatajirisha watu kila mwaka kifuata hija huko!

Sasa iko hivi; Nimeeleza kuwa vitu kama KA'BA ni mtambo tu wa kuvunia utakatifu. Maeneo hayo na karibu yake kwa kuwa na Concentration ya Utakatifu basi hata Maji yana nguvu mfano maji maarufu ya ZAM ZAM!!!

Sasa pale KA'BA kilichopo ni jengo tu la umbo la Pembe nne(cube) na KIPANDE CHA KIMONDO katika Angle mojawapo! Wanaohiji hukishika hicho kimondo(jiwe.... lakini ni chuma. Kwa kushika kimondo hicho basi huvuna baraka kwa Imani yao.

Vivyo hivyo katika Ukuta wa Magharibi wayahudi huabudu kwa kusoma Torah na kushika mawe ya ukuta....huku ni kuvuna utakatifu!

Pale Misri yale mapiramidi yalitumika km hivyo juu....lakini kwa mapana zaidi. Watu walienda kuvuna UTAKATIFU...Lakini wale ELITE(wakubwa) walitumia vyumba vya Malkia na mfalme(kings & queens chambers) kusafiri kiroho n.k!

Sasa kusini mwa Afrika na hata Tanzania tuna maeneo kama hayo ya Mashariki ya kati!!!!!

Maeneo ya kale sana ni kaskazini hasa Mikoa ya Manyara, Arusha na Kilomanjaro.....Mlimma wa Oldonyo na ukanda wake wote....Kilomanjaro n.k.

Lakini eneo lenye nguvu za kufanana na KA'BA ni MBOZI pale kwenye KIMONDO. Kwanza kabisa kisichojulikana na Wengi ni kwamba kile KIMONDO pale KIMEWEKWA...na nani!!? Haijulikani!....Lakini kimewekwa hakijaangukia eneo hilo!! Hiki kimondo pamoja na vingine kama kile kikubwa cha HOBA viliwekwa katika GRIDS hizo kwa Ajili ya KUVUNIA UTAKATIFU!!!

Walichokuwa wanakifanya wenyeji ni kukishika au kuweka vimiminika km mafuta na maji. Baada ya vimiminika hivyo kujaa utakatifu au upako basi walovitumia kujipatia BARAKA/UTAKATIFU/UPAKO. Mpaka leo kuna watu hufanya hivyo pale MBOZI.

Wasomi na wataalamu wa KISASA hawana majibu vimondo hivyo vilifikaje pale!! Hawana!!! Nadharia zao hazitoshi kuelezea uhalisia wa kuwepo vimondo vile pale....maana kama vingefika hapo kwa kuanguka basi vingeacha mashimo makubwa sanaaa....dalili zote hazioneshi hivyo.

Sasa jibu rahisi ni kuwa vilifikishwa maeneo hayo kutoka sehemu zingine kwa njia ya Anga!!! Ndio kwa usafiri wa anga!!...kiaje!??
Vilisafirishwa kama ambavyo mawe makubwa mara dufu yenye maelfu ya tani za uzito yalisafirishwa mamia ya kilomita mpaka site za ujenzi kama pale giza plateau Kwenye Mapiramidi! Yaani kuna mawe yenye mamia ya tani yalosafirishwa umbali wa Dar hadi Singida maelfu ya miaka iliyopita....bila gari, ndege wala meli!! Walisafishaje!??....somo jingine.

Turudi kwenye mstari. Nimejaribuvkufodosa vitu vingi kidogo ili kusudi niweze kueleweka pale ninaposema kuwa sisi ni WATUMWA WABAYA na pengine hatupaswi kuwekwa katika ubora wa binadamu aliyekamilika!!!!

Hakuna utumwa mbaya kama Utumwa wa KITAMADUNI, KIMILA NA KIDINI....Tizama sasa tunavyotumia gharama kubwa kwa kufuata KIMONDO UARABUNI na Wakati tuna KIMONDO CHETU tena kikubwa na chenye NGUVU KUBWA mara dufu ya kile cha Waarabu. Tizama sasa tunavyofunga safari kwenda kuhiji Israeli na wakati tuna maeneo yenye nguvu kupita hayo.....tizama tulivyolishwa uchafu wa kuidharau MISRI yetu na vitu au mitambo yake na Hekima zake! Hakika wangekuwepo leo hao manabii watajwa wa vitabu vya dini za Abraham wangekuwa wanalilia kufika Afrika kwa ajili ya kubarikiwa na ardhi hii!! Anayebisha kuhusu ukweli huu basi Naomba anitajie NABII Wa kitabuni MMOJA TU ambaye hakuwa kufika MISRI KUHIJI NA KUBARIKIWA!!!! Sasa wapumbavu walichukua maovu ya Farao mmoja tu kuichafua Misri yoote....yaani tuseme walichukua hadithi ya kupotoshwa ya Iddi Amini kuichafua Uganda!!!!

Utakatifu utuingie.....TUTOKE KATIKA UTUMWA NA LAANA HII.

Kutoka kwa:
MUMBE MOMBEE
0759770233
Singida, Tz.
Feb.5,2024.
Hujui ulichokiandika wewe, puuzwa.
 
KUHUSU UTAKATIFU WA ENEO LA MASHARIKI YA KATI.

Na

MUMBE MOMBEE
Singida, Tz.
+255 759770233
Feb. 5, 2024.

Duniani kuna maeneo makuu kumi na mbili(12) ambayo yana Nguvu maalumu ambayo hata Sayansi ya sasa haijafikia uwezo wa kuyaelezea kwa ufasaha...yaani kujua ni nguvu gani ipo hapo maana inashinda au kukinzana na kanuni za Sayansi. Yapo maeneo mengine mengi madogo madogo mfano hapo Kenya kuna Eneo ambapo vitu hupanda mlima kirahisi kuliko kushuka. Yaani mfano ukimwaga maji yanatiririka kupanda mlima badala ya kushuka kufuata mteremko kama kanuni za kawaida zinavyotarajiwa!

Leo tutaacha yote tulenge eneo La Mashariki ya kati.

Hili eneo linaelezewa vema sana hata na Bendera tu ya nchi ya Israeli!

Ukiangalia hiyo bendera utaona kuna NYOTA YA DAVID(Ile yenye Pembe Sita) imewekwa katika mistari miwili ya Rangi ya BLUE JUU NA CHINI.

Nyota ya David yenye pembe Sita ni Alama ya kale sana yenye chimbuko lake Misri ya kale inayomaanisha Maeneo yenye Balance ya Nguvu Takatifu ya Asili...Iliitwa MAKABA!

Na hata alama ya MaKaBa ni pembe sita hiyo hiyo.

Maana ya Makaba ni

Ma.....Mwili
Ka.....Spirit
Ba.....Soul...hizi mbili nimeandika kiingereza mana kiswahili chake kinachanganya.

Nguvu ya Asili iliitwa KA katika Misri ya kale. Na ndio ilikuwa Nguvu mama yenye Matumizi makubwa sana. Hata sasa yapaswa kuwa hivyo kama isingekuwa UJINGA WETU ULIOPITILIZA.!!

Nguvu hii ndio inazalisha Nguvu zingine Zooooote...umeme, Sumaku, joto, UHAI na kikubwa zaidi UTAKATIFU au Utimilifu wa Kiroho n.k.

Sasa; katika bendera ya Israeli ile mistari miwili inaonesha Mito miwili ya EUPHRATES NA NILE.

Kwa hiyo Eneo lililopo katikati ya Mito hiyo miwili ni moja ya Eneo(Grid) lenye nguvu kubwa mno ya Utakatifu ya asili!!

Kwa lugha nyingine tunaweza sema ni eneo ambapo NGUVU ZA NYOTA HASA JUA na Mwezi zinakutana na KUWA AUGMENTED(KUKUZWA?)

Duniani kuna grids 12 zinazojulikana...na zote zilikuwa na Civilizations za maendeleo ya ajabu ya kiroho huko kale.

Watu wa kale miji yao au makazi yao yalifuata Maeneo yenye Nguvu ya Utakatifu....humo ndipo watu waliweka makazi yao n.k. Katika jamii zooote duniani zenye mila na tamaduni zao hata ujenzi wa nyumba tu walizingatia uwepo wa Utakatifu au nguvu ya Asili na walijenga kwa Matirio na vipimo vya asili ili kuwezesha uwepo wa nguvu takatifu ya asili mahali hapo! Moja ya vipimo hivyo ni Pi(3.14) na Phi( 1.618). Vitu vyote vya asili vimeumbwa na uwiano wa namba hizo mbili...namaanisha kila kitu cha Asili. Hasa hii phi(1.618) au uwiano wa DHAHABU kama inavyoitwa ni Namba au kanuni Nyeti sana.

Kwa maneno Mengine hii ni namba ya Mungu kwa maana hakuna Uungu au utakatifu isipokuwa penye hii namba!
Mimi nimeibatiza jina la Uwiano wa TUNGULI au NAMBA YA KANUNI YA TUNGULI.

Tunguli ni jina lililoharibiwa na kushirikishwa na Ushirikina....lakini tunguli kwa mantiki hslisi ni MTAMBO WA KUVUNIA NGUVU TAKATIFU YA ASILI...UUNGU!!!

Na umbo mama la TUNGULI au namba ya dhahabu au uwiano wa Dhahabu au UWIANO MTAKATIFU ni UMBO LA GAMBA LA KONOKONO au MAGAMBA MAGUMU ya Wadudu WA BAHARINI!!!!

Kila kitu katika Asili kina Umbo hili....iwe waziwazi au katika kificho!! Hii ni siri ya kwanza kuijua katika kanuni za asili na Utakatifu na UUNGU!!

Vitu vyoooooote vya asili vina Umbo la konokono na uhusiano au Uwiano wa DHAHABU (1.618) au (0.618). Inayotokana na namba mfuatano zijulikanazo kama FIBONACCI SEQUENCE!

Sasa kwa tafiti zilizofanywa senta(centre) ya Uwiano wa Dhahabu ya Dunia inapatikana maeneo 12 kulingana na unapoanza kuchukulia vipimo. Eneo mojawapo ni Pale KA'BA Saudi Arabia na viunga vyake mpaka huko Misri kwenye Mapiramidi n.k.

Kuanzia sasa usiogopeshwe na neno TUNGULI. Uoga wetu umesababishea na laana za kukataa tamaduni zetu. Sasa ukiona mtu kwa mfano Mganga wa kienyeji(kama mnavyowaita) amevaa magamba ya Simbi au konokono basi elewa kuwa amevaa mtambo matata sana wa kuvuna Utakatifu(Tunguli) mithili ya King'amuzi na dishi la azamu linavyowezesha kuvuna mawimbi ya Satelite na kukuletea picha kwa Tv yako!!


Kwa sasa maeneo kama haya ya Mashariki ya kati na wenzake kwa kingereza huitwa LEYLINES....Maeneo yenye nguvu isiyoeleweka na Sayansi ya sasa.!!..

Katika maeneo haya, watu wa kale waliokuwa wanatumia wataalamu wao(watakatifu au SENSITIVES)...Waliweza kusimika Mitambo mbalimbali ya Kuvuna Nguvu hiyo Ya asili na kuitumia katika mahitaji yoooote ....kiroho, Matibabu, Usafiri wa Anga, kutengeneza Mvua, Kurefusha Maisha na kuzuia kifo kwa Muda, Ulinzi na usalama, Uumbaji....na mengine mengi tunayosimuliwa kuwa ni miujiza katika Vitabu vya Dini n.k.

Mfano, Mji wa Luz uliotajwa na kina Solomon n.k ambapo baadae paliitwa Bethel...lilikuwa ni eneo la maisha marefu sana ukiwa unaishi au kuzuru hapo mara kwa mara. Eneo pendwa la Patriachs kama kina Methusela n.k....ni haidithi au kweli, haijalishi....tuendelee....Ila tambua kuna binadamu walioweza kuishi MAELFU ya miaka kwa Umri huko nyakati za kale. Hao wa biblia n.k ni miaka michache tu waliishi maana hawakuweza kuvuka miaka elfu moja.

Sasa hili unganisha na fumbo linalosumbua wataalamu wa mambo ya kale kuhusu Wafalme Nane waliotawala eneo liitwalo Sumer kwa mika laki mbili na Elfu arobaini. Yaani watu nane waliachiana ufalme kwa jumla ya hiyo miaka....na ufalme huo ulikuwa katika Eneo hilo la Mashariki ya kati...sasa nchi ya Iraq kama Sikosei.

Pia Misri mwahistoria wa Misri ya Kale Manetho anaelezea wafalme waliotawala miaka mpaka elfu sita(6,000) yaani mfalme mmoja alitawala miaka elfu sita!!
Kuhusu umri wa Mapiramid ya Misri eti sijui yana miaka elfu sita hadi elfu 12 ni uongo ulio wazi. Tafiti zinaonesha kuwa great SPHINX lile umbo la Simba mwenye kichwa cha mtu ambalo limechongwa kwa mwamba mgumu...lina alama za mimomonyoko iliyotokana na MAJI....yaani inamaanisha kuwa hilo sanamu lilikuwepo hapo....likanyeshewa mvua mpaka likaonesha mmomonyoko au likaliwa na maji. Sasa mvua katika jangwa la Sahara ikiwemo Misri imeacha kunyesha zaidi ya miaka elfu ishirini(20,000) iliyopita ambapo ndipo pakawa jangwa tunaloliona leo....chukua hiyo miaka na muda ambao mvua ililinyeshea hilo jiwe mpaka kulimomonyoa utapata jibu lako hapo!!

Turudi katika Mstari kidogo:
Sasa Mfano wa Mitambo ya kuvunia UTAKATIFU iliyosimikwa ukanda huo wa Eneo la Mashariki ya kati ni Mapiramids(pyramids),OBELISKS(Minara ya mawe mikibwa), Ukuta wa Kuabudu Wayahudi(Western wall au Wailing Wall), KAABA ya Waislamu pale Maka, mitambo ya kuweza kubebeka mfano Sanduku la Agano iliyoongelewa kwa Biblia n.k.

Sasa hii Kaaba ya Waislamu pale Maka inaeleza pia kila kitu Kuhusu MA'KA'BA....

Mji unaitwa MAKA...sehemu ya kuvunia nguvu inaitwa KA'BA!....Hivyo MA'KA'BA! Na maana halisi ya jina hili ni ENEO LA UPATANISHO WA ROHO NA MWILI. Yaani eneo la kujikuuza kiroho!!

Sasa Kuna tafiti nyingi saaaaaana kuhusu maajabu ya pyramids na mitambo mfano wa Sanduku la Agano...achana na maajabu kwamba yalijengwaje?...naongelea maajabu ya sababu au kazi yaliyojengwa kufanya. Tafiti ni nyingi sana na zinaonesha matokeo ya ajabu haswaaa...fuatilia! Anza na kitabu kinaitwa PYRAMID POWER kimeandikwa na PATRICK FLANAGAN na tafit za WARUSI n.k.

Binafsi pyramidi nimetafiti kwa mikono yangu hii...nimeanza kuzitengeneza tangu 2014....zina matokeo yasiyoelezeka wala kueleweka kirahisi. Tena sio lazima ujenge makubwa. Piramidi ya maboksi au fremu za mbao inayozingatia uwiano wa GREAT PYRAMID. Uwiano huu ni ule wa Gamba la konokono au Phi ratio au Goldeni ratio au UWIANO WA DHAHABU au namba 1.618 Au UWIANO WA MUNGU!! ukiweza kutengeneza hata piramodi dogo tu la mezani kwa materio yoyote ile japokuwa metali kama shaba ni nzuri zaidi itakupa tu matokeo.....ni mitambo matata mno.

Jenga vijumba vya piramidi kuzingatia vipimo....tena ndogo tu.....utaponya...fuga wanyama mf. kuku au sungura ndani yake watakuwa wakubwa mno bila maradhi....weka nyama au samaki mle haziozi!!! Hakuna mdudu mharibifu atasogelea kitu mle.....weka maji wanyama watayapendelea kunywa wakiacha mengine.....Ukitengeneza kubwa usawa wa chumba na material maalumu mfano shaba...mimea itastawi hata kama palikuwa jangwa(tafiti za Warusi n.k)...mimea inakua mara dufu ndani ya piramids. Vita kuu ya pili ya Dunia wanajeshi wengi wa Ulaya walitembea na piramids kuondoa mikosi vitani....pia walitumia kunolea VIWEMBE vya kunyolea Ndevu n.k maana kitu chenye ncha kali kilichokuwa butu kikiwekwa ndani ya pyramid dogo kinakuwa na makali km kipyaa! Infact, kuna PATENT yaani MALI AKILI ambayo mtu aliandikisha uvumbuzi wa Kutumia Pyramids kunolea viwembe n.k....ni Ulaya huko miaka ya 1940s au 50s hivi!!!

Kuna Mtu marekani alitengeneza kwa kutumia chuma kilichopakwa Dhahabu ukubwa wa chumba....eneo hilo lilikuwa kavu kabisa lakini maji yalivia kutoka Ardhini na ardhi ikawa oevu( chem chem) baada ya siku chache tu.

Kwa kifupi pyramids zinafanya kila kitu kiwe kizuri!!! Lakini kwa tafiti zangu ni kuwa pyramids zinafuata Matakwa ya mtumiaji....ni kama zinakuza matakwa(unachotaka kiwe) yako na kukufanyia unachotaka wewe!!! Fuatiliaaa

Sasa hizo piramids ni mfanano wa gamba la konokono au yale magamba ya baharini. Chunguza vitu vyooooote katika asili....vingi utaona vipo kama umbo la konokono ukiangalia kwa juu. Hata maji na upepo hutembea katika umbo hilo kiasili....chunguza maumbo ya vimbunga....pia nyota(galaxies)...maua....masikio....nywele za kichwani mtu akinyoa zikabaki fupi....Alizeti...mpangilio wa matawi ya miti....mpangilio wa viungo vya binadamu....maumbo ya pembe za wanyama....na kila kitu cha asili utaona....google tu golden ratio in Nature...utaona vingi....!!

Jamii nyingibza Asia, Afrika n.k walitumia sana pembe na magamba hayo katika shughuli mbalimbali. Fuatilia kuhusu 'Conch shells'.....kuna jamii ulikuwa ukienda tu kutibiwa unapuliziwa upepo kupitia magamba hayo au pembe....hewa inayotoka humo na sauti iliponya na kutoa nguvu mbaya hata majumbani na katika miji!!!!
Wakavumbua kuwa ukipachika pembe za wanyama falani flani katika maeneo ya mwili yaliyoathirika na ugonjwa n.k mtu anapona haraka. Watu wa kileo au kisasa wakaita CUPPING THERAPY...bila kujua mantiki ya tiba hiyo eti wao wakasema wanaboresha wakawa wanatumia Vikombe vya chupa(glass) n.k....ilipofeli kuponya wakaaanza kuponda....PUMBAVU ZENU NA UJINGA WENU KUHUSU ASILI!!

Sasa sikieni....tiba ya kupachika pembe au magamba mwilini ni kwamba yale magamba au pembe vinavuna nguvu TAKATIFU kutokana na kuwa na UMBO TAKATIFU LA UWIANO WA DHAHABU. hivyo damu inayojikusanya katika eneo lililopachikwa pembe au gamba au kitu cha asili inafyonza ile nguvu na kuisambaza mwilini.

Nilisahau kukumbusha tu kuwa TIBA KUU ya vitu vyote ni HII NGUVU TAKATIFU YA ASILI....Hii ikiwepo mwilini kwa Wingi Maradhi yoooote ya kimwili na Kiroho yanatoweka!!! Huu ndio msingi wa TIBA ASILIA...Ndio maana zinatibu vitu vingi mwilini na kuwachanganya wataalamu wa kileo wanaoamini kuwa kila Ugonjwa eti unapaswa kuwa na dawa yake tena eti dawa hizo ziwe na Bioavailability...ni lazima zipambane kikemikali na chembe za maradhi ndio mtu apone...NONSENSE! kuna ukweli mdogo sana juu ya mifumo ya matibabu ya kisasa.

Leo hii yameibuka maradhi ambayo siyo ya kuambukiza kama kisukari, Presha, Kansa n.k....hayana tiba bali kumfanya mgonjwa kutegemea madawa maisha yake yote.

Sasa nawapa siri na zawadi kubwa sana humu. Ichukueni.

Ni kwamba maradhi hayo yote yasiyoambukizwa sababu yake kubwa ni UKOSEFU WA NGUVU YA ASILI AU UTAKATIFU MWILINI!!!! Ndio maana yanatibika kirahisi mno kwa Njia za Asili!!!....maana matibabu halisi ya kiasili ni kurudisha NGUVU TAKATIFU YA ASILI ILIYOPOTEA MWILINI....BHAAAAASII!!! Si vinginevyo!!!

Tukiachana na hayo; Kama nilivyotangulia kusema, Eneo hilo la Mashariki ya kati lilikuwa ni muhimu sana kwa Mabara ya Ulaya, Asia ya waarabu na Waafrika kutokana na Nguvu iliyopo humo. Ndio maana toka kale vita hata za Miungu zilipiganwa kugombania eneo hilo.....mfano simulizi za vita nyiiingi katika biblia zilihusu eneo hilo....Watu au miungu ilipigana kutawala na kuishi humo.

Katika maandiko ya Dini za Abraham kunasimuliwa vitu mbalimbali pia kuhusu maeneo katika eneo hilo. Yote hayo yanalenga kuelezea nguvu za eneo hilo n.k.

Mfano kunasimuliwa kulikuwako mji unaitwa LUZ ambao baadae paliitwa BETHEL(Nyumba ya Mungu)....pale ambapo JAKOBO alienda na HEKIMA(MAFUTA) aliyopewa na Baba yake(ISAKA) kwa kumtapeli ndunguye ESAU...Alichofanya JAKOBO pale ni kuvuna Nguvu ya asili na kupata nguvu ya UUNGU...!
Hata baada ya ubatizo wake JAKOBO aliitwa Is-Ra-El.....kwa Misri ni AUSAR..NTR.....ikiwa ni muunganiko wa miungubya wamisri ya jua(Ra)na mwezi(Ausar au Isis kwa lugha za Ulaya)....NTR...inamaanisha NETERU...Nguvu ya asili au Mungu ambapo kwa kiyahudi waliita EL.

Hivyo muunganiko wa jina Israel una chembe ya maelezo kwamba ni sehemu ambapo Mungu(El)anayeitwa Ra (Jua) na Isis( mwezi)wanapambana na katika mapambano hayo nguvu zao zinageuzwa kuwa kamilifu na timilifu kuweza kubariki n.k.

Na unaona Jakobo alipewa jina hili pale yeye(kimbe dhaifu) alipopambana na Malaika(kiumbe takatifu) na kushinda ndipo akaitwa Israel. Hili pia ni Fumbo lenye maana wazi wazi ya nilichokielezea na ambacho kinaelezewa na alama ya nyota ya David ambayo ina maumbo ya pembe tatu ambazo zinakizana.

Pembe tatu inayotazama chini inawakilisha nguvu mfu kama ya mwezi inayotegemea jua kuangaza...na ile inayotizama juu inaelezea nguvu 'active' ya Jua. Hizi nguvu mbili ni lazima zipambanishwe ili ziweze kuwa timilifu n.k....kwenye CULT kama Caballa n.k ambazo ndizo mama wa dini tatu za eneo hilo kazi kuu ilikuwa ni namna ya kuwezesha kubalansi nguvu hizi. Ulaya wakazalisha kitu kinaitwa Alchemy(yenye maana Elimu takatifu ya Misri).

Sasa Turudi kwenye njia kidogo.

Hili la kuvuna nguvu kwa mawe na mafuta kama alivyofanya Jakobo pale Beth-el(Nyumba au eneo la Mungu) lilifanyika sehemu nyingi hata Kwetu kwa Wanyaturu Singida tulifanya kitu kinafanana ni hicho. Waliita 'Khamsta'....yaani Mawe maalumu yanapakwa mafuta maalumu hasa SAMLI na baadhi ya Miti. Hilo jiwe hasa kimondo....mtu akiligusa tu anapata UPONYAJI WA AJABU MNOO. Hata km alishakata kauli muda huo huo akiguswa akapiga msosi ukimpa jembe atakulimia ekari bila shida kama hajawahi kuugua!! Ila huu ni UCHAWI...lakini cha JAKOBO ni cha Mungu...Ndivyo TULIVYOLAANIWA SISI WAAFRIKA!!!

Ukiangalia katika kitabu cha LIBER MUTUS(Kitabu cha Ukimya au cha picha); Picha ya kwanza utaona Jakobo akiwa BETHEL baada ya kutumia hekima(Mafuta) na kupata nguvu ya kiroho ya maono na kuanza kupiga Stori na Malaika, kuona Ngazi ya kwenda Mbinguni n.k!

Picha zoote zinazofuata katika LIBER MUTUS zinaelezea namna ya kuvuna Umande wa Mbinguni na FATNESS ya Dunia(Earth) katika kutengeneza HEKIMA...Dawa kuu ya UTAKATIFU aliyokuwa nayo ELISHA kwa jina la CHUMVI na manabii wengine wengi tu. Pichani katika kitanu cha liber mutus Utaona matumizi ya Wanyama wakitumika katika kutambua kama UMANDE tayari umeshavuna UTAKATIFU WA KUTOSHA ama LAA!! Katika biblia, ESAU alipomlilia baba yake endapo alibakiza hata tone la HEKIMA kwa ajili yake; Isaka alimjibu Jakobo amechukua hekima yote. Lakini akamwambia jinsi ya kutengeneza hiyo HEKIMA kwamba atumie UMANDE WA MBINGUNI NA FATNESS OF EARTH(Kiswahili sijajua!!!)....Lakini sasa nakuibia Siri kubwa mno kwa mara ya kwanza katika maelfu ya miaka na mahangaiko ya mamilioni ya binadamu katika kutegua hili bila mafanikio(amini nakwambia. Hilo neno Fatness of Earth linamaanisha chumvi!!! Ni jibu fupi ila kama unaweza lishikilie na ikibidi fanya juhudi za kurithisha wanao na uzao wako....yaani kwamba utengenezaji wa HEKIMA yaani dawa ya Kumpatia binadamu utakatifu mkuu unahusisha CHUMVI MAALUMU na UMANDE WA MBINGUNI!!!....Nazidi kukuibia siri kuwa Chumvi zooote ni vitu bitakatifu ila Chumvi inayotokana na DHAHABU ni kitu kingine katika UTAKATIFU...baada ya maandalizi maalumu! Sasa jaribu kufuatilia Dawa za kale za kuitwa KUSHTI TILA KALAN(Waarabu na Ulaya kiasi)pia SWARNA BHASMA(WAHINDI) pia kitu cha kuitwa MUPPU(Ukanda wa Himalaya)....Majina haya yote yanamaanisha Majivu au Chumvi ya DHAHABU!!!! Kwenye biblia pale Moses alipochoma dhahabu iliyoundwa kwa mfano wa ng'ombe na kuweka katika maji na kuwapa watu wanywe ili kufuta dhambi basi hapo alitengeneza Chumvi ya dhahabu sasa...dawa ya kuondoa mikosi na kumpa binadamu UTAKATIFU na uponyaji wa maradhi yote hata kama alikuwa hapendi!! Wanaoijua dhahabu ni kwamba huwezi ichoma kwa moto ukaiharibu nali hunawiri kwa moto...isipokuwa tu kama unaigeuza kuwa chumvi n.k kwa kutumia vitu vingine. Hivyo Moses alitengeneza hii dawa amnayo iliwafaa watu wa chini huku yeye na wakubwa wenzie wakifaidi dawa hiyo hiyo ya dhahabu iliyostawishwa katika SANDUKU LA AGANO na kujazwa nguvu zaidi...ikaitwa MANNA KUU!! Pia wakawaficha watu kuwa Ile Manna iliyokuwa inadondoka na kuokotwa asubuhi ilikuwa ndio umande wa mbinguni katika mfumo wa barafu au jelly na ni sehemu tu ya manna kuu.....sasa Moses na wenzake wao walichukua huo umande wa mbinguni na kuunganisha na chumvi au majivu ya dhahanu katika mtambo wa kuvunia utakatifu(Sanduku la Agano) na kupata MANNA KUU yenye nguvu mara dufu ya Umande waliookota watu jangwani au Majivu ya dhahabu ya ng'ombe alichoma Moses. Kwa hiyo watu wa kawaida walipewa vitu nusu nusu wasije wakazidi HEKIMA! Hata hizo dawa za dhahabu nilizotaja hapo juu ni vitu nusu nusu ila uponyaji wake huwezi fanana na dawa yoyote duniani! MIFUMO YA KILEO YA KIBEPARI ILAANIWE Maana Inaficha vitu vingi sana hakika!! Binadamu amefanywa kuwa mpumnavu mnoo!! Kwa maelezo haya naomba unipe Maua yangu mimi Pamoja na Manabii na Wanafalsafa wengine waliodiriki kupenyeza Akili zao na kutatua Mafumbo makubwa kama haya! Asante!

Sasa wewe endelea kuhubiriwa na PASTOR WAKO kuwa Hekima aliyopewa JAKOBO na babaye ESAU ni maneno yatokanayo Na MVI za kichwani kama tunavyojuzwa maana ya hekima kwa nyakati hizi....eti hekima ni maneno ya busara ya wazee wenye mvi n.k! Sasa kama HEKIMA ni maneno ISAKA aliishiwaje hayo maneno mpaka ashindwe kumpa ESAU????????

Katika aya hii iliyopita nimeelezea KITU KIKUBWA KILICHOWASUMBUA HATA MANABII KWA MIAKA NA MIKAKA....AMINI NAKWAMBIENI!!!! Lichukue kama somo kubwa sana na liwafundisheni kuheshimu Mila na tamaduni zenu. Mila na tamaduni zoooooote Ulimwenguni zimezaliwa kutokana na JUHUDI za binadamu katika kuvuna UTAKATIFU uliowekwa katika Mifumo ya asili!!

Sasa wewe endelea kudharau na kudhihaki ule msemo wa kutoa mikosi kwa kuoga maji ya baharini ya chumvi huku ukikimbilia kupewa chumvi na maji ya dukani huko kanisani kwako. Maji na chumvi ambayo kiuhalisia hayana nguvu yoyote TAKATIFU YA ASILI AU MUNGU bali kinyume chake....hiyo ndio gharama ya UTUMWA WA KIROHO NA KIFIKRA!!

Suala la Matumizi ya Chumvi na maji katika kuvuna Utakatifu lipo katika jamii zote duniani!! Chumvi ya mawe...chumvi ya mawe ya rangi ya himalaya n.k.....ila kama nilovyosema kuna chumvi na chumvi na zinatofautiana nguvu!! Pia maji na nguvu zake zinatofautiana kulingana na eneo lina nguvu kiasi gani kuweza kuyapatia maji hiyo nguvu.

Ukiangalia DOCUMENTARY inayoitwa WATER HAS MEMORY utaona watu wanavyokesha kutafiti vitu...humo kuna maelezo ya majaribiio yanatumia Wanyama kutambua maji Yenye nguvu isiyo ya kawaida.....miujiza mingi ya maji imeelezewz humo kwa tafiti kama za kina MASARU EMOTO n.k!

HEKIMA aliyoomba SOLOMON kwa MIUNGU YAKE kilikuwa ni kitu cha kushikika haswaa mkononi kama ugali n.k....na SOLOMON Ameongelea hilo katika maandiko yake. Hata wimbo tunaoambiwa anawasifia mabinti n.k Mfalme SOLOMON alikuwa anaisifia hiyo daw na namna ya kutengeneza...URITHI wa mababu zake.

Mafuta ya wapakwa MAFUTA kama Kina Yesu Ndio hiyo HEKIMA sasa. Hayo yote yakazaa CHUMVI ya UPAKO na Maji ua UPAKO na MAFUTA YA UPAKO ya kina MWAMPOSA n.k....UTAPELI!!!!!

Nimeenda mbali kidogo na Topic ya eneo la Mashariki ya kati lakini najaribu kuelezea umuhimu wa eneo hilo katika uvunaji wa UTAKATIFU maana hata utengenezaji wa vitu kama HEKIMA niliyotaja hufanikiwa zaidi mtu akiwa katika maeneo kama hayo n.k!!

Tukirudi katika maelezo ya Eneo hilo la kati ya mito hiyo miwili ambalo limeelezewa kwa njia ya METAPHOR katika maandiko mbalimbali, haimaanishi kuwa hakuna maeneo mengine au hilo ndilo la muhimu dunia nzima kiasi cha watu kutumia gharama kubwa kila mwaka kwenda kuhiji huko. Huu ni Utumwa wa Kiimani na ujinga(kutokujuwa) wa hali ya juu unaotudhalilisha waafrika.

Nimeshaelezea kuwa vitu au majengo au maumbo ambayo kimsingi ni Mitambo ya kuvunia Utakatifu inaweza kuwepo popote. Umaarufu wa eneo la mashariki ya kati baina ya Mto Euphrates na Nile linatokana na kuwa Dini za Abrahamu zimelifanya hivyo kutokana na kuenea sana duniani katika Nyakati zetu. Wayahudi na Waarabu kwa Mila na tamaduni zao wanatukuza maeneo yao kwa utakatifu nasi kwa kuwa ni MAKONDOO WAO tukadhani kwetu hakuna kitu kama hicho na kulazimika kuwatajirisha watu kila mwaka kifuata hija huko!

Sasa iko hivi; Nimeeleza kuwa vitu kama KA'BA ni mtambo tu wa kuvunia utakatifu. Maeneo hayo na karibu yake kwa kuwa na Concentration ya Utakatifu basi hata Maji yana nguvu mfano maji maarufu ya ZAM ZAM!!!

Sasa pale KA'BA kilichopo ni jengo tu la umbo la Pembe nne(cube) na KIPANDE CHA KIMONDO katika Angle mojawapo! Wanaohiji hukishika hicho kimondo(jiwe.... lakini ni chuma. Kwa kushika kimondo hicho basi huvuna baraka kwa Imani yao.

Vivyo hivyo katika Ukuta wa Magharibi wayahudi huabudu kwa kusoma Torah na kushika mawe ya ukuta....huku ni kuvuna utakatifu!

Pale Misri yale mapiramidi yalitumika km hivyo juu....lakini kwa mapana zaidi. Watu walienda kuvuna UTAKATIFU...Lakini wale ELITE(wakubwa) walitumia vyumba vya Malkia na mfalme(kings & queens chambers) kusafiri kiroho n.k!

Sasa kusini mwa Afrika na hata Tanzania tuna maeneo kama hayo ya Mashariki ya kati!!!!!

Maeneo ya kale sana ni kaskazini hasa Mikoa ya Manyara, Arusha na Kilomanjaro.....Mlimma wa Oldonyo na ukanda wake wote....Kilomanjaro n.k.

Lakini eneo lenye nguvu za kufanana na KA'BA ni MBOZI pale kwenye KIMONDO. Kwanza kabisa kisichojulikana na Wengi ni kwamba kile KIMONDO pale KIMEWEKWA...na nani!!? Haijulikani!....Lakini kimewekwa hakijaangukia eneo hilo!! Hiki kimondo pamoja na vingine kama kile kikubwa cha HOBA viliwekwa katika GRIDS hizo kwa Ajili ya KUVUNIA UTAKATIFU!!!

Walichokuwa wanakifanya wenyeji ni kukishika au kuweka vimiminika km mafuta na maji. Baada ya vimiminika hivyo kujaa utakatifu au upako basi walovitumia kujipatia BARAKA/UTAKATIFU/UPAKO. Mpaka leo kuna watu hufanya hivyo pale MBOZI.

Wasomi na wataalamu wa KISASA hawana majibu vimondo hivyo vilifikaje pale!! Hawana!!! Nadharia zao hazitoshi kuelezea uhalisia wa kuwepo vimondo vile pale....maana kama vingefika hapo kwa kuanguka basi vingeacha mashimo makubwa sanaaa....dalili zote hazioneshi hivyo.

Sasa jibu rahisi ni kuwa vilifikishwa maeneo hayo kutoka sehemu zingine kwa njia ya Anga!!! Ndio kwa usafiri wa anga!!...kiaje!??
Vilisafirishwa kama ambavyo mawe makubwa mara dufu yenye maelfu ya tani za uzito yalisafirishwa mamia ya kilomita mpaka site za ujenzi kama pale giza plateau Kwenye Mapiramidi! Yaani kuna mawe yenye mamia ya tani yalosafirishwa umbali wa Dar hadi Singida maelfu ya miaka iliyopita....bila gari, ndege wala meli!! Walisafishaje!??....somo jingine.

Turudi kwenye mstari. Nimejaribuvkufodosa vitu vingi kidogo ili kusudi niweze kueleweka pale ninaposema kuwa sisi ni WATUMWA WABAYA na pengine hatupaswi kuwekwa katika ubora wa binadamu aliyekamilika!!!!

Hakuna utumwa mbaya kama Utumwa wa KITAMADUNI, KIMILA NA KIDINI....Tizama sasa tunavyotumia gharama kubwa kwa kufuata KIMONDO UARABUNI na Wakati tuna KIMONDO CHETU tena kikubwa na chenye NGUVU KUBWA mara dufu ya kile cha Waarabu. Tizama sasa tunavyofunga safari kwenda kuhiji Israeli na wakati tuna maeneo yenye nguvu kupita hayo.....tizama tulivyolishwa uchafu wa kuidharau MISRI yetu na vitu au mitambo yake na Hekima zake! Hakika wangekuwepo leo hao manabii watajwa wa vitabu vya dini za Abraham wangekuwa wanalilia kufika Afrika kwa ajili ya kubarikiwa na ardhi hii!! Anayebisha kuhusu ukweli huu basi Naomba anitajie NABII Wa kitabuni MMOJA TU ambaye hakuwa kufika MISRI KUHIJI NA KUBARIKIWA!!!! Sasa wapumbavu walichukua maovu ya Farao mmoja tu kuichafua Misri yoote....yaani tuseme walichukua hadithi ya kupotoshwa ya Iddi Amini kuichafua Uganda!!!!

Utakatifu utuingie.....TUTOKE KATIKA UTUMWA NA LAANA HII.

Kutoka kwa:
MUMBE MOMBEE
0759770233
Singida, Tz.
Feb.5,2024.
Umecopy na kupaste likitabu
 
Back
Top Bottom