Nataka nifumue ukweli kuhusu 666

Nataka nifumue ukweli kuhusu 666

Unataka kujua mambo kwa ubishi bwasheee

"Nasi" ni wingi.....MUNGU ,MALAIKA NA MITUME.....

Kiarabu ni lugha ya MASHAIRI....ni sawa na mimi nikukaribishe nyumbani kwangu halafu nitumie "polite language" hii...."karibu kwetu"....nikisema "kwetu" ina maana si "kwangu"?!!!!

Upanue ubongo bwasheee


KWELI AKILI KISODA.

MIMI NAKUTUMIA ALAFU NAKUA SHAHIDI??????

UNAJUA MAANA YA SHAHIDI??????????
 
VITABU VYA UNABII NI VYEPESI SANA.

BIBLIA ISINGEANDIKA KATIKA LUGHA ZA PICHA NA MAFUMBO INGEHARIBIWA SANA.

NINGEWEZA KUFUNDISHA STRUCTURE YA HIVI VITABU BURE KABISA LAKINI KUNA WATU HAWAJUI KITU HALAFU WANAKATISHA SANA TAMAA.
 
VITABU VYA UNABII NI VYEPESI SANA.

BIBLIA ISINGEANDIKA KATIKA LUGHA ZA PICHA NA MAFUMBO INGEHARIBIWA SANA.

NINGEWEZA KUFUNDISHA STRUCTURE YA HIVI VITABU BURE KABISA LAKINI KUNA WATU HAWAJUI KITU HALAFU WANAKATISHA SANA TAMAA.
Upo sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom