


For the first time tuu,ukiwasha tuu gia inawaka kichwani breki jalalani kuanza maisha mapya
Ndio hivo hivoPole sana mkuu ..
Xo unacheka mwenywe TuWe usikonde..kwa siku za mwanzoni utakuwa unacheka Sana baada ya kuvuta..bangi inachekesha Sana hasa ukivuta Kisha uingie jamiiforum


vitu vingine jmn dah!!Konkiii master nikikumbuka nilikuwa nafundishwa kunyonga dah naishia hapoWakudumu Mkuu, ngoja nikupe ushauri hapa, ukitumia jani then ukaona hautaki kwenda kuoga achana nalo, ukitumia jani ukakesha/kesho yake ukawahi kuamka achana nalo, ukiendelea very very soon utawehuka.
Kamwe usitumie jani ukiwa na hauna malengo utaji overload, jani unatakiwa ulitumie kisha uburudike kwa usingizi mwanana yaani usingizi mzito kweli kweli, hapo utaendana nalo.
Alafu usiigevwale wanaolivuta jani wanaweka shiiii!, Kama sijui wanavuta kitu gani wewe relax vuta kama sigara tu, hapo utabaki na lips nyekundu na kucha nyeupe.
Nimetumia nikiwa na miaka 13 hadi leo nina lips nyekundu, kucha nyeupe na skuli nilikua bright tu. Ila walioniiga wengi walipotea sijui walikosea wapi hata.



Kipi hicho unacho kitafutaga hukipati ?? ..
For the first time tuu,ukiwasha tuu gia inawaka kichwani breki jalalani kuanza maisha mapya






huu uzi unanichekesha!Vya jero kwenu unapata vingapi.alafu ukivuta skanka uendelee na skanka maana zinafungua ubongo kiasi ukivuta bush kush za karakana husikii chochote ndio madhara yake hayo Mie saiv bangi za jero nawasha hata kumi nikiwa na maji afu naingia kazini
![]()
Unaweza kujiamini ila ukafanya mambo ya hovyo ukapigwa na kitu kizito kichwani








akapigwa na nn vileJitahidi uweKuwa makini siku nyingine ..








hii kitu anayetumia sipendi akae karibu Yangu nakumbuka ma dereva wa tahmeed mombasa jmn mpka Wana matezi


😂😂😂😂😂😂We lipulize hamna noma..
View attachment 1892555