Nataka nianze kula mjani

Nataka nianze kula mjani

Baada ya kelele nyingi za waoangaji wenzangu juu ya harufu ya bangi usiku nikitoka mishe basi nikaamua kubadilisha style... naenda kwa pusha nanunua makapi yale yote nikifika geto napikia chai nakunywa.... stimu zake sio za kindergatern
Ukipika Ina stimu nzuri?
 
Kush kush!!
Binafsi inanipa faida kubwa sana labda hii inatokana na style ya uvutaji huwa navuta kila jioni nikitoka job nikishavuta napga glass ya maziwa nikitoka hapo nakula msosi heavy sana na maji ya kutosha hii ni faida mojawapo kwangu kwa sababu mm sio mlaji wa chakula ila nikila ile kitu nakula vzur pia mm ni mtu wa hasira za karibu sana na muongeaji ila nikipiga ile kitu nakuwa nipo cool sana na inanipa uwezo wa kufikiria natumia dry...sasa inategemea na kichwa chako utakapovuta ila kwa ushauri usivute ukiwa katika shughuli zako maana km ndio first time uta sizzy jaribu mida ambayo utakuwa free ili ugundue inakusaidia nn na inakuathiri kitu gani...
 
Welcome jua
Kuna dry na mixer.chaguo Ni lako
Mdomo utakuwa mweusi na umelegea
Kunywa maji sana
Inanukaga mno rahisi kushtukiwa
Ikikaa Sana kichwani inaficha homa siku homa ikilipuka RIP in advance
Ukivuta unajistukia hutaki mtu wa familia akujue Kama macho mekundu
Tamu Sana feeling alright hasa ukiwa UnaKula ngoma za hip-hop kina Roma,nikki,ghetto,kad go,ngwair,na wengineo wengi
View attachment 1887668
Au asikilize hip hop za 90s wakina Tupac, coolio na wengne usisahau reggae bob
 
Kush kush!!
Binafsi inanipa faida kubwa sana labda hii inatokana na style ya uvutaji huwa navuta kila jioni nikitoka job nikishavuta napga glass ya maziwa nikitoka hapo nakula msosi heavy sana na maji ya kutosha hii ni faida mojawapo kwangu kwa sababu mm sio mlaji wa chakula ila nikila ile kitu nakula vzur pia mm ni mtu wa hasira za karibu sana na muongeaji ila nikipiga ile kitu nakuwa nipo cool sana na inanipa uwezo wa kufikiria natumia dry...sasa inategemea na kichwa chako utakapovuta ila kwa ushauri usivute ukiwa katika shughuli zako maana km ndio first time uta sizzy jaribu mida ambayo utakuwa free ili ugundue inakusaidia nn na inakuathiri kitu gani...
Nimependa discipline ya utumiaji mkuu, shukrani ..
 
Welcome jua
Kuna dry na mixer.chaguo Ni lako
Mdomo utakuwa mweusi na umelegea
Kunywa maji sana
Inanukaga mno rahisi kushtukiwa
Ikikaa Sana kichwani inaficha homa siku homa ikilipuka RIP in advance
Ukivuta unajistukia hutaki mtu wa familia akujue Kama macho mekundu
Tamu Sana feeling alright hasa ukiwa UnaKula ngoma za hip-hop kina Roma,nikki,ghetto,kad go,ngwair,na wengineo wengi
View attachment 1887668
Mkuu akitumia vizuri wala mdomo hauwezi kuwa mweusi na pia akiwa anapiga msosi vizuri atakuwa na afya nzuri sana na hata magonjwa nyemelezi hayawezi kumsogelea weed inataka msosi haswaa!!
 
nina miaka 3 navuta (kwa week navuta mara 3 )

kuvuta kumeniletea faida na hasara (faida ndo nyingi)


FAIDA

kujiamini

upole

mara nyingi nikiongea naongea fact
hata kwenye vikao vya familia naongea kistaraabu sana.

siugui ovyo ovyo

naona kupata na kukosa ni matokeo (ganja inakupa imani )
sibagui watu kama zamani

nimepunguza lawama (hata ukinitukana nikishavuta nachukulia kama mapito.)

ile feeling baada ya kuvuta inanifanya nionekane mwenye thaman duniani(sijui kwa nini)


najiskia fresh mwilini

ukivuta stress zote kwisha dunia unakuwa unaiona kama tambarare tu .

nakuwa mtu mwenye msimamo na kile kitu nachokiamin.

HASARA ZAKE BAADA YA KUVUTA

mikono na mdomo imeanza kuwa myeusi kimtindo

kichwa kinakuwa kizito

sipendi kukaa sehemu yenye kelele sana

mtu akiongea sana (mropokaji)masikio yangu yanaanza kuwasha.
 
Anza na mchaichai baadae, kula ya muarobaini ,ukifika level 3 rudi utupe mrejesho,tuendelee kukushauri
 
Back
Top Bottom