For the first time tuu,ukiwasha tuu gia inawaka kichwani breki jalalani kuanza maisha mapyaUfafanuzi please .. unakua kichaa immediately baada ya kutest for the first time au baada ya kuendelea kutumia ? ..
Ndio hadi wakukute nalo ila kwani ushawahi kusikia mtu kashitakiwa kwa kutumia jani?, Mateja wote na baadhibya wasanii wangekuwa jela sasa hiviSasa utatumiaje bila kuwa nayo ..
SanaaaDuh kumbe mjani unahitaji discipline namna hiyo ..
Wachawi huwa waoga kwenye mambi ya kiume kama haya.Kusema kwamba mjani unafukuza wachawi mbona kama stori tu za kusadikika ?? ..
Kwahiyo unataka kuniambia, hapo ulipo kwa sasa haujiamini?nachohitaji mimi ni kujiamini tu .. sitaki uoga ..




BIG N.OKatika watu 10 inawakubali watatu..7 wote wanawehuka(wanakua vichaa)
Noma sio kidgo mkuu,itafute movie ya Friday ya Ice cube yupo na Chris's Tucker ndio utajua ganja ikiamua kukuchezesha![]()
![]()
noma sana ..![]()
Hahah, aisee hii jani linalindwa sana.Mjani ni kipimo cha uchizi.
Kuna binadamu wana uchizi ndani yao na wengine hawana so ili uweze kutambua kama una uchizi au hauna unatakiwa upige mjani.
Ahsanteni.


Na rasta fuga kabsaNiaje wakuu ..
Natarajia kuanza kula mjani as a way of boosting my confidence and self esteem, ninachohitaji kujua ni je kuna madhara yoyote ya kiafya yatokanayo na mjani huu mtukufu.
Vipi kuhusu kazi labda abroad haiwezi kuleta noma labda wakikupima afya alafu mjani ukawa detected ..
Karibuni ..
Kuna member hapo juu kasema kuwa, ngoma ikikukataa ndo mazima jalalani .. kuna ukweli wowote hapo ? ..Mjani ni kipimo cha uchizi.
Kuna binadamu wana uchizi ndani yao na wengine hawana so ili uweze kutambua kama una uchizi au hauna unatakiwa upige mjani.
Ahsanteni.
Basi ndo Ivo Ivo mkuu katika watu 10 Saba wanauchizi,watatu wapo freshBIG N.O
Mjani ni kipimo cha uchizi, ingekuwa ni magari basi tungeongelea issue za emission test.