Simon Adebisi
JF-Expert Member
- Aug 7, 2018
- 1,274
- 2,462
Inaatikana mwanangu mi nna season zote .... hawa jamaa wa movie linraries zile kubwa kubwa au udonwloadHakika mkuu hv inapatikana ile series naisaka sana
Inaatikana mwanangu mi nna season zote .... hawa jamaa wa movie linraries zile kubwa kubwa au udonwloadHakika mkuu hv inapatikana ile series naisaka sana
Hakikisha Kwanza kwenye ukoo wenu hakuna historia ya magonjwa ya akili.nachohitaji mimi ni kujiamini tu .. sitaki uoga ..
Sawa mkuu, pia hakikisha una kipato/kazi ya kueleweka. Hii kitu inaweza kukuletea uvivu wa kufanya mambo yaani utataka urelax tu na unajikuta unaridhika kwa vitu vidogo ingawa mipango ya maendeleo unakuwa nayo ya kutosha. Pia vuta kwa kiasiHakuna mkuu, tupo vizuri ..
Kaka yako alikuwa chizi kabla ya kutumia. Ndivyo ilivyo...inaamsha ukichaa ulionaoAcha ujinga, majani yanamadhara makubwa kuliko faida.!
Kaka yng alienda kuponea Ilembula Njombe.
Unaweza cheka kitu kidogo hadi.ukajishangaa mwenyewe. Raha muwe wawili mcheke hadi mbavu ziume😀😀, Raha sanaMpaka Leo mwaka wa 15 sijui kunyonga, labda kwavile sivuti mara kwa mara, ila sijawahi kumaliza mwezi ,.kuna wakati nilifululiza kila wiki, Skanka inanifanya nicheke mpaka nahisi pengine nimechanganikiwa sijui
Usivute bila kuwa na reason, how? Three times a day hebu nipe mfano wa reason yakoNilianza kuvuta 9 years ago. Kiukweli madhara sijayaona, na ni mvutaji haswaa. Yaani navuta three times a day.
Nilichojifunza ni kuwa, bangi ni mmea mtakatifu sana, na usivute bila ya kuwa na reason, kama wewe ni mbunifu bangi ni mahala pake kwa sababu, bangi inaleta mawazo mapya, na inakupa majibu ya maswali yote unayoyatafuta. Kama unahitaji kufanya tafakari pana weed ndiyo kitu maalumu cha kutumia.
ONYO: Usivute vijiweni, usivute na mtu ambaye haujamzoea. Na pia usivute bangi ukajiona muhuni, kwa sababu bangi inatabia ya kukuaminisha kile unachotaka kuamini.
Cheers!! Have fun bro. Kwa kujifunza mengi zaidi tembelea uzi wetu pendwa Psychedelic Drugs & Consciousness
Utaliwa jicho kirahisi mnoooMwaga madini mkuu, tupeni kujifunza ..
Aisee ule mzuka wa kucheka cjui unatokaga wapi yaan waeza chekeshwa kidogo ukacheka mpaka machozi yakakutoka ..nakumbuka jamaa zangu walipiga hio kitu walicheka kuanzia saa tano usiku mpaka saa Tisa ...hapo washagongewa mlango mara kazaa wanaamsha watu ..kesho yake notes wakapewaWe usikonde..kwa siku za mwanzoni utakuwa unacheka Sana baada ya kuvuta..bangi inachekesha Sana hasa ukivuta Kisha uingie jamiiforum
Mkuu
Dog ulimvutishaje, maana nina shepherd mmoja ukali wake hauridhishi. Nataka awe mkali haswa
Nacjanganya majani mabichi wakati wa kuchemsha au nachanganya majani yaliyokauka wakati wa kuchemsha? Au wakati wa kula?Kama huwa unamchemshia nyama, changanya humo wakati huo.
Pamoja sana mkuu ..Sawa mkuu, pia hakikisha una kipato/kazi ya kueleweka. Hii kitu inaweza kukuletea uvivu wa kufanya mambo yaani utataka urelax tu na unajikuta unaridhika kwa vitu vidogo ingawa mipango ya maendeleo unakuwa nayo ya kutosha. Pia vuta kwa kiasi
Sawa mkuu, mimi nafanya kazi zinazohusisha ubunifu sana, nafanya music production nafanya na digital art. Kwa hiyo, artistically speaking, weed gets me going...Usivute bila kuwa na reason, how? Three times a day hebu nipe mfano wa reason yako
Sawa sawaSawa mkuu, mimi nafanya kazi zinazohusisha ubunifu sana, nafanya music production nafanya na digital art. Kwa hiyo, artistically speaking, weed gets me going...
Kwa hiyo weed inaongeza ubunifu na ubora wa sanaa zaidi kwa sababu akili yako inakuwa inarush na mawazo mapya na ideas.
Wanaovuta bila kuwa na sababu maalumu just to get high wanakuwa kwenye risk kubwa ya kupata matatizo kiakili kama anxiety, and depressive disoders kutokana na overthinking. Watu wengi wanavuta bangi bila kujua inafanya kazi vipi ama inaoperate vipi.
Thats why baadhi ya watu wanakuwa delusional na kuanza kujiona wahuni. Kwa hiyo kwa baadhi ya watu wanashauriwa bangi isiwe frequent thing kwao kwa sababu inaweza kubadili thought pattern na kukutoa katika uhalisia .
Asee itabid niitafuteInaatikana mwanangu mi nna season zote .... hawa jamaa wa movie linraries zile kubwa kubwa au udonwload
Nacjanganya majani mabichi wakati wa kuchemsha au nachanganya majani yaliyokauka wakati wa kuchemsha? Au wakati wa kula?
Ndio ikawa hivyopole sana mkuu, ilikuaje mpaka ukaliwa jicho kizembe namna hiyo ?? ..