Aisee umechelewa kutumia hilo jani, Mimi nilikua nakunywa pombe nikawa napata maumivu ya kichwa,Nikaacha pombe nikaanza kuvuta jani,Halina tatizo cha msingi usivute na washkaji mavi, wengine vichwa vibovu hawawezi kuhimili wataanza kuleta fujohapo mahali mwishowe mnakamatwa wote,kula vizuri ushibe ingia mahali pa utulivu piga kifaa chako ujionee dunia engine.
Roll mwenyewe maana ukimpa kazi pusha anaweza kukuchanganyia madawa mengine ukawa teja.
Hakikisha inakua ni siri yako wewe mwenyewe na pusha.