Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,146
- 190,621
Umejiuliza sababu za uoga wako ni kitu gani? Ukitaka jiamini tafta rafiki ambaye anajiamini sana atakusaidia kubadilika kisaikolojia tu!nachohitaji mimi ni kujiamini tu .. sitaki uoga ..
Umejiuliza sababu za uoga wako ni kitu gani? Ukitaka jiamini tafta rafiki ambaye anajiamini sana atakusaidia kubadilika kisaikolojia tu!nachohitaji mimi ni kujiamini tu .. sitaki uoga ..
Hapo kwenye mixer si ndo huwa wanamix na powder au sio ?? ..Welcome jua
Kuna dry na mixer.chaguo Ni lako
Mdomo utakuwa mweusi na umelegea
Kunywa maji sana
Inanukaga mno rahisi kushtuka
Ikikaa Sana kichwani inaficha homa siku homa ikilipuka RIP in advance
Ukivuta unajistukia hutaki mtu wa familia akujue Kama macho mekundu
Tamu Sana feeling alright
Nenda kachanje kiongozi maana hicho unachofikiria kukianza ni zaidi ya uviko 19Ipi hiyo mkuu, mbona sijachanja chochote ..
Kwahio unahisi utaenda peponi au?Nashukuru MUNGU mpaka muda huu naandika,sijawahi kutumia bangi,sigara na pombe ya aina yoyote ile
Hahaha aa .we hutaki mabikira sabiniKwahio unahisi utaenda peponi au?
AhsanteHongera sana mkuu ..
Mabikra huwez pewa bro, si umezini😅Hahaha aa .we hutaki mabikira sabini
80% tuna mix na sigara Kali nyotaHapo kwenye mixer si ndo huwa wanamix na powder au sio ?? ..
Unaweza kujiamini ila ukafanya mambo ya hovyo ukapigwa na kitu kizito kichwani
We usikonde..kwa siku za mwanzoni utakuwa unacheka Sana baada ya kuvuta..bangi inachekesha Sana hasa ukivuta Kisha uingie jamiiforumMkuu mbona kama tunatishana ..
Kwahio unahisi utaenda peponi au?