Nataka nianze kula mjani

Nataka nianze kula mjani

hii kitu anayetumia sipendi akae karibu Yangu nakumbuka ma dereva wa tahmeed mombasa jmn mpka Wana matezi
Mbona haina shida yoyote .. hata harufu hake sio Kali ..
 
Huwa nasikia Brenda Fasi yule msouth alianza hvhv nasikia alikuwa anaenda maskan za wabongo Kula ganja so wakaanza kumchanganyia na poda Sasa yye akavutiwa na stimu za ule mjani pasipo kujua kuwa anachanganyiwa na poda,ndio ikawa mwanzo wa gari kuwaka mpka umauti wake( rip Brenda fassie
Ndio nachokisemea na ndio ukweli wenyewe.. hizi mambo za kujifanya sijui unatafuta stimu mara kitu cha malawi, sijui zambia au kwa madiba sijui high grade ukiwa akili za kushikiwa mbeleni kubaya sana

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Kazi ya kwanza muwasibu (waliniita muwasibu mtoto). nikifika mwisho wa mwezi nitoe hesabu za mwezi kwa menejimenti.
Ma pl ma projection ma cash flow daah ilikua noma sana.
Sasa full kutetemeka yaani ceo, gm wako mbele pale.
Basi bwana nikapata solution. Yaani ikifika kesho ndio siku ya kutoa report nikawa natafuna vijiti kadhaa asee kesho yake naanguka tu maelezo kama yote. Hata kama nilikua wrong lakini ile confidence yangu boss alinikubali kichizi.
Ila skuizi nimeacha coz sipati connection ya kuipata kama zamani.
 
Mm kila nikiamka alfajiri napiga stiki moja then naoga maji baridi huku najiandaa kwenda job. Ganja raha sana ila usipende kushinda maskani gogo zembe. Chukua mzigo ukague kama og then vuta kwako taratibuu kwenye garden yako nyumbani, usimeze mimoshi kama warugaruga. Ukimaliza oga swaki alafu shushia na dompo wine glass moja huku unasoma kitabu cha novel. Yani ni raha kuliko kupewa mabikira 70 watakuchosha tu
 
Back
Top Bottom