Hapa kuna hatua za kufuata na mambo ya kuzingatia:Habari wakuu
Niliwahi kuleta uzi humu kuhusu mke wangu niliempa mtaji akafanye biashara ya duka la kuuza urembo wa kike pamoja na saloon lakini akauwa ile biashara.
Yule alikua anafanya biashara kisa wenzake wanafanya lakini nina mchepuko wangu huwa ananipoza nikiwa dar, yeye kiukweli anajua hii biashara. Kuna muda anakuja kukaa hapa kwangu karibu wiki mbili na naona kabisa matumizi yake ya hela yapo vizuri na pia yupo sensitive na costs. Nimeamua kumsupport nimfungulie biashara yake sababu kwa sasa anafanya hio biashara ila anamfanyia mtu (mwanamke mwenzake) na wamekua hawapatani kwa muda sasa.
Naombeni ushauri kuhusu mahala pa yeye kuanzia ambapo hapatokuwa na kodi kubwa ila pawe na kiasi kizuri cha wateja, na vile vile jumla ya mtaji wa kuanzia ukiachana na kodi. Hayo maswali mnaweza sema nikamuulize yeye mwenyewe lakini yeye alikua ni mfanya kazi tu, hajui kuhusu details zaidi lakini ile kazi anajua kuifanya, kuna muda anaji-makeup mwenyewe ila ni kama kafanyiwa na professional makeup artist.
Niko hapa Nawasikiliza, ukiwa na details nzuri nzuri kabisa kama vile location hadi namna ya kupata wateja kwa location hio basi shuka hapa na wadau wakikubali idea yako mimi nitakupa zawadi (vijihela vya vocha, 10k, 20k hadi 30k), ila tu iwe very useful info, na kama ni sensitive basi njoo directly PM. Au kama unajua mtu ana duka la hayo mambo na anataka kuliuza basi njoo moja kwa moja PM
😂😂😂Umeanza hebu toa ushauri hapaKwa kuwa ni mchepuko hata tukimpa huo ujuzi hilo duka haliwezi kufika mbali. 😂😂😂
Sounds like ChatGPTHapa kuna hatua za kufuata na mambo ya kuzingatia:
Mpango wa Biashara: Anza kwa kuandaa mpango wa biashara. Hii itakusaidia kuelewa gharama za uanzishaji, utaratibu wa biashara, na utafiti wa soko.
Mtaalam wa Urembo: Kama hautoshi uzoefu katika eneo hili, unaweza kuajiri mtaalam wa urembo kufanya kazi nawe au kushauriana nao.
Mahitaji ya Mtaji: Mtaji unaweza kutofautiana sana kulingana na eneo lako na kiwango cha huduma unachotaka kutoa. Unaweza kuhitaji kuanzia dola za Marekani 1,000 hadi 5,000 au zaidi kwa vifaa na vifaa vya kuanzia.
Chagua Eneo: Tafuta eneo linalofaa. Unaweza kuanza kwa kutoa huduma za nyumbani kwa wateja au kutafuta nafasi ndogo ambayo haitoi gharama kubwa za pango. Angalia maeneo ambayo wazazi wanaweza kufikia kwa urahisi.
Usajili na Leseni: Hakikisha kusajili biashara yako na kupata vibali na leseni zinazohitajika katika eneo lako.
Masoko na Uuzaji: Tumia mitandao ya kijamii, tovuti, na matangazo kufikia wateja wako. Pia, fanya kazi nzuri ili wateja wako wa kwanza waweze kutoa mapendekezo.
Mafunzo na Ubunifu: Endelea kujifunza na kuwa na ubunifu katika huduma zako. Unaweza kutoa mafunzo maalum kwa wafanyakazi wako ili kuwapa ujuzi zaidi katika urembo wa watoto.
Usalama na Afya: Hakikisha kuwa eneo lako linazingatia viwango vya usalama na afya vinavyohitajika kwa biashara ya urembo, haswa kwa watoto.
Nitumie Hela chap Kwa haraka
kiranga chote komo.Jamaa mmoja aliingia cha city.. Alianzisha mahusiano nje ya ndoa na mchepuko ambaye hakuwa gongo la mboto mwisho wa lami
Baada ya muda mchepuko akaja na wazo la kupanga ili kupunguza gharama za gesti na pia kwa sababu za kiusalama.. Mwana kakolezwa kakolea
Akamwambia bidada atafute chumba.. Chumba kikapatikana akapewa hela akalipie miezi sita.. Akalipia akapewa na mkataba kwa jina lake mpangaji
Maisha yakaanza na godoro alilopewa pesa akanunue, akanunua sita kwa sita na risiti yake kabisa kwa jina lake.. Mdogo mdogo akawa ananunuliwa vitu vya ndani na hata wakienda wote risiti alikuwa anachukua yeye kwa jina lake
Mambo yakaendelea mpaka akafunguliwa biashara ya duka la vinywaji na bites.. Na ili akopesheke ikabidi awe na leseni ya bishara.. Mkataba wa pango, leseni friji na kila kitu vyote alikuwa anaandika majina yake japo pesa hatoi yeye
Baada ya mwaka bidada akaanza kusumbua anataka atambulike rasmi kama mke mdogo! Jamaa akaona huu mtihani sasa dini yake haimruhusu kuoa wake wawili
Bidada visa vikazidi jamaa akikataa kulala kwake anamtishia ataleta mwanaume mwingine.. Baadae ikawa ni ugomvi kila wakati
Jamaa akaona isiwe tabu akaamua kubwaga manyanga kunusuru ndoa yake..lakini akaamua achukue kila kitu alichomnunulia yule mchepuko
Siku ya siku kaja na canter achukue vyake binti kakimbilia kwa mjumbe kwamba anaibiwa.. Jamaa kuja kuulizwa anasema ni vitu vyake kaamua kuvichukua akaombwa ushahidi hana
Binti yeye katoa mikataba na rundo la risiti kwa kila alichokuwa ananunuliwa.. Risiti zote zilikuwa kwa majina yake kuanzia nyumbani mpaka kwenye biashara.. Jamaa kabaki katumbua macho
Kwa panic na hasira akawa anachimba mkwara wa kumfanyizia mchepuko wake.. Akaambiwa akithubutu ajue kila kitu kitafika kwa mkewe.....
Sent using Jamii Forums mobile app
fanya hivi shauriana nae,juu ya mambo hayo ili afanye uamuzi ambao,atausimamia yeye mwenyeweHabari wakuu
Niliwahi kuleta uzi humu kuhusu mke wangu niliempa mtaji akafanye biashara ya duka la kuuza urembo wa kike pamoja na saloon lakini akauwa ile biashara.
Yule alikua anafanya biashara kisa wenzake wanafanya lakini nina mchepuko wangu huwa ananipoza nikiwa dar, yeye kiukweli anajua hii biashara. Kuna muda anakuja kukaa hapa kwangu karibu wiki mbili na naona kabisa matumizi yake ya hela yapo vizuri na pia yupo sensitive na costs. Nimeamua kumsupport nimfungulie biashara yake sababu kwa sasa anafanya hio biashara ila anamfanyia mtu (mwanamke mwenzake) na wamekua hawapatani kwa muda sasa.
Naombeni ushauri kuhusu mahala pa yeye kuanzia ambapo hapatokuwa na kodi kubwa ila pawe na kiasi kizuri cha wateja, na vile vile jumla ya mtaji wa kuanzia ukiachana na kodi. Hayo maswali mnaweza sema nikamuulize yeye mwenyewe lakini yeye alikua ni mfanya kazi tu, hajui kuhusu details zaidi lakini ile kazi anajua kuifanya, kuna muda anaji-makeup mwenyewe ila ni kama kafanyiwa na professional makeup artist.
Niko hapa Nawasikiliza, ukiwa na details nzuri nzuri kabisa kama vile location hadi namna ya kupata wateja kwa location hio basi shuka hapa na wadau wakikubali idea yako mimi nitakupa zawadi (vijihela vya vocha, 10k, 20k hadi 30k), ila tu iwe very useful info, na kama ni sensitive basi njoo directly PM. Au kama unajua mtu ana duka la hayo mambo na anataka kuliuza basi njoo moja kwa moja PM
Zero brains ni watu gan?JF Imejaa zero brains siku hizi, watu mnaulizwa swali, nyie mnatoa ushauri kama vile nimeingia mjini jana au juzi
🤣🤣🤣🤣Hao ndio manguli ya mjini... mwingine alifunguliwa liquor store imejaa kwelikweli,baada ya miezi 8siku isiyo na jina bidada katafuta frame nyingine mbali na pale kahamisha vinywaji vyote usiku kapeleka kwenye duka jipya kulivyokucha kakimbilia kuchukua RB,Mzee anakuja kupiga simu saa Tano ndio kachoropoka kwake anakutana na sad newz kwamba tumeibiwa kila kitu,,Mzee ikabidi aje amtulize bby na kulijaza tena duka,,,dada akawa na Maduka mawili Kwa mpigo chezea mcheps wenye akili wewe😎Jamaa mmoja aliingia cha city.. Alianzisha mahusiano nje ya ndoa na mchepuko ambaye hakuwa gongo la mboto mwisho wa lami
Baada ya muda mchepuko akaja na wazo la kupanga ili kupunguza gharama za gesti na pia kwa sababu za kiusalama.. Mwana kakolezwa kakolea
Akamwambia bidada atafute chumba.. Chumba kikapatikana akapewa hela akalipie miezi sita.. Akalipia akapewa na mkataba kwa jina lake mpangaji
Maisha yakaanza na godoro alilopewa pesa akanunue, akanunua sita kwa sita na risiti yake kabisa kwa jina lake.. Mdogo mdogo akawa ananunuliwa vitu vya ndani na hata wakienda wote risiti alikuwa anachukua yeye kwa jina lake
Mambo yakaendelea mpaka akafunguliwa biashara ya duka la vinywaji na bites.. Na ili akopesheke ikabidi awe na leseni ya bishara.. Mkataba wa pango, leseni friji na kila kitu vyote alikuwa anaandika majina yake japo pesa hatoi yeye
Baada ya mwaka bidada akaanza kusumbua anataka atambulike rasmi kama mke mdogo! Jamaa akaona huu mtihani sasa dini yake haimruhusu kuoa wake wawili
Bidada visa vikazidi jamaa akikataa kulala kwake anamtishia ataleta mwanaume mwingine.. Baadae ikawa ni ugomvi kila wakati
Jamaa akaona isiwe tabu akaamua kubwaga manyanga kunusuru ndoa yake..lakini akaamua achukue kila kitu alichomnunulia yule mchepuko
Siku ya siku kaja na canter achukue vyake binti kakimbilia kwa mjumbe kwamba anaibiwa.. Jamaa kuja kuulizwa anasema ni vitu vyake kaamua kuvichukua akaombwa ushahidi hana
Binti yeye katoa mikataba na rundo la risiti kwa kila alichokuwa ananunuliwa.. Risiti zote zilikuwa kwa majina yake kuanzia nyumbani mpaka kwenye biashara.. Jamaa kabaki katumbua macho
Kwa panic na hasira akawa anachimba mkwara wa kumfanyizia mchepuko wake.. Akaambiwa akithubutu ajue kila kitu kitafika kwa mkewe.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo umeajiriwa juzi tamisemi kajenge kijijini kwenu 😅😅Habari wakuu
Niliwahi kuleta uzi humu kuhusu mke wangu niliempa mtaji akafanye biashara ya duka la kuuza urembo wa kike pamoja na saloon lakini akauwa ile biashara.
Yule alikua anafanya biashara kisa wenzake wanafanya lakini nina mchepuko wangu huwa ananipoza nikiwa dar, yeye kiukweli anajua hii biashara. Kuna muda anakuja kukaa hapa kwangu karibu wiki mbili na naona kabisa matumizi yake ya hela yapo vizuri na pia yupo sensitive na costs. Nimeamua kumsupport nimfungulie biashara yake sababu kwa sasa anafanya hio biashara ila anamfanyia mtu (mwanamke mwenzake) na wamekua hawapatani kwa muda sasa.
Naombeni ushauri kuhusu mahala pa yeye kuanzia ambapo hapatokuwa na kodi kubwa ila pawe na kiasi kizuri cha wateja, na vile vile jumla ya mtaji wa kuanzia ukiachana na kodi. Hayo maswali mnaweza sema nikamuulize yeye mwenyewe lakini yeye alikua ni mfanya kazi tu, hajui kuhusu details zaidi lakini ile kazi anajua kuifanya, kuna muda anaji-makeup mwenyewe ila ni kama kafanyiwa na professional makeup artist.
Niko hapa Nawasikiliza, ukiwa na details nzuri nzuri kabisa kama vile location hadi namna ya kupata wateja kwa location hio basi shuka hapa na wadau wakikubali idea yako mimi nitakupa zawadi (vijihela vya vocha, 10k, 20k hadi 30k), ila tu iwe very useful info, na kama ni sensitive basi njoo directly PM. Au kama unajua mtu ana duka la hayo mambo na anataka kuliuza basi njoo moja kwa moja PM
🤣🤣🤣Hapo kwenye kiherehereUshauri mloombwa hamtoi, mmekazania mengine. Ila jf mna viherehere🤣
kama kuna kitu hakiniumizi kichwa basi ni pamoja na mali ninazolipia kwa ajili ya mwanamke, tukishamalizana huwa sidai hata mia, .....Jamaa mmoja aliingia cha city.. Alianzisha mahusiano nje ya ndoa na mchepuko ambaye hakuwa gongo la mboto mwisho wa lami
Baada ya muda mchepuko akaja na wazo la kupanga ili kupunguza gharama za gesti na pia kwa sababu za kiusalama.. Mwana kakolezwa kakolea
Akamwambia bidada atafute chumba.. Chumba kikapatikana akapewa hela akalipie miezi sita.. Akalipia akapewa na mkataba kwa jina lake mpangaji
Maisha yakaanza na godoro alilopewa pesa akanunue, akanunua sita kwa sita na risiti yake kabisa kwa jina lake.. Mdogo mdogo akawa ananunuliwa vitu vya ndani na hata wakienda wote risiti alikuwa anachukua yeye kwa jina lake
Mambo yakaendelea mpaka akafunguliwa biashara ya duka la vinywaji na bites.. Na ili akopesheke ikabidi awe na leseni ya bishara.. Mkataba wa pango, leseni friji na kila kitu vyote alikuwa anaandika majina yake japo pesa hatoi yeye
Baada ya mwaka bidada akaanza kusumbua anataka atambulike rasmi kama mke mdogo! Jamaa akaona huu mtihani sasa dini yake haimruhusu kuoa wake wawili
Bidada visa vikazidi jamaa akikataa kulala kwake anamtishia ataleta mwanaume mwingine.. Baadae ikawa ni ugomvi kila wakati
Jamaa akaona isiwe tabu akaamua kubwaga manyanga kunusuru ndoa yake..lakini akaamua achukue kila kitu alichomnunulia yule mchepuko
Siku ya siku kaja na canter achukue vyake binti kakimbilia kwa mjumbe kwamba anaibiwa.. Jamaa kuja kuulizwa anasema ni vitu vyake kaamua kuvichukua akaombwa ushahidi hana
Binti yeye katoa mikataba na rundo la risiti kwa kila alichokuwa ananunuliwa.. Risiti zote zilikuwa kwa majina yake kuanzia nyumbani mpaka kwenye biashara.. Jamaa kabaki katumbua macho
Kwa panic na hasira akawa anachimba mkwara wa kumfanyizia mchepuko wake.. Akaambiwa akithubutu ajue kila kitu kitafika kwa mkewe.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini unaibiwa?Ulizubaa?Kamata mwizi meeen!kodi zetu jamaaani🙇🙇 fisadi katuibia anaenda kumpa mchepuko duka
Mzee ikabidi aje amtulize bby na kulijaza tena duka,,,dada akawa na Maduka mawili Kwa mpigo chezea mcheps wenye akili weweHao ndio manguli ya mjini... mwingine alifunguliwa liquor store imejaa kwelikweli,baada ya miezi 8siku isiyo na jina bidada katafuta frame nyingine mbali na pale kahamisha vinywaji vyote usiku kapeleka kwenye duka jipya kulivyokucha kakimbilia kuchukua RB,Mzee anakuja kupiga simu saa Tano ndio kachoropoka kwake anakutana na sad newz kwamba tumeibiwa kila kitu,,Mzee ikabidi aje amtulize bby na kulijaza tena duka,,,dada akawa na Maduka mawili Kwa mpigo chezea mcheps wenye akili wewe
Wengine ni tofauti hasa wanaoamini mchepuko atakuwa mfanyakazikama kuna kitu hakiniumizi kichwa basi ni pamoja na mali ninazolipia kwa ajili ya mwanamke, tukishamalizana huwa sidai hata mia, .....
Raha za mchepuko upate wewe lakini unataka mawazo yetu katika kumfurahisha na kumtunza?Habari wakuu
Niliwahi kuleta uzi humu kuhusu mke wangu niliempa mtaji akafanye biashara ya duka la kuuza urembo wa kike pamoja na saloon lakini akauwa ile biashara.
Yule alikua anafanya biashara kisa wenzake wanafanya lakini nina mchepuko wangu huwa ananipoza nikiwa dar, yeye kiukweli anajua hii biashara. Kuna muda anakuja kukaa hapa kwangu karibu wiki mbili na naona kabisa matumizi yake ya hela yapo vizuri na pia yupo sensitive na costs. Nimeamua kumsupport nimfungulie biashara yake sababu kwa sasa anafanya hio biashara ila anamfanyia mtu (mwanamke mwenzake) na wamekua hawapatani kwa muda sasa.
Naombeni ushauri kuhusu mahala pa yeye kuanzia ambapo hapatokuwa na kodi kubwa ila pawe na kiasi kizuri cha wateja, na vile vile jumla ya mtaji wa kuanzia ukiachana na kodi. Hayo maswali mnaweza sema nikamuulize yeye mwenyewe lakini yeye alikua ni mfanya kazi tu, hajui kuhusu details zaidi lakini ile kazi anajua kuifanya, kuna muda anaji-makeup mwenyewe ila ni kama kafanyiwa na professional makeup artist.
Niko hapa Nawasikiliza, ukiwa na details nzuri nzuri kabisa kama vile location hadi namna ya kupata wateja kwa location hio basi shuka hapa na wadau wakikubali idea yako mimi nitakupa zawadi (vijihela vya vocha, 10k, 20k hadi 30k), ila tu iwe very useful info, na kama ni sensitive basi njoo directly PM. Au kama unajua mtu ana duka la hayo mambo na anataka kuliuza basi njoo moja kwa moja PM
😂😂😂 ushauri wangu hizo pesa kwa mchepuko zinaenda kupotea zote na yeye ataachwa muacho mbaya hatoamini😂😂😂Umeanza hebu toa ushauri hapa
Kuna mtu anaenda kuumia huko mbeleni ila kwa sasa hawezi elewa, kenge huwa hasikii mpaka damu imtoke maskioniNever haiko hivyo ukishaifungua hiyo ni yake. Huyo sio mfanyakazi ni mpenzi mwenye cheo cha mchepuko! Labda awe bwege
Sent using Jamii Forums mobile app