iamriq_arthur
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 377
- 884
Wakuu, mimi nina mtaji wa 4 millions (Million nne). Kwa sasa nipo Mwanza lakini nilikua na mpango wa kwenda Dar kuanza kujitafta rasmi kwaajiri ya maisha yangu, na nina lengo la kufanya biashara ya duka la nguo za kike na kiume huko Dar,
Dar nina connection na wenyeji wangu wanafanya hii biashara kwenye soko la Kaliakoo lakini mimi nlkua nataka hii biashara niifanyie Tabata au Sinza, sehemu hizo mbili, moja wapo frame nzuri ya biashara ikipatikana ntaenda kufungua duka hilo.
Je, malengo yangu yako sawa, naombeni ushauri wenu wana JF, kuhusu familia mim nipo single sina mke wala mtoto, na nikifika Dar ntapanga chumba cha kuishi.
Naombeni ushauri kwa wale wenyeji wa Tabata na Sinza.
Dar nina connection na wenyeji wangu wanafanya hii biashara kwenye soko la Kaliakoo lakini mimi nlkua nataka hii biashara niifanyie Tabata au Sinza, sehemu hizo mbili, moja wapo frame nzuri ya biashara ikipatikana ntaenda kufungua duka hilo.
Je, malengo yangu yako sawa, naombeni ushauri wenu wana JF, kuhusu familia mim nipo single sina mke wala mtoto, na nikifika Dar ntapanga chumba cha kuishi.
Naombeni ushauri kwa wale wenyeji wa Tabata na Sinza.