Mimi siyo kichaa ila wewe sasa! Sema labda umeyabananga hapa mjini ndiyo maana unakimbia! Hebu niambie biashara gani ndogo ndogo hazitoki hapa Dar? Usilogwe kwenda Kahama, huwajui Wasukuma na Waha wewe, labda ukaishie kuuza maku!Nadhani wewe una kichaa, unayeiona Dar ndio kila kitu, nyie ndo mmetujazia mji wetu, umekua mchafu kwa kukosa kwenu ustaarabu.
Jamani huu sasa ni uongo wa kufungulia mwaka, yaani kati ya watu 10, wa8 choke mbaya? Siyo kweli!Asilimia 80 dar watu wana maisha magumu usiangalie tu kula,kunywa bia na kuwa na kagari maisha ni vile unasonga mbele,una akiba benk n.k...dar mtu unaweza kumuona ana maisha mazuri kama ni muajiriwa akfukuzwa kazi leo mpe mwezi tu anaanza kuuza tugari take nenda mbeya
Darubini ya Mbao ubarikiwe sana hadi ushangae, Kahama nimeipitisha✅️Kama unaweza kupika chakula kizuri biashara ya restaurant utapiga hela sana wale raia hua hawaulizi bei wanaagiza tu.
Pia kwenye biashara ya nguo na viatu naona kuna gap unaweza kufanya research yako
Cash point ila hii lazima uwe na kibunda hii ilikua relevance miaka minne iliyopita sijui kwa sasa unaweza kuta ishakua saturated
🤣🤣🤣🤣 🙏Dodoma sipataki, mji wa gharama sana halafu umepooza