Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,209
- 42,068
bunge wa Mtama, Nape Nnauye ameisifia bajeti ya mwaka huu ambayo ni yakwanza kwa Rais Samia Suluhu akisema ni bajeti ya watu kwa kuwa imegusa maisha ya watu moja kwa moja na kwamba vyuma vilivyokaza sasa vitaachia.
Nape amesema bajeti ya Samia imekamika kila idara na ni bajeti bora sana...... kwa hiyo watanzania wajiandae kuchota pesa maana zinakuja na vyuma havitokaza tena
Nape amesema bajeti ya Samia imekamika kila idara na ni bajeti bora sana...... kwa hiyo watanzania wajiandae kuchota pesa maana zinakuja na vyuma havitokaza tena