Nape Nnauye: Rais Samia achana na kelele za mtandaoni, Watanzania walio mtandaoni ni 16% tu

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
5,897
10,358
Nape Nnauye amemweleza Rais Samia kwamba watu wengi wanaopiga kelele mitandaoni wengi wao hawako Nchini Tanzania na hawapigi kura hivyo asiwe na wasiwasi maana wapiga kura wengi hawako mitandaoni "achana na kelele za mitandaoni"

Nape amesema kwenye mitandao ya kijamii kuna watanzania asilimia 16, wengi hawako kule. Zile kelele zote unazozisikia ni 16%, na katika hao asilimia 40 wako nje ya nchi na hawana mpango wa kurudi nchi hivyo kelele zote unazosikia ni za nje ya nchi, wapiga kura wako hapa unawaona.

Ameendelea kusema kuwa wale wanaotegemea kura za mtandaoni wacha wagawane hizo asilimia 16, CCM isonge mbele kuletea watanzania maendeleo.

 
Kama ipo hivyo,wanashindwa nini kuruhusu katiba mpya yenye tume huru ya uchaguzi ili waendelee kushinda chaguzi?
 
Nape Nnauye amemweleza Rais Samia kwamba watu wengi wanaopiga kelele mitandaoni wengi wao hawako Nchini Tanzania na hawapigi kura hivyo asiwe na wasiwasi maana wapiga kura wengi hawako mitandaoni "achana na kelele za mitandaoni"

Nape amesema kwenye mitandao ya kijamii kuna watanzania asilimia 16, wengi hawako kule. Zile kelele zote unazozisikia ni 16%, na katika hao asilimia 40 wako nje ya nchi na hawana mpango wa kurudi nchi hivyo kelele zote unazosikia ni za nje ya nchi, wapiga kura wako hapa unawaona.

Ameendelea kusema kuwa wale wanaotegemea kura za mtandaoni wacha wagawane hizo asilimia 16, CCM isonge mbele kuletea watanzania maendeleo.

NAPE mpumbavu sana na hana akili anatudharau sana huyu mbwa
 
Nape Nnauye amemweleza Rais Samia kwamba watu wengi wanaopiga kelele mitandaoni wengi wao hawako Nchini Tanzania na hawapigi kura hivyo asiwe na wasiwasi maana wapiga kura wengi hawako mitandaoni "achana na kelele za mitandaoni"

Nape amesema kwenye mitandao ya kijamii kuna watanzania asilimia 16, wengi hawako kule. Zile kelele zote unazozisikia ni 16%, na katika hao asilimia 40 wako nje ya nchi na hawana mpango wa kurudi nchi hivyo kelele zote unazosikia ni za nje ya nchi, wapiga kura wako hapa unawaona.

Ameendelea kusema kuwa wale wanaotegemea kura za mtandaoni wacha wagawane hizo asilimia 16, CCM isonge mbele kuletea watanzania maendeleo.

Anaona sifa kuwa 16% ya watanzania mitandaoni?
Anaona sifa kwamba wanayoyapigia kelele watu wa mitandaoni watanzania wengine hawa habari nayo?
Yaani Waziri mzima tena mwenye dhamana na hilo eneo hajui kuwa watanzania hao 16% anaowasema na wao wanatokea ndani ya hao watanzania anao wabeza kwa kuwa mitandaoni.
Kwani wanapokuwa wanachaguliwa kupitia hizi chaguzi wanakua wanachaguliwa na asikimia ngapi ya wakaazi wa eneo husika?
Mbona wanaojiandikisha kupiga kura huwa hata hawafikii hata nusu ya wakaazi wa eneo husika na wanataka matokeo wanayoshunikiza kutangazwa ndiyo yaheshimiwe?
 
Kama ipo hivyo,wanashindwa nini kuruhusu katiba mpya yenye tume huru ya uchaguzi ili waendelee kushinda chaguzi?
Mmeanza tena fuja zenu. Mlisema jpm kazuia mikutano Sasa imeruhusiwa mshindwe wenyewe. Tukanane mjuavyo mama hajali. Naona pumzi ya mikutano imekata.
 
Back
Top Bottom