min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 8,739
- 18,255
Hivi vitisho vinaleta walakini mwingi sana 😢Anatishia watu na moto wa kufikirika
Hivi vitisho vinaleta walakini mwingi sana 😢Anatishia watu na moto wa kufikirika
Wala alafu sasa nawapata wengi sana.... Imagine kuna mwanaume ananitongoza toka nikiwa na ujauzito wa miezi 3 mpaka nimejifungua saizi mtoto ana miezi 4... Bado tu ananilia timing mkaka wa watu..Utasubiri saana my dear
wengi wameliwa pesa zao na neno "nakupenda wewe tu"Ukiacha kutongoza vipesa vyako vinasalimika , kwa hiyo uchague kubaki na pesa zako ama kuziondoa kwa neno nakupenda tu.
huu ujinga ulinifanya ni dharau hawa pusi. una kuta daa nyingne mtu anajieza ila mpaka atumie hela zakoUnamtongoza leo, kesho anakulalamikia simu yake imepasuka imevujia kioo, gesi imekata na anatumia mtungi mkubwa hujakaa sawa kodi 100k kwa mwezi inakaribia kuisha na mwenye nyumba wake anachukua ya miezi sita tu, hajui atalipaje, ghafla atakuambia mama yake mgonjwa na yeye ndio dada mkubwa wa familia, hujakaa sawa ATM kadi yake imemezwa na hajui afanyeje...
Yani binti anakua tegemezi kwako kwa kila kitu, ukiangalia kitu pekee anachoweza ku-offer ni mbususu ambayo hata pale riverside zinapatikana bwerere. Yani hata mawazo ya maendeleo hakupi zaidi ya stress na matatizo yasiyokwisha.
New kacheka hiyo sioHapa nipo pande za Mbuyuni Mnadani Kigamboni yaani vijana wanichagulia Pisi Kali. Hapa kama upo pisi Kali unaweza kulaza mauzo ya 100k. Pisi Kali zinakula vichwa hatari.
acha acha !!hii hasara wengi wanayoWanawake mahitaji yao yameongezeka kwahiyo ukijifanya kichwa maji utakalia kufanya kaz pesa inaishia kwa mwanamke tu ambae huna future nae yoyote
Huyo aliyekupa mimba hakukutongoza? Mbona umeliwa za kichwa na mimba juu labda awe amekuowaWala alafu sasa nawapata wengi sana.... Imagine kuna mwanaume ananitongoza toka nikiwa na ujauzito wa miezi 3 mpaka nimejifungua saizi mtoto ana miezi 4... Bado tu ananilia timing mkaka wa watu..
Bro mbona unataka nianze kuji-access.Unamtongoza leo, kesho anakulalamikia simu yake imepasuka imevujia kioo, gesi imekata na anatumia mtungi mkubwa hujakaa sawa kodi 100k kwa mwezi inakaribia kuisha na mwenye nyumba wake anachukua ya miezi sita tu, hajui atalipaje, ghafla atakuambia mama yake mgonjwa na yeye ndio dada mkubwa wa familia, hujakaa sawa ATM kadi yake imemezwa na hajui afanyeje...
Yani binti anakua tegemezi kwako kwa kila kitu, ukiangalia kitu pekee anachoweza ku-offer ni mbususu ambayo hata pale riverside zinapatikana bwerere. Yani hata mawazo ya maendeleo hakupi zaidi ya stress na matatizo yasiyokwisha.
KweliWANAPENDA ELA WENGI WAO90% PERCENT KIBAYA ZAIDI ATA UKIWA HAUNA ELA NO HONEY NO MONEY ...JUST STUPIIDITY NI BORA MWANAMKE AKUPENDE JINSI ULIVYO ILA SIO KIPESA
Huyo aliyekupa mimba hakukutongoza? Mbona umeliwa za kichwa na mimba juu labda awe amekuowa
Nimeolewa bhnHuyo aliyekupa mimba hakukutongoza? Mbona umeliwa za kichwa na mimba juu labda awe amekuowa
Au sio...tatizo ndalamaKuna msemo wa jamii fulani kuwa: 'nguvu ya mamba iko katika maji nguvu ya mwanaume iko mfukoni'. Kama hamna hela mtathubutu kumualika mwanamke mtoke out! Ndio maana mnaishia kusifia tu yule mzuri ana shape. Siku mkiwa na hela mtawatoa out tu.
Hehehehe wamekimbia kwakuwa tunawapa stressWhere are they? Women kwenye Uzi huu wameukimbia
Hehehehe daa wanawake wamejificha kwenye mahandakiHuu uzi n kiboko ya malaya!!!! Hawatii mguu hapa mana tunawachana live bila kupepesa macho,,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅Shida ukijichanganya umtongoze ghafla anakuwa yatima, gesi inaisha, nywele zinaanza kuwasha so anatakiwa asuke na ukikaa vibaya na kodi ya nyumba inaisha. Mi nimejichanganya kwa mmoja kumbe ana simu ya mkopo tigo anatakiwa alipe buku kila siku sijui kwa mwaka mzima. Nimelipa kama buku 3 hivi nimemwambia buku buku zilizobaki utakuwa unaijia lodge
😅😅😅😅😅Nimecheka sanaSikuizi ukiloweka tu kwa mademu wa mtaani,hata kama mlipima ngoma freshi,kesho yake jiandae kuona uume unalia machozi