Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,286
- 92,345
Ni hivi punde tu Rais Samia mama la mama ametangaza rasmi matokeo ya sensa tupo million 60 plus na wanawake ni wengi zaidi ya wanaume, na hapo kwenye wanaume kuna idadi kubwa ya walioleft group yani wasenge na wapo pia watawa ambao hawaoi kabisa kwa nadhiri zao za kitawa, idadi ya wanaume hapo inapunguwa zaidi.
Sasa hoja yangu kwako wewe mwanaume kwa takwimu hizi ni kwa nini utembee na Mke wa mtu?
Na wewe mwanamke usiyekuwa na heshima, umeolewa tulia na mume wako ulikubali kuolewa naye huyo ndio chaguo lako, waachie nafasi wanawake wenzako waliopo single ili nao wapate wenza wao, binadamu msipoacha ubinafsi itabidi wanaume wenye uchumi mzuri ndio waowe Mke zaidi ya mmoja ili tuwastiri Dada zetu.
Kataa kumvulia chupi mume wa mtu Sasa, na mwanaume acha kugegeda wake za watu, there are plenty of beautiful single woman/ Ladies are waiting for you.
Tubadirike Sasa.
Updates:
SENSA 2022: Idadi ya Watu Tanzania imefikia milioni 61,741,120 ambapo Wanawake ni 31,687,990 na Wanaume ni 30,053,130
Dar es Salaam inaoongoza kwa idadi kubwa ikiwa na Watu 5,383,728, ikifuatiwa na Mwanza wenye Watu 3,699,872
Soma Breaking News: - Rais Samia: Tanzania ina idadi ya watu 61,741,120
#Sensa2022
Sasa hoja yangu kwako wewe mwanaume kwa takwimu hizi ni kwa nini utembee na Mke wa mtu?
Na wewe mwanamke usiyekuwa na heshima, umeolewa tulia na mume wako ulikubali kuolewa naye huyo ndio chaguo lako, waachie nafasi wanawake wenzako waliopo single ili nao wapate wenza wao, binadamu msipoacha ubinafsi itabidi wanaume wenye uchumi mzuri ndio waowe Mke zaidi ya mmoja ili tuwastiri Dada zetu.
Kataa kumvulia chupi mume wa mtu Sasa, na mwanaume acha kugegeda wake za watu, there are plenty of beautiful single woman/ Ladies are waiting for you.
Tubadirike Sasa.
Updates:
SENSA 2022: Idadi ya Watu Tanzania imefikia milioni 61,741,120 ambapo Wanawake ni 31,687,990 na Wanaume ni 30,053,130
Dar es Salaam inaoongoza kwa idadi kubwa ikiwa na Watu 5,383,728, ikifuatiwa na Mwanza wenye Watu 3,699,872
Soma Breaking News: - Rais Samia: Tanzania ina idadi ya watu 61,741,120
#Sensa2022