Naona harufu ya ufisadi nafasi za kazi jeshi la Polisi, Zimamoto na uokoaji, Uhamiaji na Magereza. Rushwa na undugu vimetawala

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,702
36,130
Habari!

Kwa vijana ambao ndoto zao siku moja wapige au wapigiwe saluti zitaendelea kuyeyuka hii kutokana na uchache wa nafasi zenyewe.

Huu mchakato utafanywa tu kutimiza sheria ila msitegemee sana huko vijana wenzangu. Watu washafanyiwa usaili bubu na kuambiwa wasubiri usaili fake.

Hivi kwa mfano tar 12 Ukonga wanaandika tangazo tena ndani ya gereza wakihitaji vijana haraka ndani ya siku 2 wawe wameshafanyiwa usaili unategemea nini?

Ni wangapi wana access ya kuongia gerezani kuulizia mambo ya usaili.

Tangazo uweke leo na uwatake vijana waende kwenye usaili siku hiyohiyo hiyo ni sawa?

Jeshi la Polisi nao wametoa matangazo zaidi ya mara 2 bila kutaja idadi ya wanaohitajika.
 
Akina Simbachawene wana ngudu zao kibao ni failure wa form 4 na 6. Sasa kuwapa ajira, sifa ni div 0 na 4. atawakumba ndugu zake na marafiki wao wote
 
Akina Simbachawene wana ngudu zao kibao ni failure wa form 4 na 6. Sasa kuwapa ajira , sifa ni div 0 na 4. atawakumba ndugu zake na marafiki wao wote
Yaani sasa hivi magari makali yanaonekana yakiingia ofizi zilizotoa hizo ajira.
 
Tafuta connection kilio hakitakusaidia.Hukusikia kwamba Kalemani, Mwendazake nk walikuwa wanaweka ndugu zao maofisini?

Hujawahi msikia Mwendazake akiapisha Katibu Mkuu fulani akisema wanakuonea wivu kwa kusema unaleta ndugu zako?

Hakunaga Kazi za bila connection labda uwe exceptional.Hata hivyo ni Tzn pekee ambako watu wanakimbilia Kazi za jeshi 😆😆
 
Back
Top Bottom