Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,599
- 95,270
Pisi inaenda kulishwa mihogo coco uduguu 😹😹😹[emoji23][emoji23][emoji23]
Ngachokaaaa!!
Pisi inaenda kulishwa mihogo coco uduguu 😹😹😹[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii serious kabisa, kuna siku alinicheki. Nikamjibu nakunywa supu, ipi ya mapupu.. akashangaa ndio supu gani hiyo.. nikampanga na siku nitampeleka, kweli siku niliyompeleka aliipenda na tulikunywa pamoja kama mara 4,5 hiviChai 😹😹😹
Maka sijawahi kukuamini, una kamba nyingi wewe..!!😹😹😹Hii serious kabisa, kuna siku alinicheki. Nikamjibu nakunywa supu, ipi ya mapupu.. akashangaa ndio supu gani hiyo.. nikampanga na siku nitampeleka, kweli siku niliyompeleka aliipenda na tulikunywa pamoja kama mara 4,5 hivi
Kigamboni, kibugumo hiyo, 2019 hiv kuna mdada mmoja wakuitwa fetty, mshangazi wa miaka ya mwanzo mwanzo... supu imenyooka, chapati imenyooka, mazingira vumiliaMaka sijawahi kukuamini, una kamba nyingi wewe..!!😹😹😹
Hiyo supu mlikunywa mtaa upi?
Umejipigia mwanamke maji ya kwanza kwa supu ya mapupu 😹😹😹Kigamboni, kibugumo hiyo, 2019 hiv kuna mdada mmoja wakuitwa fetty, mshangazi wa miaka ya mwanzo mwanzo... supu imenyooka, chapati imenyooka, mazingira vumilia
Nmeshtuka sana ulvyoita jina langu eze 🤣Hii ni meme nakataa Eze 😹
😂🤣Hapa sasa ndipo haukuelewa, sijapiga kwa supu ya mapupu, ike ni manzi yangu kitambo saana,kabla ya tukio, ila nilimpeleka sehemu ya kawaida sana na akainjoi, haoa ndio kwenye msingi wa mada na sio kumpata kwa supu ya mapupu.Umejipigia mwanamke maji ya kwanza kwa supu ya mapupu 😹😹😹
Tumtafute lamata tuuze story tupige mpunga mwanangu..!!
😹😹😹 Kuna rafiki yangu anaitwa hivo nikajikuta nimemix… usishtuke bana..!!Nmeshtuka sana ulvyoita jina langu eze 🤣
Sasa mleta maada yeye bado hajampata huoni km utamvuruga..!! Siku ya kwanza ya outings ampeleke kula mapupu kweli? 😹😹😹😂🤣Hapa sasa ndipo haukuelewa, sijapiga kwa supu ya mapupu, ike ni manzi yangu kitambo saana,kabla ya tukio, ila nilimpeleka sehemu ya kawaida sana na akainjoi, haoa ndio kwenye msingi wa mada na sio kumpata kwa supu ya mapupu.
Afu umepatia Sasa 😂😹😹😹 Kuna rafiki yangu anaitwa hivo nikajikuta nimemix… usishtuke bana..!!
Sema kweli? 😹Afu umepatia Sasa 😂
😁😁 Current balance 25k
Na plan yangu kama kakieleweka, nijue joto lake
Yah n jina langu hilo 😂Sema kweli? 😹
Bro, fanya ishu zingine tuu 😂😁😁 Current balance 25k
Na plan yangu kama kakieleweka, nijue joto lake, ongezea nyama mkuu naweza kupata room for show time maeneo hayo, literally hakana njaa ya pesa...
Nalijua nimekufanyia kusudi 😹😹😹Yah n jina langu hilo 😂
- kwa hiyo tusile mzigo?Mtoa post kala Kona😀😀😀
KATAA UZINZI NI ADUI WA MAENDELEO
UnyamaNalijua nimekufanyia kusudi 😹😹😹