smart introvert
Member
- Feb 15, 2013
- 64
- 109
Habari yenu wana JF,
Tunapoelekea mwishoni mwa mwaka, mimi nmefanikiwa kuweka kuvunja kakibubu kangu na nataka angalau niweze kutembelea sehemu tofauti tofauti hapa Dar ambazo cost zake sio kubwa ila ni nzuri kwa kupumzika na "kurefresh" akili.
Kwa ambae anafahamu sehemu nzuri hasa za asili ( sio mahoteli ) kama fukwe, misitu, sehemu za kupand milima ( hicking), au nyumba za maonesho naomba anisaidie na kama akiweza hata na gharama zake.
Naomba kuwasilisha !
Ahsanteni
Tunapoelekea mwishoni mwa mwaka, mimi nmefanikiwa kuweka kuvunja kakibubu kangu na nataka angalau niweze kutembelea sehemu tofauti tofauti hapa Dar ambazo cost zake sio kubwa ila ni nzuri kwa kupumzika na "kurefresh" akili.
Kwa ambae anafahamu sehemu nzuri hasa za asili ( sio mahoteli ) kama fukwe, misitu, sehemu za kupand milima ( hicking), au nyumba za maonesho naomba anisaidie na kama akiweza hata na gharama zake.
Naomba kuwasilisha !
Ahsanteni