Naomba Ushauri: Binti yangu amepangiwa Chuo na huku alishaanza masomo ya Pre-Form 5

Zou Alley

Member
May 15, 2022
18
5
Habari wakuu,

Naomba ushauri kwenye hilo: binti yangu amechaguliwa katika Chuo cha Diplomasia cha Kurasini Dar es Salaam katika kozi ya International Relations and Diplomacy, lakini wakati tulikuwa tunasubiri kupangiwa shule nilimpeleka kuanza pre form five katika shule moja ya private

Kule shuleni walimpangia combination ya HGE kulingana na ufaulu wake. Sasa nipo njia panda sielewi aendelee na Advance au nimpeleke akasome hyo kozi?

Kipi ni bora zaidi kwake maana hata binti pia imemchanganya kidogo ashike lipi na ukizingatia na umri wa binti ni mdogo miaka 16.

Naomba ushauri wenu wakuu tafadhali na pia naomba nifahamu hyo kozi akimaliza anaweza kufanya kazi zipi na maeneo yepi na upatikanaji wake ajira ikoje.

Natanguliza shukran
 
Kwanza hapo kwenye umri tu, naona hauna haja ya kumharakisha chuo. Tena kwa diploma. Muache aende advance. Kwa masomo yao kufaulu sio ishu akiamua kukaza.

Pili, hiyo course ya international relations & diplomacy sikudanganyi haina kazi! Sikuambii kujiajiri! Tena kwa diploma ndo kabisaa!
 
Naomba nikushauri kama kaka pia kama specialist wa kada Fulani, please please please achana na kwenda form give ni njia ya kizamani saaana Mimi binafsi wadodo zangu wa mwisho walifaulu vizuri ila sikuwapeleka ACSEE Bali niliwapekeka kuanza certificate then diploma then bachelor as we are speaking now they first year bachelor degree students.

How are the job opening in accordance with program taken?

This depends on family and issues nyingi saaana yaaani kusoma na kufanikiwa maisha ni njia mbili tofauti saaaaana then kusoma na kupata kazi na kuwa noble kwenye ulichokisomea ni njia tatu tofauti saaana ila Zina mahusiano makubwa saana na mmoja ni input ya mwenzane na mwenzaje ni outputs kwa ajili ya mwingi

hivyo

There is very strong relationship between kusoma kitu Fulani na kufanikiwa kwenye kitu ulichosomea.

Best regards.
 
Kama pesa ipo mbadilishie kozi aende chuo form 5 na 6 za nn ni ukiritimba na kupoteza mda yaani ni yaleyale akimaliza anaunga Degree shida iko wapi ila hakikisha anaenda chuo na kurudi bado mdogo.
 
Ingekuwa kozi kama clinical medicine, engineering ningekuambia sawa aende chuo ila hiyo acha tu aende advance akaze aende bachelor.
 
Asante.sana kwa ushauri kaka
Naomba nikushauri kama kaka pia kama specialist wa kada Fulani, please please please achana na kwenda form give ni njia ya kizamani saaana Mimi binafsi wadodo zangu wa mwisho walifaulu vizuri ila sikuwapeleka ACSEE Bali niliwapekeka kuanza certificate then diploma then bachelor as we are speaking now they first year bachelor degree students.

how are the job opening in accordance with program taken?

This depends on family and issues nyingi saaana yaaani kusoma na kufanikiwa maisha ni njia mbili tofauti saaaaana then kusoma na kupata kazi na kuwa noble kwenye ulichokisomea ni njia tatu tofauti saaana ila Zina mahusiano makubwa saana na mmoja ni input ya mwenzane na mwenzaje ni outputs kwa ajili ya mwingi

hivyo

There is very strong relationship between kusoma kitu Fulani na kufanikiwa kwenye kitu ulichosomea.


Best regards.

Naomba nikushauri kama kaka pia kama specialist wa kada Fulani, please please please achana na kwenda form give ni njia ya kizamani saaana Mimi binafsi wadodo zangu wa mwisho walifaulu vizuri ila sikuwapeleka ACSEE Bali niliwapekeka kuanza certificate then diploma then bachelor as we are speaking now they first year bachelor degree students.

how are the job opening in accordance with program taken?

This depends on family and issues nyingi saaana yaaani kusoma na kufanikiwa maisha ni njia mbili tofauti saaaaana then kusoma na kupata kazi na kuwa noble kwenye ulichokisomea ni njia tatu tofauti saaana ila Zina mahusiano makubwa saana na mmoja ni input ya mwenzane na mwenzaje ni outputs kwa ajili ya mwingi

hivyo

There is very strong relationship between kusoma kitu Fulani na kufanikiwa kwenye kitu ulichosomea.


Best regards.
Asante sana kwa ushauri kaka,Nitazingatia hilo.
 
Kwanini umempeleka asome HGE? nijibu hili swali ntakushauri. Ila hiyo kozi aliyochaguliwa usimpeleke labda kozi nyingine mbali na hivyo utakua unaharibu pesa yako.
Hivyo combination amechaguliwa na mwalimu wake wa taaluma hapo shuleni sababu ana pass marks za masomo ya science na Arts zote
pamoja na pass ya math except physics ndio amekosa pass marks.
 
Kama pesa ipo mbadilishie kozi aende chuo form 5 na 6 za nn ni ukiritimba na kupoteza mda yaani ni yaleyale akimaliza anaunga Degree shida iko wapi ila hakikisha anaenda chuo na kurudi bado mdogo.
Sawa! nimbadilishie kozi aende chuo sawa kwa hiyo unanishauri asome kozi gani? Nishauri tafadhali.
 
Hivyo combination amechaguliwa na mwalimu wake wa taaluma hapo shuleni sababu ana pass marks za masomo ya science na Arts zote
pamoja na pass ya math except physics ndio amekosa pass marks.
MMwalimu wake akashauri asome HGE.
 
Sawa! nimbadilishie kozi aende chuo sawa kwa hiyo unanishauri asome kozi gani? Nishauri tafadhali.
Ikiwa unaona kuna ulazima wa mtoto kusoma forn 5 n 6 basi ni bora asome EGM kama ana pass ya Math.

Vinginevyo mshauriane ili mfanye maombi ya kozi nyingine chuo. Accounting, geomatics, urban n regional planning(URP) n.k. huenda zikamfaa hapo baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu labda hiyo kozi isiwe profitable maana siijui ILA KUMPELEKA MWANAO ADVANCE IS A TOTAL WASTE OF TIME, usijidanganye kua eti ana umri mdogo mzee chekecha akili yako mapema kabla hujaanza kujilaumu atapofikia huo umri mkubwa.
 
Habari wakuu

Naomba ushauri kwenye hilo: binti yangu amechaguliwa katika Chuo cha Diplomasia cha Kurasini Dar es Salaam katika kozi ya International Relations and Diplomacy, lakini wakati tulikuwa tunasubiri kupangiwa shule nilimpeleka kuanza pre form five katika shule moja ya private

Kule shuleni walimpangia combination ya HGE kulingana na ufaulu wake. Sasa nipo njia panda sielewi aendelee na Advance au nimpeleke akasome hyo kozi?

Kipi ni bora zaidi kwake maana hata binti pia imemchanganya kidogo ashike lipi na ukizingatia na umri wa binti ni mdogo miaka 16.

Naomba ushauri wenu wakuu tafadhali na pia naomba nifahamu hyo kozi akimaliza anaweza kufanya kazi zipi na maeneo yepi na upatikanaji wake ajira ikoje.

Natanguliza shukran
sio kwa kozi hiyo, ni bora umpeleke mwanao Advance akasome hiyo HGE. Kwa chuo ni bora asome clinical Officer
 
Back
Top Bottom