Wakuu habari za asubuhi. Naomba msaada wa ushauri.
Nina binti yangu yuko form four mwaka huu, ndo wanafanya mitihani, anasoma science na arts pia, sasa yeye anatamani kuwa mwanajeshi na Mimi sina uelewa na nini kifanyike ili ndoto yake itimie.
Kwenye self forms wanazotakiwa kujaza ajaze nini? Form five au chuo? Na kama akijaza form five achague combination gani ambayo itamfikisha aendako?
Naombeni msaada wadau km kuna mwenye uelewa katika hili.
Shukrani.
Nina binti yangu yuko form four mwaka huu, ndo wanafanya mitihani, anasoma science na arts pia, sasa yeye anatamani kuwa mwanajeshi na Mimi sina uelewa na nini kifanyike ili ndoto yake itimie.
Kwenye self forms wanazotakiwa kujaza ajaze nini? Form five au chuo? Na kama akijaza form five achague combination gani ambayo itamfikisha aendako?
Naombeni msaada wadau km kuna mwenye uelewa katika hili.
Shukrani.