Naomba Ushauri: Binti yangu amepangiwa Chuo na huku alishaanza masomo ya Pre-Form 5

najua wengi watakuambia kuwa hyo course haina market/ajira lakini usilolijua hicho chuo 70% wanakuwa wako selected na wahusika wa mambo fulani ya nchi na mpaka anachaguliwa kuja hapo ujue kuna pendekezo kutoka kwa mwalimu/walimu ambao wako taasisi fulani kuwa anafaa kuja kusoma hyo course hapo chuoni.

So endapo yale waliyokuwa wanayataka akaendelea nayo na kuyakuza utashangaa tu field anapelekwa sehemu zile za inner cycle au akimaliza chuo anapelekwa nje au katika ofisi fulani na pia tarajieni kubadilika kuanzia mavazi/tabia/mpka mfumo mzima wa maisha.
Talking with experience
Nashkuru sana sana kunifungua kwenye hilo.Naomba sana tuwasiliane tafadhali kwa. namba hii 0655 171515.tafadhali.
 
Majoblesi na waliosoma kimagumash wanaogopa f5 hatari!

Mpeleke binti f5 akapge hyo Hge, uhakika wa kufaulu ni mkubwa sana akikaza kidogo tu.

History 2 itamfumua ubongo na kuwa mbish hasa na ataelewa mifumo kibao ya duniaa. Hata la putin na ukren atalijua.

Econo atakuwa na ufaham mpana kuliko wengi wanavojua. Hata mfumko atajua unakujaje na kuishaje.

Then ataenda chuo kikuu kwa ufadhl wa heslb akiwa na miaka 19!
Asante sana ndugu yangu kwa ushauri mzuri nimekupata vzr.
 
Majabu ya serkali ni kuwa wanaweza kukuletea jambo la kipuuzi ukalipuuza alafu badae likamnufaisha ambae hajalipuuza.
Nina rafiki yangu aliwahi kufata upuuzi wao lakin leo hii kanufaika na tulioacha tunajuta ndo tunagundua kumbe wapuuzi tulikua sisi japo sikupi uhakika sana maana hawaeleweki
 
kaa chini na mtoto kirafiki kabisa na usikilize kwa makini majibu yake, muulize hivi:- imekuaje kachaguliwa kwenda kusoma hiko chuo? muulize maswali mepesi kama aliomba au aliwahi kuhisi anaweza kuchaguliwa kusoma chuo au kama kuna mtu aliwahi kumuahidi kusoma chuo baada ya form4..? Akikujibu ndiyo usimuulize maswali mengine mpe support akasome... Akikujibu hapana mpeleke akasome A Level, maana hiyo course kama wewe sio mtoto wa fulani hupat kazi hadi magu afufuke...
 
kaa chini na mtoto kirafiki kabisa na usikilize kwa makini majibu yake, muulize hivi:- imekuaje kachaguliwa kwenda kusoma hiko chuo? muulize maswali mepesi kama aliomba au aliwahi kuhisi anaweza kuchaguliwa kusoma chuo au kama kuna mtu aliwahi kumuahidi kusoma chuo baada ya form4..? Akikujibu ndiyo usimuulize maswali mengine mpe support akasome... Akikujibu hapana mpeleke akasome A Level, maana hiyo course kama wewe sio mtoto wa fulani hupat kazi hadi magu afufuke...
Asante sana sana ndugu yangu kwa ushauri wako mzuri kabisa naufanyia kazi!
 
Majabu ya serkali ni kuwa wanaweza kukuletea jambo la kipuuzi ukalipuuza alafu badae likamnufaisha ambae hajalipuuza.
Nina rafiki yangu aliwahi kufata upuuzi wao lakin leo hii kanufaika na tulioacha tunajuta ndo tunagundua kumbe wapuuzi tulikua sisi japo sikupi uhakika sana maana hawaeleweki
Nimekuelewa!nashkuru ndugu yangu! shida ni hapo kwenye kueleweka!
 
Achana na form five ni mfumo wa kizamani na unapoteza mda, mtoto akimaliza form 4 peleka chuo akale certificate au diploma , then watakutana chuo na hao form five. Na chuo atawaburuza sababu tayari yupo kwenye field yake.
 
Kwahiyo kozi hero aende advance akimaliza fresh atakua na uwanja Moana wa kusoma degree anayotaka.

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Diploma kupata chuo kikuu sio mchezo anatakiwa ufaulu wa juu sana

Wenye diploma wengi Diploma ndio huwa mwisho wa elimu yao

Advance ins advantage kubwa kujiunga chuo kikuu
 
Ni kweli Ila inategemea na kozi kwenye kozi za afya ndo Kuna shida Ila kwingine anaenda bila shida.
Bila kuwa na upper second na juu zaidi mwenye Diploma hawezi pata chuo kusoma digrii wengi wenye diploma hukwamia hapo
 
Back
Top Bottom