Naomba Umuhimu wa kuwepo kwa Wanajeshi Wanawake katika Majeshi ya Ulinzi duniani

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
Nipo hapa nchini Malawi ambapo ndipo yaliko Makazi yangu na nimetokea Kuvutiwa na Kumpenda Askari Mmoja wa Jeshi la Wananchi wa Malawi mpaka Kutamani Siku moja aje kuwa Mke wangu.

Hata hivyo KEROZENE nimekatishwa Tamaa na Mmoja wa Wanajeshi wa hapa Malawi nilipo baada ya Kukitahadharisha na Kuniambia kuwa nikosee Kote ila nisije Kuthubutu kuja Kuoa Askari Mwanajeshi lakini katika Kuwabandua tu na Kusepa haina shida.

Nilipomuomba anipe sababu hasa Jibu aliloniambia ni Kuniuliza je, nina Moyo wa Ujasiri wa Kupokea sababu zenyewe kwani zinahitaji Ukakamavu wa Kimedani kuzipokea, kuzivumilia na kuishi nazo.

Hivyo nimesitisha mpango wa Kumpenda huyu Askari Jeshi wa Kike hapa nchini Malawi na sasa nataka nikirejea Likizo Tanzania nitafute Askari Jeshi wa Tanzania nikiamini hawa hawana Mapungufu niliyofichwa kama ya Wenzao wa Malawi kutokana na kwamba Afrika nzima Jeshi lenye Maadili na halina Upuuzi ni la JWTZ tu.
 
Kuna mmoja nilimuulizia awe mke wangu, alinichonijibu ikiwa nitamkosea atanipa vitasa mpaka nikome. Sasa sisi raia tunawaogopa sana hawa wajeda kuwa wenza wetu japo ni wanawake kama wanawake wengine na wamekamilika idara zote
 
umuhimu wa kuwepo kwa wanawake kuna umuhimu mkubwa kutkana na sababu mbalimbali mfano

Kuleta gender balance kwenye jamii, assume majeshi yangekua na boys tu,,,,ingekuwa inaleta picha mbayaaaa

Sio mission zote lazm zfanywe na wanaume ,kuna mission lazma zfanywe na wanawake ,mfano kum-spy mwanamke unaweza kumtumia mwanamke mwenzake ,,,,pia kumspy mwanaume unaweza mtumia mwanamke
 
Mliowahi kuona hao wanawake wameolewa tupeane uzoefu wanaishije na waume zao ambao si wanajeshi. Huenda ni wazuri kwenye maisha ya unyumba
 
Umeuliza umuhimu wa wanawake kuwepo kwenye majeshi halafu maudhui ni kuoa
Acha nijibu swali la kwanza
Wanawake tangu wakati wa vita zote wametumika kupata siri za maadui hata ikifika kulala nao ili wapate siri za ndani ya nchi

La pili kuoa unaweza kuoa kwani wao pia ni watu na wana hisia
 
Nipo hapa nchini Malawi ambapo ndipo yaliko Makazi yangu na nimetokea Kuvutiwa na Kumpenda Askari Mmoja wa Jeshi la Wananchi wa Malawi mpaka Kutamani Siku moja aje kuwa Mke wangu.

Hata hivyo KEROZENE nimekatishwa Tamaa na Mmoja wa Wanajeshi wa hapa Malawi nilipo baada ya Kukitahadharisha na Kuniambia kuwa nikosee Kote ila nisije Kuthubutu kuja Kuoa Askari Mwanajeshi lakini katika Kuwabandua tu na Kusepa haina shida.

Nilipomuomba anipe sababu hasa Jibu aliloniambia ni Kuniuliza je, nina Moyo wa Ujasiri wa Kupokea sababu zenyewe kwani zinahitaji Ukakamavu wa Kimedani kuzipokea, kuzivumilia na kuishi nazo.

Hivyo nimesitisha mpango wa Kumpenda huyu Askari Jeshi wa Kike hapa nchini Malawi na sasa nataka nikirejea Likizo Tanzania nitafute Askari Jeshi wa Tanzania nikiamini hawa hawana Mapungufu niliyofichwa kama ya Wenzao wa Malawi kutokana na kwamba Afrika nzima Jeshi lenye Maadili na halina Upuuzi ni la JWTZ tu.
🤣🤣🤣🤣 Mkuu umenichekesha kiasi fulani kwamba Jeshi lenye maadili na ambalo halina upuuzi wowote Afrika ni JWTZ tu, hapo sina shaka kuhusu hilo. Suala la kupendana na kuoana ni makubaliano tu, mkikubaliana haina shida, kwani askari wa kike hawahitaji kuolewa?! Na waoaji si ndiyo nyinyi sasa.

Sina hakika sana kama kuna mambo mengine yanayoendelea kwa hawa askari wa kike wa Jeshi letu zaidi ya kutoa motisha ya utendaji kazi jeshini, kama yapo basi mhusika unayetaka muanzishe naye familia anaweza kukudokeza.
 
Kama raia wa kiume harusiwi kuoa mjeda wa kike basi ni marufuku mjeda wa kiume kuoa raia wa kike
JamiiForums-1430143629.jpg
Pic%20Layer_2021111311224179.jpg
 
Back
Top Bottom