Je, ni sawa kwa Wanajeshi kurekodi video kama hizi na kuzisambaza mtandaoni?

Precious Diamond

JF-Expert Member
Jun 9, 2023
397
993
Wakuu kwema?

Nimekutana na video hii mtandaoni, ambako huyu 'kuruta' (kama sijakosea) anapewa amri ya kugeuka kulia na kushoto, kijana huyo anafata maagizo aliyopewa huku anayetoa maagizo na wengine wakisikika wakicheka.

Nini dhumuni la kurekodi video hizi mpaka kufikia hatua ya kuzirusha mtandaoni? Anayerekodiwa ameridhia? Na hii sio mara ya kwanza kukutana na video kama hizi mtandaoni, za hawa wanafunzi wanaokwenda jeshi kwa mujibu wa sheria kurekodiwa katika matukio mbalimbali.

Huu ni udhalilishaji wa utu wake, tayari watu washaanza kutoa maoni mbalimbali juu ya muonekano wake, maumbile na kadhalika, kwa hali tu ya kawaida hakuna mtu angependa kurekodiwa katika hali hiyo na video hiyo irushwe kwa kila mtu kuona.

Hii sio sawa, kwanza ukipewa amri hapo lazima ufate, usipofata ni kukaidi na udhabu unapewa. Kwanini tunahalalisha udhalilishaji huu uendelee kutokea na kuonekana na kawaida? Wanajeshi wapo juu ya Sheria? Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi wao haiwahusu?

Aliyechukua video hii awajibishwe, Jeshi kama chombo cha ulinzi wanatakiwa kuwa mfano kwenye kufata sheria na sio kuwa wa kwanza kwenda kinyume na kudhalilisha utu wa watu.

Kutoka kwenye comments za video hiyo anayesikika akitoa amri ni Afande Sese, JKT Oljoro.

Sheria iwe msumeno, sio ikate kwetu tu halafu kwao kuwe butu.

 
Wakuu kwema?

Nimekutana na video hii mtandaoni, ambako huyu 'kuruta' (kama sijakosea) anapewa amri ya kugeuka kulia na kushoto, kijana huyo anafata maagizo aliyopewa huku anayetoa maagizo na wengine wakisikika wakicheka.

Nini dhumuni la kurekodi video hizi mpaka kufikia hatua ya kuzirusha mtandaoni? Anayerekodiwa ameridhia? Na hii sio mara ya kwanza kukutana na video kama hizi mtandaoni, za hawa wanafunzi wanaokwenda jeshi kwa mujibu wa sheria kurekodiwa katika matukio mbalimbali.

Huu ni udhalilishaji wa utu wake, tayari watu washaanza kutoa maoni mbalimbali juu ya muonekano wake, maumbile na kadhalika, kwa hali tu ya kawaida hakuna mtu angependa kurekodiwa katika hali hiyo na video hiyo irushwe kwa kila mtu kuona.

Hii sio sawa, kwanza ukipewa amri hapo lazima ufate, usipofata ni kukaidi na udhabu unapewa. Kwanini tunahalalisha udhalilishaji huu uendelee kutokea na kuonekana na kawaida? Wanajeshi wapo juu ya Sheria? Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi wao haiwahusu?

Aliyechukua video hii awajibishwe, Jeshi kama chombo cha ulinzi wanatakiwa kuwa mfano kwenye kufata sheria na sio kuwa wa kwanza kwenda kinyume na kudhalilisha utu wa watu.

Kutoka kwenye comments za video hiyo anayesikika akitoa amri ni Afande Sese, JKT Oljoro.

Sheria iwe msumeno, sio ikate kwetu tu halafu kwao kuwe butu.

Jamaa mwenyewe ni nanga...!
 
Huku ndiko tulikofikia mtu kurekodiwa anafanyishwa mazoezi ni kumdhalilisha ili akirekodiwa akikata mauno nusu uchi au vigodoro ni au akifanya ngono ni sifa
Naomba ubaki kwenye mada Mkuu na upunguze mihemko.

Jambo moja halihalishi jingine kuwa sawa. Ni kweli amerekodiwa akiwa anafanyishwa mazoezi? Kama unaona hili ni sawa unatakiwa kujitafakari sana. Ni dhahiri kijana huyo hafanyi mazoezi na amerekodiwa kwa lengo la kumdhalilisha tu. Eti anafannyishwa mazoezi, mazoezi yapi? Embu kuwa serious kidogo
 
Hakuna Kosa hapo..
Hakuna Mtu anayejua Lengo la mchukuaji Video zaidi ya mchukuaji mwenyewe..

HIsia za Muonaji Sio hisia za mchukuaji..
Kwahyo Hakuna kosa hata kidogo..

Kisheria Na wala Ethically labda kama una Mada nyingine
 
Wakuu kwema?

Nimekutana na video hii mtandaoni, ambako huyu 'kuruta' (kama sijakosea) anapewa amri ya kugeuka kulia na kushoto, kijana huyo anafata maagizo aliyopewa huku anayetoa maagizo na wengine wakisikika wakicheka.

Nini dhumuni la kurekodi video hizi mpaka kufikia hatua ya kuzirusha mtandaoni? Anayerekodiwa ameridhia? Na hii sio mara ya kwanza kukutana na video kama hizi mtandaoni, za hawa wanafunzi wanaokwenda jeshi kwa mujibu wa sheria kurekodiwa katika matukio mbalimbali.

Huu ni udhalilishaji wa utu wake, tayari watu washaanza kutoa maoni mbalimbali juu ya muonekano wake, maumbile na kadhalika, kwa hali tu ya kawaida hakuna mtu angependa kurekodiwa katika hali hiyo na video hiyo irushwe kwa kila mtu kuona.

Hii sio sawa, kwanza ukipewa amri hapo lazima ufate, usipofata ni kukaidi na udhabu unapewa. Kwanini tunahalalisha udhalilishaji huu uendelee kutokea na kuonekana na kawaida? Wanajeshi wapo juu ya Sheria? Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi wao haiwahusu?

Aliyechukua video hii awajibishwe, Jeshi kama chombo cha ulinzi wanatakiwa kuwa mfano kwenye kufata sheria na sio kuwa wa kwanza kwenda kinyume na kudhalilisha utu wa watu.

Kutoka kwenye comments za video hiyo anayesikika akitoa amri ni Afande Sese, JKT Oljoro.

Sheria iwe msumeno, sio ikate kwetu tu halafu kwao kuwe butu.

What are you talking about?
 
Hakuna Kosa hapo..
Hakuna Mtu anayejua Lengo la mchukuaji Video zaidi ya mchukuaji mwenyewe..

HIsia za Muonaji Sio hisia za mchukuaji..
Kwahyo Hakuna kosa hata kidogo..

Kisheria Na wala Ethically labda kama una Mada nyingine
Jielimishe kidogo tu uache kutoa maoni kama haya, na wewe kama Dr. inabidi uwe muelewa zaidi kuhusu husu sababu unadeal na taarifa za watu pia. Haijalishi lengo lake wala sisi tunafikiria nini, kitendo cha kumrekodi bila ridaa yake na kurusha video hiyo mtandaoni ni kosa kwa Mujibu wa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi na For Your Information imeanza kufanya kazi tokea May 2023.

Nakushauri ukaisome na uelewe vizuri, kwa comment hii ni dhahiri kuna uvunjifu mkubwa wa sheria upande wenu.
 
Mimi binafsi sioni kosa lo lote!
Hurusiwi kumrekodi mtu bila ridhaa yake na kusambaza video hiyo mtandaoni, hata akiwa rafiki yako kama hakukupa ridhaa ya kufanya hivyo anaweza kukushtaki ukafungwa, kulipa faini ama vyote kwa mujibu wa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi. Na hayo sio maadili ya kazi, kijana anafata amri sababu hana chaguo lolote. Ungerekodiwa wewe na video kusambaa katika hali hiyo na kukutana na maoni kadha wa kadha kuchambua unavyoonekana na maoni mabaya bado ingekuwa sawa kwako? Au sababu ni kijana wa kiume kwa hiyo haina shida, anaweza 'kulimezea'?
 
Wakuu kwema?

Nimekutana na video hii mtandaoni, ambako huyu 'kuruta' (kama sijakosea) anapewa amri ya kugeuka kulia na kushoto, kijana huyo anafata maagizo aliyopewa huku anayetoa maagizo na wengine wakisikika wakicheka.

Nini dhumuni la kurekodi video hizi mpaka kufikia hatua ya kuzirusha mtandaoni? Anayerekodiwa ameridhia? Na hii sio mara ya kwanza kukutana na video kama hizi mtandaoni, za hawa wanafunzi wanaokwenda jeshi kwa mujibu wa sheria kurekodiwa katika matukio mbalimbali.

Huu ni udhalilishaji wa utu wake, tayari watu washaanza kutoa maoni mbalimbali juu ya muonekano wake, maumbile na kadhalika, kwa hali tu ya kawaida hakuna mtu angependa kurekodiwa katika hali hiyo na video hiyo irushwe kwa kila mtu kuona.

Hii sio sawa, kwanza ukipewa amri hapo lazima ufate, usipofata ni kukaidi na udhabu unapewa. Kwanini tunahalalisha udhalilishaji huu uendelee kutokea na kuonekana na kawaida? Wanajeshi wapo juu ya Sheria? Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi wao haiwahusu?

Aliyechukua video hii awajibishwe, Jeshi kama chombo cha ulinzi wanatakiwa kuwa mfano kwenye kufata sheria na sio kuwa wa kwanza kwenda kinyume na kudhalilisha utu wa watu.

Kutoka kwenye comments za video hiyo anayesikika akitoa amri ni Afande Sese, JKT Oljoro.

Sheria iwe msumeno, sio ikate kwetu tu halafu kwao kuwe butu.

It's unethical.
Kitendo alichofanya huyu Mwanajeshi ni Ni kosa kisheria. Anapaswa kuwajibishwa kwa mujibu wa Sheria za nchi. Huu ni udhalilishaji wa hali ya juu sana aliotendewa huyu kijana.

Kama kurekodi video kwa ajili ya matumizi ya Jeshi ilikuwa sahihi, lakini video hizo zilizorekodiwa na Jeshi ni lazima zitumike kwa matumizi ya Jeshi tu, wala siyo vinginevyo. Kamwe video hizo hazipaswi kuwekwa publicly, ni mwiko kabisa tena ni kosa kubwa, unless kuwepo na ridhaa ya anayerekodiwa au kutokana na sababu maalumu kabisa za lazima ambazo hazizuiliki.
 
Wakuu kwema?

Nimekutana na video hii mtandaoni, ambako huyu 'kuruta' (kama sijakosea) anapewa amri ya kugeuka kulia na kushoto, kijana huyo anafata maagizo aliyopewa huku anayetoa maagizo na wengine wakisikika wakicheka.

Nini dhumuni la kurekodi video hizi mpaka kufikia hatua ya kuzirusha mtandaoni? Anayerekodiwa ameridhia? Na hii sio mara ya kwanza kukutana na video kama hizi mtandaoni, za hawa wanafunzi wanaokwenda jeshi kwa mujibu wa sheria kurekodiwa katika matukio mbalimbali.

Huu ni udhalilishaji wa utu wake, tayari watu washaanza kutoa maoni mbalimbali juu ya muonekano wake, maumbile na kadhalika, kwa hali tu ya kawaida hakuna mtu angependa kurekodiwa katika hali hiyo na video hiyo irushwe kwa kila mtu kuona.

Hii sio sawa, kwanza ukipewa amri hapo lazima ufate, usipofata ni kukaidi na udhabu unapewa. Kwanini tunahalalisha udhalilishaji huu uendelee kutokea na kuonekana na kawaida? Wanajeshi wapo juu ya Sheria? Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi wao haiwahusu?

Aliyechukua video hii awajibishwe, Jeshi kama chombo cha ulinzi wanatakiwa kuwa mfano kwenye kufata sheria na sio kuwa wa kwanza kwenda kinyume na kudhalilisha utu wa watu.

Kutoka kwenye comments za video hiyo anayesikika akitoa amri ni Afande Sese, JKT Oljoro.

Sheria iwe msumeno, sio ikate kwetu tu halafu kwao kuwe butu.

Vitu vya kawaida hiyvo bro! Huyo yupo kwenye military training!
Sio wasafi studio akirekodi wimbo na zuchu!
Jeshi ni lazima, utestiwe uwezo, wako wa kuhimili sycology torture! Abuse, physical torture, lengo ni kuku Jenga tu bro! Hakuna Nia mbaya!
Kwenye battle field kuna mabaya Zaidi ya hayo
 
Jielimishe kidogo tu uache kutoa maoni kama haya, na wewe kama Dr. inabidi uwe muelewa zaidi kuhusu husu sababu unadeal na taarifa za watu pia. Haijalishi lengo lake wala sisi tunafikiria nini, kitendo cha kumrekodi bila ridaa yake na kurusha video hiyo mtandaoni ni kosa kwa Mujibu wa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi na For Your Information imeanza kufanya kazi tokea May 2023.

Nakushauri ukaisome na uelewe vizuri, kwa comment hii ni dhahiri kuna uvunjifu mkubwa wa sheria upande wenu.
Habari Precious Diamond..
Ni hakika Sheria uitajayo Haupo aware nayo kabisa.
Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Ni sheria Namba 11 ya Mwaka 2022 (2nd December)..
Na sio may 2023..(Tuanze na hapo)

Imeanza Kutumika Tarehe 2 Mwezi December mwaka 2022 na Ilitangazwa Katika gazzete la serikali La Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Gazeti la serkali Namba 45 Toleo la 103 la Tarehe 2" December, 2022 (Gazette of the United Republic of Tanzania No. 45 Vol. 103 Dated 2" December, 2022)...

Tafsiri ya "Taarifa Binafsi.."Hakuna Umbo wala sura Wala Picha jongeo,.hiyo ni kwa mujibu wa Kifungu cha 3 Cha sheria hiyo ya Ulinzi wa Taarifa binafsi..

Sheria ya Jeshi la Kujenga Taifa No 16 ya mwaka 1964 Sura 193 [R.E 2002] Inaruhusu Kuchukua Picha Jongeo katika mafunzo ili kuweka kumbukumbu Ya maendeleo ya mafunzo..

Karibu Mkuu
 
Vitu vya kawaida hiyvo bro! Huyo yupo kwenye military training!
Sio wasafi studio akirekodi wimbo na zuchu!
Jeshi ni lazima, utestiwe uwezo, wako wa kuhimili sycology torture! Abuse, physical torture, lengo ni kuku Jenga tu bro! Hakuna Nia mbaya!
Kwenye battle field kuna mabaya Zaidi ya hayo
Wewe ungedhalilishwa hivyo ungejisikiaje??
Ni kweli uko sawa sawa kichwani au kidogo umepiga bia mbili tatu??
Hata kama yupo kwenye mafunzo, video hii haikupaswa kuwekwa publicly.
 
Back
Top Bottom