Kaluluma
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 454
- 584
Habari za leo wakuu,
Ninafikiria kati ya njia mbili za kusafiri, aidha kwa pikipiki au kuisafirisha chombo yangu used kwa malori ya mizigo. Kwa wale wenye uzoefu na route hii kwa pikipiki mnaweza kunipa muongozo wa sehemu za kupumzika, kufanya service nikiwa njiani, muda wa safari kwa makadirio na changamoto zilizopo barabara hiyo ya Dar - Dodoma.
Chombo ni mbili moja boxer cc125, na Tvs cc 150 madereva tupo wawili.
Natanguliza shukrani.
Ninafikiria kati ya njia mbili za kusafiri, aidha kwa pikipiki au kuisafirisha chombo yangu used kwa malori ya mizigo. Kwa wale wenye uzoefu na route hii kwa pikipiki mnaweza kunipa muongozo wa sehemu za kupumzika, kufanya service nikiwa njiani, muda wa safari kwa makadirio na changamoto zilizopo barabara hiyo ya Dar - Dodoma.
Chombo ni mbili moja boxer cc125, na Tvs cc 150 madereva tupo wawili.
Natanguliza shukrani.