Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Wanaume wengi tunapenda ule kwanza ndo utoe ..LAMBA ULAMBWE

acha uongo
 
Sijawahi kumuomba hela hata siku moja na analijua hilo na isitoshe hiyo hela niliyomuomba sikuwa na shida nayo binafsi bali kuna mtu nilitaka ampe na ni hela ndogo sana elfu 15 au ulijua nimemuomba shilling ngapi labda.........yani mwanaume mzima unaombwa elfu 15 umtunie mtu unakimbia tena ni boyfriend huyo na nilimuambia nimeshindwa kutoka kutokana na hiyo sehemu ipo mbali na tigo pesa........yani elfu 15 ndo anione najiuza😀😀 narudia tena kusema ni mjinga
Elfu 15 ni ndogo?? Unaishi nchi gani mleta mada??
 
Sitaki kusema chochote hapa zaidi ya hayo niliyosema.....unanijua na unajua ulichofanya sio naomba niishie hapa maana wewe unatumia ID nyingine sitakujibu tena

Now you're talking baby, kwanini usingekuwa na subira na ukauliza wakati ule? Kwanini hata baada ya mimi kukupigia usingevuta subira nianze kuelezea. Uzuri ni kuwa nilikwambia nakutumia ila unipe muda kidogo. Sasa, kosa ni kutokukutumia pesa, kosa ni kutopokea simu? Tatizo Curious gal you're lacking communication skills baby. You should talk to me sasa!! We ain't fighting, we just try explaining the actual scenario ili watu wajudge hun!!
Haya sasa mtulie mkapatane!! Mahusiano hayavunjwi kwa visababu vya kipuuzi kama hivi!!
 
Curious gal hakuwahi kuniomba pesa ama msaada wowote kwa kipindi cha mwezi mmoja tulichokuwa wote. Na pesa aliyoomba jana aliomba niiforward kwa ndugu yake (offcourse it can be her trick but sikufikiria hivyo) ukiangalia hakikuwa kiasi kikubwa. The problem is nilimwambia asubiri for abt 45 to an hour coz sikuwa kwa position ya kuniwezesha kufanya transaction kwa haraka (i was in the middle of something serious) na sikuwa na simu muda mwingi wakati nafanya hiyo shughuli. Sasa, mwenzangu alipiga sana simu na simu haikupokelewa (xo she concluded kama alivyoleta uzi). A bad thing nilipomalizana na shughuli ili niende kibanda cha MPESA kufanya transaction nikawa natembea huku nasoma text zake alizonitumia. It was disappointments. Nikasema amefikiria vibaya tu, wacha nimpigie simu nimueleweshe. Aiseeee, Nilipokea kejeli kwa sauti kama, yaani nikabaki tu kimya nimesimama namsikiliza yeye. Kafooooka, alipomaliza akakata simu. Nikachoka, ikabdi nigeuke nirudi zangu. Jana pia tulipanga tumeet but kutokana na hyo scenario, kila kitu nikawa THE END......
Tulieni muyamalize wakuu!!
 
Hichi kizazi kinaongoza kwa watoto wa kiume kukimbia majukumu yao

Sent from my Exclusive Y30-U00 using JamiiForums mobile app
 
Duuuh nchi ngumu kweli hii[emoji23][emoji23][emoji23] hapo mshatengana tayari daaah[emoji23][emoji23]
Aisee! Hili halina mwenyewe tena [emoji3][emoji3][emoji3][emoji125] [emoji125]

brain is the beautiful part of the body.
 
Back
Top Bottom