Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji8]Hahahaaaa!! Wambea tunaishi miaka mingi sana maana tunahangaika na ya watu hivyo yetu yanakuwa hayatushughulishi.
Acha tupate umbea bwana, mkewe si kasema hatumii id yake ya siku zote jamani, acha mie niulize tu
Espy embu acha ujinga ujue nimecheka mpaka nimepaliwa, kweli wabongo sisi ni kiboko
Yaan tukifatilia ya watu tunapata nafuu maana yetu yameshatushinda [emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my D6603 using JamiiForums mobile app