Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Uchoyo tu na roho mbaya ndio maana wanatafutia na majina oooh "unajiuza" ili ujisikie vibaya usiombe, mara si umuombe mzazi wako, yeye why asimuombe mzazi wake!!!
Kama kapotezea nawe mpotezee tu, mwanaume mchoyo hivyo hata mkiingia kwenye ndoa atakuwa ni tatizo tu, ndio wale wa "nyumba yang,kochi langu,tv yangu" full uchoyo na ubinafsi.
Shida ni pale vizinga vikizidi
 
Uchoyo tu na roho mbaya ndio maana wanatafutia na majina oooh "unajiuza" ili ujisikie vibaya usiombe, mara si umuombe mzazi wako, yeye why asimuombe mzazi wake!!!
Kama kapotezea nawe mpotezee tu, mwanaume mchoyo hivyo hata mkiingia kwenye ndoa atakuwa ni tatizo tu, ndio wale wa "nyumba yang,kochi langu,tv yangu" full uchoyo na ubinafsi.
Nimeshampotezea muda tu.......mimi hajaniboa kutonipa hela ila kwanini alikuwa hapokei simu yani hapo ndo nikamuona huyu hajielewi
 
Timing yako ilikua Mbaya mkuu! Kwa watu ambao ni wadadisi ni lazima watatengeneza picha tofauti.
 
Kwani we unavyomuomba ni mkeo mama yako?
Hivi shida huwa ina muda au taarifa!!! Mbona mnakuwa na roho mbaya hivyo!!
Hivi kuna watu wanaomba wanawake pesa? Mi siwezi kumuomba mwanamke hela.aamue kunipa na si mkopo.siwezi kuomba hela kwa mwanamke mimi
 
Hope mpo poa
Jamani kwa mfano unakuwa na boyfriend na mmepanga kumeet vizuri tu baadae ikatokea kitu ukamwambia naomba unisaidie hela kwa maana kuna mtu anahitaji na mimi nipo mbali na sehemu ya kutuma hela isitoshe haujawahi kumuomba hata siku moja ni hiyo siku tu ndo imetokea ukamuomba hela......baadae unampigia simu kumwambia mambo mengine hapokei simu zako wala kukujibu text......hivi kwanini inakuwa hivi naomba kujua

Wanawake wengi ni waongo na wamekuwa wadanganyifu, kuwa mvumilivu na usiwe mwepesi kumwomba hela, kuna wakati atakupa bila hata kumwomba (Ila kuna washenzy unaweza usipewe milele)
 
Uchoyo tu na roho mbaya ndio maana wanatafutia na majina oooh "unajiuza" ili ujisikie vibaya usiombe, mara si umuombe mzazi wako, yeye why asimuombe mzazi wake!!!
Kama kapotezea nawe mpotezee tu, mwanaume mchoyo hivyo hata mkiingia kwenye ndoa atakuwa ni tatizo tu, ndio wale wa "nyumba yang,kochi langu,tv yangu" full uchoyo na ubinafsi.
"Asimuombe mzazi wake" nini hicho!?
Ndo maana mtafsiriwa Kama wauzaji. Na hii ni mentality mbovu kudhani kwamba kwenye mgegedo nyie ni watoaji na wanaume ni wapokeaji.
 
Mimi sipendi kabisa mwanamke aniombe pesa.naijisikia raha sana nikitoa bila kuombwa. Yaani ukiniomba naona kama unataka tufanye biashara fulani hivi. Am sorry girls kama hamtopendezwa na tabia yangu.
Sasa amepatwa na shida na wewe ndio mwandani wake asikuambie? Akikuambia ndio unaanza kumtungia majina kweli!!!
 
Wanawake wengi ni waongo na wamekuwa wadanganyifu, kuwa mvumilivu na usiwe mwepesi kumwomba hela, kuna wakati atakupa bila hata kumwomba (Ila kuna washenzy unaweza usipewe milele)
Hiyo umesema wewe......ulishawahi kufanya research ya wanawake?
 
"Asimuombe mzazi wake" nini hicho!?
Ndo maana mtafsiriwa Kama wauzaji. Na hii ni mentality mbovu kudhani kwamba kwenye mgegedo nyie ni watoaji na wanaume ni wapokeaji.
Akili yako imewaza mgegedo tu maana ndipo ilipoishia!!!
Hapo mwenye mentality mbovu ni nani sasa!
 
Wanawake wengi ni waongo na wamekuwa wadanganyifu, kuwa mvumilivu na usiwe mwepesi kumwomba hela, kuna wakati atakupa bila hata kumwomba (Ila kuna washenzy unaweza usipewe milele)
Lazima uweke bajeti ya mpenzi wako kwa mwezi.

[emoji41] Hiyo unakuwa unaijua wewe tu. Akijua ataomba yote na bodo ikiisha ataomba tena na atadai humjali[emoji114]
 
Sasa amepatwa na shida na wewe ndio mwandani wake asikuambie? Akikuambia ndio unaanza kumtungia majina kweli!!!
Kuna mazingira mtu akikueleza ni lazima umuelewe. Huyu anasema walipanga kukutana halafu mmmhh sijiui ikawaje.hapo mmh kuna utata.
 
Back
Top Bottom