Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Kwa niaba ya la familia yangu na kipenzi changu Curious gal tunachukua fursa hii kuwashukuru kwa michango yenu ya dhati kabisa ambayo tumeifanyia kazi ipasavyo na imetusaidia sana kwa kweli. Mmeongea mengi ya kujifunza na ya kuzingatia kwenye mahusiano na niwahakikishie tu kuwa hamkuwa mkipoteza muda wenu bure kwenye kila comment iliyokuwa ikiandikwa. each comment valued several $ kwetu 😉😉. Sasa tusubiri part 2 kama wadau walivyokuwa wakihitaji. Kuna mengi sana hayakuongelewa kwenye hii part 1 one sasa kaa mkao wa kula. This weekend kufahamu zaidi

Daby Nalendwa luckyline palsa Gregoire's Al-Watan atlas copco espy Heaven Sent Manga ML cocochanel daudthefarmer Neybright miss chagga Ushimen BOMBAY Curious gal


Hongera mmeyamaliza vizuri, tunasubiri part 2. [emoji2]
 
~~~~>>>>Mimi huwa nikiona tu sms ya kuniomba hela, hapo hapo nakuBlock.............
 
Aleyo ba Sungusungu baleho ha Kayenze kwenuko?

Loshiko lomo nale nizaga kaya kwenuko, bakohaya konipeja kongono e baiskeli yise ite na kodi.

Onene mna ng'wani natamanile mamihayo sagala genago nawawela.

Ba sungu sungu ateho, twaleo mupolisi

Hahaha.....ohajaga ange doho kodi, uzage na mazawadi menge gete
 
Ba sungu sungu ateho, twaleo mupolisi

Hahaha.....ohajaga ange doho kodi, uzage na mazawadi menge gete
Bebe nang'ho.

Gashinagi otamanile olo niza nateho kwiza olo nate na e mazawadi ga $ 20,000.

Pye ba sengi, pye banamhala, pye baniisale.

Oyo watogwile e Samsung eye aha. Yenayo mashikolo.

Oyo watogwile e handbag, eyo mwaniisale.

Oyo watogwile ma pafyumu ga gharama gete.

Onene nabona unyalali gete kobiza mno wa koja kaya na mazawadi gete gete.

Pye banegene bapandike Tommy Hillfiger ja New York. Eteho ya Manzese ng'wene omo.

Pye bayanda bapandike Air Jordan.

Pye banamhala balohaya kweta mamihayo ga dola bapandike.

Pye banamhala balohaya shilatu sha Clarks olo hamo Bally bapandike.

Pye baanike balohaya mamihayo ga baanike, Zuhura ateho kolema.

Kongono onene mno wa bano, nyanda wa kaya. Nkoro wa bazuna.

Shikolo shimo shiteho henaho.

O walwa.

Kongono hakaya henaho, pye bazunya.

Seba akojiwe namhala.

Sent from my Kimulimuli
 
Eheee

Mwanaume utashindwaje kujua kuwa mkeo/ mpz ana matumizi mengi inabidi ujiongeze umtumie kiasi yeye atajua la kufanya.

Wanaume wanatofautiana na hilo tunalijua na wengine tushagakutana nao. Kuna mwanaume haijarishi yeye anapata sh ngapi ukifika mwisho wa mwezi yeye anamtumia mpz wake kiasi atakachokipenda.na atakwambia " hivyo vijisent vitakusaidia matumizi yako."

Hivi mwanaume kama huyo utaanzia wapi kumwomba? Au kumsariti? Na kuna kuna mwanaume anaweza kukupigua simu akuulize vip una shida yoyote? Vip hali yako kiuchumi? Then hapo yunaweza kufunguka umwambie then yeye ajiongeze.

Watu wa hivi wa kujiongeza bila kuombwa tumekutana nao sana. Na unakuta mwanamke hajawahi kumwomba. Binafisi nina experience ya hiki kitu.
Msalimie bwana shemeji...
 
Bahili tu kwani ulimwomba nyingi? Angekupa akakupima.

Binafisi sijawahi kuomba hela kwa mwanaume yeyote sio kwamba sina shida niko tiyari kukopa kwa shoga ila sio kumwomba pesa mwanaume. Wanaume wengi mibahili mwanzo mwisho bora ufe na shida zako kuliko masimango.

Hela ya viumbe hawa ni chungu sana ukimuomba anakutafutia sababu. Binti ukizidiwa kopa kwa mtu baki ila sio mpz.

Kinachonishangaza wakiwa na shida tuko tiyari kwa lolote ili mradi tuwasaidie ila wao kutusaidia waziiito kama nn.

Wanaume make mkijua kuwa nyie ndo chanzo cha wanawake kuchepuka.sisi tukipenda unasahau yote ya zamani mapenzi tunahamishia kwa mpz sasa mpz gani kaombwa pesa kasepa kimya kimya? Kwa nn mtu usimkumbuke x wako ambae alikuwa anajiongeza hata usipomwomba? Hii ndo moja ya sababu sitowahi kuomba mwanaume pesa yake.akijua nina shida atume asipotaka aache.
povu
 
Kwani we unavyomuomba ni mkeo au mama yako?
Hivi shida huwa ina muda au taarifa!!! Mbona mnakuwa na roho mbaya hivyo!!

Uchoyo tu na roho mbaya ndio maana wanatafutia na majina oooh "unajiuza" ili ujisikie vibaya usiombe, mara si umuombe mzazi wako, yeye why asimuombe mzazi wake!!!
Kama kapotezea nawe mpotezee tu, mwanaume mchoyo hivyo hata mkiingia kwenye ndoa atakuwa ni tatizo tu, ndio wale wa "nyumba yang,kochi langu,tv yangu" full uchoyo na ubinafsi.
Pole sana kwa stress zilizotukuka!
 
Nimeshampotezea muda tu.......mimi hajaniboa kutonipa hela ila kwanini alikuwa hapokei simu yani hapo ndo nikamuona huyu hajielewi
Duuuh nchi ngumu kweli hii[emoji23][emoji23][emoji23] hapo mshatengana tayari daaah[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom