Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,390
Mapenzi mubashara....hongereni sana.Yah sweetheart wasubirie tu
Mapenzi mubashara....hongereni sana.Yah sweetheart wasubirie tu
Nilijua tuMapenzi mubashara....hongereni sana.
Watu mkipendana hamna linaloshindikana....love birds mungu awaongoze vzr ktk mapenzi yenu.Nilijua tu
Ahasaaa mbavu naona hataki tujue kama uko kwake, kwa nn hataki tujueMama nipo huku US nimekuja kumsabahi Nyani Ngabu kichaa wa kolomije huyu
Nikitaja takwambia,si ntakukuta hapo call me jay eeh[emoji3]
Bahili tu kwani ulimwomba nyingi? Angekupa akakupima.
Binafisi sijawahi kuomba hela kwa mwanaume yeyote sio kwamba sina shida niko tiyari kukopa kwa shoga ila sio kumwomba pesa mwanaume. Wanaume wengi mibahili mwanzo mwisho bora ufe na shida zako kuliko masimango.
Hela ya viumbe hawa ni chungu sana ukimuomba anakutafutia sababu. Binti ukizidiwa kopa kwa mtu baki ila sio mpz.
Kinachonishangaza wakiwa na shida tuko tiyari kwa lolote ili mradi tuwasaidie ila wao kutusaidia waziiito kama nn.
Wanaume make mkijua kuwa nyie ndo chanzo cha wanawake kuchepuka.sisi tukipenda unasahau yote ya zamani mapenzi tunahamishia kwa mpz sasa mpz gani kaombwa pesa kasepa kimya kimya? Kwa nn mtu usimkumbuke x wako ambae alikuwa anajiongeza hata usipomwomba? Hii ndo moja ya sababu sitowahi kuomba mwanaume pesa yake.akijua nina shida atume asipotaka aache.
Hii mbona kama inanigusa hivi [emoji15] [emoji15] [emoji15] kuna dem mmoja nimemtongoza hivi juzi tu, amenambia ana shida na hela[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Hope mpo poa
Jamani kwa mfano unakuwa na boyfriend na mmepanga kumeet vizuri tu baadae ikatokea kitu ukamwambia naomba unisaidie hela kwa maana kuna mtu anahitaji na mimi nipo mbali na sehemu ya kutuma hela isitoshe haujawahi kumuomba hata siku moja ni hiyo siku tu ndo imetokea ukamuomba hela......baadae unampigia simu kumwambia mambo mengine hapokei simu zako wala kukujibu text......hivi kwanini inakuwa hivi naomba kujua
Soma vizuri comment yanguCo bahili ela ngumu kutafuta, mshazoea mtelemko kupewapewa tu komaa na ww utafute zako uone km ni rahic kutoatoa tu, mcizoee kupewapewa mtafute na zakwenu
Hebu nambie kwanza part2 ya hii tayari?Namchukulia form rafiki yangu wala sio mimi mama.
Hebu nipe hadidu rejea mae huyu le mbebe wangu alikua anachepuka na nani?Nilijua tuu utafumwa siku sio nyingi ila naomba mmalizane huko huko nyumbani msije tuletea balaah kama Abby Olla na mpenzi wake.
CC Valentina
Huyu msukuma utamuweza basi!Ah
Ahasaaa mbavu naona hataki tujue kama uko kwake, kwa nn hataki tujue
Walikuwa wanakusubiri wewe the guest of Honor.