Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Haha mwenyeji saana.

Unahitaji jicho la tatu kumjua. Usiniulize swali lingine [emoji125] [emoji125]
Ninon'goneze bac PM aiseee,ila kuna ID fulan nna mashaka nazo

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
 
Hahaha....mimi likizo yangu huwa naimalizia hapa kayenze ufukweni, nyakati kama hizi nikishavuta zangu mpunga kwenye mifugo nampitia kiportable wangu Wankuru. Kwa rahaa zetu tunajiachia hapa batani, tunadokoa tilapia huku tukiwaona wengine kwenye maji wanacheza cheza!

Na huko Bahamas kuna mwenyeji wangu ananiambiaga fukwe zake hazina tofauti sana na Agakhan beach ya pale posta ya zamani. Ila ntakuja nihakikishe mwenyewe kabla sijaenda na wankuru.

Aisee!!! Hiyo portfolio nadhani ilikuwa combined na ya Bi Zuhura kwa huo muda yaani mpaka akazima fegi, mimi nikimuonyesha yangu hatahamiki mpaka kesho, kwanza nikianza na mifugo nilioachiwa na Mzee Ruchunguraa hauwezi ukasimama hata sekunde.

Bebeshi nang'ooo ale ntajirii
Aleyo ba Sungusungu baleho ha Kayenze kwenuko?

Loshiko lomo nale nizaga kaya kwenuko, bakohaya konipeja kongono e baiskeli yise ite na kodi.

Onene mna ng'wani natamanile mamihayo sagala genago nawawela.
 
Nilichogundua wanawake ( baadhi yenu) huuona mwili wao kama source ya kupata pesa. Haya kila la kheri .usi assume kwamba chanzo ni kunyimwa penzi na je kama alikuwa hana hiyo pesa .angefanyaje?
Vyovyote no uzinzi na no kuhongana basi hakutakua na tatizo.
 
Kama huna dharula sawa lakini kama inakupata husemi utakua na roho mbaya wewe
Ukiwa na mtu lazima cha kwanza umsome sasa kama najua hana mkono wa kutoa kwa nn uangaike kumwomba? Maana unaweza kumwomba akutafutie sababu kama kilichompata mleta Mada so. Ndo hivo vitu vingine ni kutumia akiri kuepusha tanayoweza kutokea
 
Eheee
Sasa kama wewe ukikaa kimya mi ntajuaje kama unashida?
Mwanaume utashindwaje kujua kuwa mkeo/ mpz ana matumizi mengi inabidi ujiongeze umtumie kiasi yeye atajua la kufanya.

Wanaume wanatofautiana na hilo tunalijua na wengine tushagakutana nao. Kuna mwanaume haijarishi yeye anapata sh ngapi ukifika mwisho wa mwezi yeye anamtumia mpz wake kiasi atakachokipenda.na atakwambia " hivyo vijisent vitakusaidia matumizi yako."

Hivi mwanaume kama huyo utaanzia wapi kumwomba? Au kumsariti? Na kuna kuna mwanaume anaweza kukupigua simu akuulize vip una shida yoyote? Vip hali yako kiuchumi? Then hapo yunaweza kufunguka umwambie then yeye ajiongeze.

Watu wa hivi wa kujiongeza bila kuombwa tumekutana nao sana. Na unakuta mwanamke hajawahi kumwomba. Binafisi nina experience ya hiki kitu.
 
Ww bado hayakukuta ndg ila siku yakikukuta kila mwanamke utaemwona utahisi ndio walewale so sioni haja ya kuwatetea

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
Mkuu hebu fikiria. Uhusiano wako una mwezi mmoja na haujawahi kuombwa hata mia na wakati mwingine unapigiwa simu. Inatokea unaombwa hela unalalamika hiyo ni halali?
Watu wengi humu wanacomment kulingana na wanawake waliokutana nao. Sibishi wapo wanaopiga mzinga ila usipende kuwafananisha wanawake wote.
Huyu mtoa uzi ni wife material acha niseme tu hata ukichukia. Wanawake wanatofautiana bro.
Shemeji yako kabla ya kumtongoza nilikuwa na nampa hela ili kutatua shida za hapa na pale. Na ni muelewa sana kuna kipind hauna hela lkn hauchukii. Mpaka sasa ninaye na siwezi kumuacha na siwezi kuwa na mwingine. Nampenda sana tena sana.
Ni mzuri, mvumilivu na anajiheshimu.
Mkuu sasa km bint huyu curious girl kweli halafu useme ni mpiga vizinga, utakuwa umemuonea. Hawa ndiyo wanawake wa kuoa
 
Nanyie wenyewe muwe mnawaambia ambao tunawapiga nakuondoka,tena muda mwingine eanadhalilishwa nakupewa pesa,pale wanapoona hatuwaoi tunaenda kuoa wanawake wanaojitambua,wasilalamike,badala yake wajue kua ndio uanamke huo.
Ukiwa na mke anayejitambua hutapata wazo la kugonga hovyo hovyo wanawake wasiojitambua.
 
Oya mbona kama vile hujasoma maelezo ya huyu dada vizur,kwa ushauri tuu hebu jaribu kupitia maelezo ya jamaa kwasababu yumo humu na ya huyu manzi ndio uje ucomment tena

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
Nishasoma mkuu. Nilicomment kabla sijaona post za mshikaji.
 
Kwa niaba ya la familia yangu na kipenzi changu Curious gal tunachukua fursa hii kuwashukuru kwa michango yenu ya dhati kabisa ambayo tumeifanyia kazi ipasavyo na imetusaidia sana kwa kweli. Mmeongea mengi ya kujifunza na ya kuzingatia kwenye mahusiano na niwahakikishie tu kuwa hamkuwa mkipoteza muda wenu bure kwenye kila comment iliyokuwa ikiandikwa. each comment valued several $ kwetu 😉😉. Sasa tusubiri part 2 kama wadau walivyokuwa wakihitaji. Kuna mengi sana hayakuongelewa kwenye hii part 1 one sasa kaa mkao wa kula. This weekend kufahamu zaidi

Daby Nalendwa luckyline palsa Gregoire's Al-Watan atlas copco espy Heaven Sent Manga ML cocochanel daudthefarmer Neybright miss chagga Ushimen BOMBAY Curious gal
 
Kwa niaba ya la familia yangu na kipenzi changu Curious gal tunachukua fursa hii kuwashukuru kwa michango yenu ya dhati kabisa ambayo tumeifanyia kazi ipasavyo na imetusaidia sana kwa kweli. Mmeongea mengi ya kujifunza na ya kuzingatia kwenye mahusiano na niwahakikishie tu kuwa hamkuwa mkipoteza muda wenu bure kwenye kila comment iliyokuwa ikiandikwa. each comment valued several $ kwetu 😉😉. Sasa tusubiri part 2 kama wadau walivyokuwa wakihitaji. Kuna mengi sana hayakuongelewa kwenye hii part 1 one sasa kaa mkao wa kula. This weekend kufahamu zaidi

Daby Nalendwa luckyline palsa Gregoire's Al-Watan atlas copco espy Heaven Sent Manga ML cocochanel daudthefarmer Neybright miss chagga Ushimen BOMBAY Curious gal
Mzee naona umeni cc wakwanza na kadi ya Harusi iwe hivyo basi mzee.
 
Bahili tu kwani ulimwomba nyingi? Angekupa akakupima.

Binafisi sijawahi kuomba hela kwa mwanaume yeyote sio kwamba sina shida niko tiyari kukopa kwa shoga ila sio kumwomba pesa mwanaume. Wanaume wengi mibahili mwanzo mwisho bora ufe na shida zako kuliko masimango.

Hela ya viumbe hawa ni chungu sana ukimuomba anakutafutia sababu. Binti ukizidiwa kopa kwa mtu baki ila sio mpz.

Kinachonishangaza wakiwa na shida tuko tiyari kwa lolote ili mradi tuwasaidie ila wao kutusaidia waziiito kama nn.

Wanaume make mkijua kuwa nyie ndo chanzo cha wanawake kuchepuka.sisi tukipenda unasahau yote ya zamani mapenzi tunahamishia kwa mpz sasa mpz gani kaombwa pesa kasepa kimya kimya? Kwa nn mtu usimkumbuke x wako ambae alikuwa anajiongeza hata usipomwomba? Hii ndo moja ya sababu sitowahi kuomba mwanaume pesa yake.akijua nina shida atume asipotaka aache.
Yaani nakuunga mkono kabisa kuomba ela mwanaume hapana kabisa,japo wenyewe siku hizi ndo waombaji wakubwa yan wananiuzi sana nina boyfriend na yeye kila kukicha ni kuomba ela tu na sijawahi kumpa ila hakomi.kama kuna kitu mwanaume ataniuzi mno ni kuniomba ela kwakwel

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Hivi kuna watu wanaomba wanawake pesa? Mi siwezi kumuomba mwanamke hela.aamue kunipa na si mkopo.siwezi kuomba hela kwa mwanamke mimi
Unaakili sana kaka mwanaume kuomba ela kwa mkaka nu fedheha kubwa sanaaaaa.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Kwa niaba ya la familia yangu na kipenzi changu Curious gal tunachukua fursa hii kuwashukuru kwa michango yenu ya dhati kabisa ambayo tumeifanyia kazi ipasavyo na imetusaidia sana kwa kweli. Mmeongea mengi ya kujifunza na ya kuzingatia kwenye mahusiano na niwahakikishie tu kuwa hamkuwa mkipoteza muda wenu bure kwenye kila comment iliyokuwa ikiandikwa. each comment valued several $ kwetu 😉😉. Sasa tusubiri part 2 kama wadau walivyokuwa wakihitaji. Kuna mengi sana hayakuongelewa kwenye hii part 1 one sasa kaa mkao wa kula. This weekend kufahamu zaidi

Daby Nalendwa luckyline palsa Gregoire's Al-Watan atlas copco espy Heaven Sent Manga ML cocochanel daudthefarmer Neybright miss chagga Ushimen BOMBAY Curious gal
Tunashukuru kama mnaendelea vizuri. Na part 2 tunaisubiri kwa hamu kubwa kabisa
 
Yaani nakuunga mkono kabisa kuomba ela mwanaume hapana kabisa,japo wenyewe siku hizi ndo waombaji wakubwa yan wananiuzi sana nina boyfriend na yeye kila kukicha ni kuomba ela tu na sijawahi kumpa ila hakomi.kama kuna kitu mwanaume ataniuzi mno ni kuniomba ela kwakwel

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Ahasaaa mbavu zangu.
 
Back
Top Bottom