Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Mkuu unahitaji jimbo?haha haaaa!
Haha.
Mimi ule msemo wa wahenga kwamba mwenzako akinyolewa zako tia maji naenda nao kinyume.

Jimbo limekosa muwakilishi na vigezo ninavyo sasa kwanini nisigombee mkuu. Na kujinadi nipo vizuri sana.
 
Nilisoma my opener(her nickname🙂🙂), tatizo hujabalance story sweetpie, najaribu kuweka usawa japo kiduchu tu. Dating ya mwezi mmoja haikutosha mimi kuona userious wako ama wewe kuuona wa kwangu. i did what it takes, kujaribu kupeleka gurudumu but ile ya jana was too much. Nilifumba macho na masikio na kukataa kusikia la mtu. I wanted to prove it by myself na kama kulikuwa na kosa nilitaka nirekebishe.Wewe ndio shahidi wa hilo coz hata nilipoamua kusitisha mawasiliano kwa mara ya kwanza, nilirudi tena. Nikiwa na tumaini jipya. That is the only thing which can prove my seriousness sweetpie🙂🙂🙂🙂🙂
Alaah kumbe Jamaa ndo mlengwa?
 
Did you ask, why sikupokea simu? Ulipoomba ile pesa nilikwambia usubiri baada ya muda gani? Do you know nilikuwa nipo wapi na kwa situation gani? I admit you called several times, and i missed your calls, but ukatuma message ambazo hakuna mwanaume atakayeweza kuzivumilia. But nikaamua kunyanyua simu kupiga tena. Sijaanza hata kuongea kuelezea scenario nzima ukaanza kunishushia mvua ya maneno ya kejeli ambayo tangu nizaliwe hahahaaaaa it was my first time. Nilibaki kustaajabu tu haki ya mungu, nilibaki kimya as usual nikuache utawale jukwaa.
Aiseeh kumbe wewe ndio mtuhumiwa, hii itakuwa rahisi kwetu sisi kushauri maana umejitokeza live.
 
Ongezea kama Wallet.

Pesa tamu babulai. Hakuna asiyependa pesa tena ya kuomba tamu kinoma.

Nakumbuka shule nilikuwa nikipungukiwa tu natuma text. Mzee huku hali mbaya. Mkwanja huo unakuja. Hapo break ya kwanza ni kwa amina mtoto wa mlinzi kula cake.


Pesa tamu.
Nouma sana daby[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilisoma my opener(her nickname🙂🙂), tatizo hujabalance story sweetpie, najaribu kuweka usawa japo kiduchu tu. Dating ya mwezi mmoja haikutosha mimi kuona userious wako ama wewe kuuona wa kwangu. i did what it takes, kujaribu kupeleka gurudumu but ile ya jana was too much. Nilifumba macho na masikio na kukataa kusikia la mtu. I wanted to prove it by myself na kama kulikuwa na kosa nilitaka nirekebishe.Wewe ndio shahidi wa hilo coz hata nilipoamua kusitisha mawasiliano kwa mara ya kwanza, nilirudi tena. Nikiwa na tumaini jipya. That is the only thing which can prove my seriousness sweetpie🙂🙂🙂🙂🙂
Why ulishindwa kupokea simu unafikiri nilikuwa nakupigia kwaajili ya kukuomba hela????......what you did sikupenda kabisa......sitakujibu hapa tena
 
Nilikuwa mbali na sehemu ya kuweka hela na uwa sina tabia ya kuomba hela......
Hata kama ungekuwa tanga na Jamaa yupo dar,niwajibu wako ww kumove kwenda kwa mpenzi wako Kwa gharama zako mwenyewe.

Hizo ulizomletea Jamaa ni style za wale wadada wanaotumia papuchi zao kama source of Income.

Nampongeza Mshkaji kwakustukia
 
Hope mpo poa
Jamani kwa mfano unakuwa na boyfriend na mmepanga kumeet vizuri tu baadae ikatokea kitu ukamwambia naomba unisaidie hela kwa maana kuna mtu anahitaji na mimi nipo mbali na sehemu ya kutuma hela isitoshe haujawahi kumuomba hata siku moja ni hiyo siku tu ndo imetokea ukamuomba hela......baadae unampigia simu kumwambia mambo mengine hapokei simu zako wala kukujibu text......hivi kwanini inakuwa hivi naomba kujua
Alivyoomba kukuchenjua ulikubal kuchenjuliwa?

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Hata kama ungekuwa tanga na Jamaa yupo dar,niwajibu wako ww kumove kwenda kwa mpenzi wako Kwa gharama zako mwenyewe.

Hizo ulizomletea Jamaa ni style za wale wadada wanaotumia papuchi zao kama source of Income.

Nampongeza Mshkaji kwakustukia
Kwani uliambiwa hiyo hela ilikuwa kwa ajili ya kwenda kwake????? Acha kuongea tu
 
Hela ni ndogo mno niliyomuomba ila nilimshangaa sana.......uwa sipendi kuomba hela kwa mwanaume ila nilijikuta nimemuomba kutokana na situation niliyokuwa nayo
72d139547289f047eec40be0ae2178f1.jpg
Hamueleweki nyie.
Big up Kwa Mshikaji.
 
Ila nyinyi mkiwa na shida zenu mnataka kupewa bila pingamizi.....OMG
Ndio lilikuja ghafla na sikumlazimisha anipe sema alichonishangaza mimi nampigia simu nimwambie mambo mengine yeye anaogopa kupokea yani alinichekesha kwa kweli maana nilimuona hajielewi
Me nahisi Jamaa ndo anajielewa pamoja na kukuelewa ww kuliko unavyojielewa.
 
Bahili tu kwani ulimwomba nyingi? Angekupa akakupima.

Binafisi sijawahi kuomba hela kwa mwanaume yeyote sio kwamba sina shida niko tiyari kukopa kwa shoga ila sio kumwomba pesa mwanaume. Wanaume wengi mibahili mwanzo mwisho bora ufe na shida zako kuliko masimango.

Hela ya viumbe hawa ni chungu sana ukimuomba anakutafutia sababu. Binti ukizidiwa kopa kwa mtu baki ila sio mpz.

Kinachonishangaza wakiwa na shida tuko tiyari kwa lolote ili mradi tuwasaidie ila wao kutusaidia waziiito kama nn.

Wanaume make mkijua kuwa nyie ndo chanzo cha wanawake kuchepuka.sisi tukipenda unasahau yote ya zamani mapenzi tunahamishia kwa mpz sasa mpz gani kaombwa pesa kasepa kimya kimya? Kwa nn mtu usimkumbuke x wako ambae alikuwa anajiongeza hata usipomwomba? Hii ndo moja ya sababu sitowahi kuomba mwanaume pesa yake.akijua nina shida atume asipotaka aache.
Kwani ukiwa na mpenzi lazima umuombe pesa
 
Why ulishindwa kupokea simu unafikiri nilikuwa nakupigia kwaajili ya kukuomba hela????......what you did sikupenda kabisa......sitakujibu hapa tena
Now you're talking baby, kwanini usingekuwa na subira na ukauliza wakati ule? Kwanini hata baada ya mimi kukupigia usingevuta subira nianze kuelezea. Uzuri ni kuwa nilikwambia nakutumia ila unipe muda kidogo. Sasa, kosa ni kutokukutumia pesa, kosa ni kutopokea simu? Tatizo Curious gal you're lacking communication skills baby. You should talk to me sasa!! We ain't fighting, we just try explaining the actual scenario ili watu wajudge hun!!
 
Back
Top Bottom