Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Unaonekana ni mzoefu kwa hili. Wangapi wamekufanyia hivyo mpenz?

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Haha.
Mimi ule msemo wa wahenga kwamba mwenzako akinyolewa zako tia maji naenda nao kinyume.

Jimbo limekosa muwakilishi na vigezo ninavyo sasa kwanini nisigombee mkuu. Na kujinadi nipo vizuri sana.
Sawa bwana... Kinyang'anyiro chema
 
Hehehe, kasemaje vile? Kwamba jimbo liko wazi nigombee nn?

brain is the beautiful part of the body.
Jaribu bahati yako ila yakikukuta usisite kutueleza ukweli dadazako tutakusaidia hususani gharama za hospital maana shemeji abby hawezi kukuacha salama
 
Kwa niaba ya la familia yangu na kipenzi changu Curious gal tunachukua fursa hii kuwashukuru kwa michango yenu ya dhati kabisa ambayo tumeifanyia kazi ipasavyo na imetusaidia sana kwa kweli. Mmeongea mengi ya kujifunza na ya kuzingatia kwenye mahusiano na niwahakikishie tu kuwa hamkuwa mkipoteza muda wenu bure kwenye kila comment iliyokuwa ikiandikwa. each comment valued several $ kwetu 😉😉. Sasa tusubiri part 2 kama wadau walivyokuwa wakihitaji. Kuna mengi sana hayakuongelewa kwenye hii part 1 one sasa kaa mkao wa kula. This weekend kufahamu zaidi

Daby Nalendwa luckyline palsa Gregoire's Al-Watan atlas copco espy Heaven Sent Manga ML cocochanel daudthefarmer Neybright miss chagga Ushimen BOMBAY Curious gal
Usipoelewa basi bwana utajua mwenyewe [emoji39]
CC daudthefarmer
 
Ni ishara kuwa unajiuza
mwenzio anategemea sex na mpenzi wake
na wewe unachomekea shida ya pesa hapo hapo...

Mwanamke anaejiheshimu haleti shida ya pesa siku ya kukutana na mpenzi wake
subiri siku ingine kabisa zungumza shida zako
ikija siku ya kukutana...iwe ni mapenzi tu na sio kuuziana
Ubahili tu

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Kama jamaa kasusa na bado hiyo shida uko nayo naomba uni PM...sina masharti!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Jamii forum majibu yenu Sina mbavu Mimi

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Haha eti Abby na mpenzi wake.

Vale hatufiki huko nikisha like comment yake tu makosa yote ananisamehee.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Safi sana, ngoja siye washauri wakuu tusubirie part two in espy's voice
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Safi sana, ngoja siye washauri wakuu tusubirie part two in espy's voice
Wana part two basi.

Ndiyo ushaishia hapo ile pesa isharushwa. Ndiyo maana sipendi kubishana na mwanamke maana mwisho wa siku utabonyeza I agree [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Wana part two basi.

Ndiyo ushaishia hapo ile pesa isharushwa. Ndiyo maana sipendi kubishana na mwanamke maana mwisho wa siku utabonyeza I agree [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mimi uktaka nkupe hela toa sabab ya kueleweka ntakupa lkn et ooh nkombali na na Bank /m pesa....... panda bajaji ukshatoa utalipia
ohh nmesaau [emoji763] poa amishia ela kwe simu mbona simple tuu
mara ela ya salon kama umetoka juzi tuu salon sahau
Kama unafanya kazi heehehee over me ded body labda tue wote
otherwise nnakuacha asbuh tuu

naipata napoitaka asa kwa nn nnjipe shida?

kama unataka ela nyepesinyepesi mtafte chenge au manji au bahkresa

ila ukiwa na sabab ya maana nakupa ela


try me
 
Ewaa... wanawaacha wazazi wao wanatukimbilia sisi. Nadhani hawajui majukumu yetu makubwa ya kuhudumia michepuko mingi.

Haaaaa! watanyooka hawa kwa usawa huuwa Magu,rasta zitaota ukungu,hakuna hela ya saluni wala nini fanyeni kazi kwa bidii msitengemea hela za kupewa.
 
Bebe nang'ho.

Gashinagi otamanile olo niza nateho kwiza olo nate na e mazawadi ga $ 20,000.

Pye ba sengi, pye banamhala, pye baniisale.

Oyo watogwile e Samsung eye aha. Yenayo mashikolo.

Oyo watogwile e handbag, eyo mwaniisale.

Oyo watogwile ma pafyumu ga gharama gete.

Onene nabona unyalali gete kobiza mno wa koja kaya na mazawadi gete gete.

Pye banegene bapandike Tommy Hillfiger ja New York. Eteho ya Manzese ng'wene omo.

Pye bayanda bapandike Air Jordan.

Pye banamhala balohaya kweta mamihayo ga dola bapandike.

Pye banamhala balohaya shilatu sha Clarks olo hamo Bally bapandike.

Pye baanike balohaya mamihayo ga baanike, Zuhura ateho kolema.

Kongono onene mno wa bano, nyanda wa kaya. Nkoro wa bazuna.

Shikolo shimo shiteho henaho.

O walwa.

Kongono hakaya henaho, pye bazunya.

Seba akojiwe namhala.

Sent from my Kimulimuli

[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Al-watan gawiza babvaa?

Ooh trump alehoo!?

Nalindaga ma zawad pyaaabose! Mashikolo mageni pyeee!

Ohojaa haa Nakunnage mbuliiiii na ng'arang'a ojage najo gwa'a trump.

Tungwinege ma jitenge opandekeje kwa Zuhura.

Deremoo!!!
 
Back
Top Bottom