Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Curious gal

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2014
Posts
3,200
Reaction score
4,010
Hope mpo poa

Jamani kwa mfano unakuwa na boyfriend na mmepanga kumeet vizuri tu ila baadae ikatokea kitu ukamwambia naomba unisaidie hela kwa maana kuna mtu anahitaji na mimi nipo mbali na sehemu ya kutuma hela isitoshe haujawahi kumuomba hata siku moja ni hiyo siku tu ndo imetokea ukamuomba hela.

Baadae unampigia simu kumwambia mambo mengine hapokei simu zako wala kukujibu text.

Hivi kwanini inakuwa hivi naomba kujua
 
Ni ishara kuwa unajiuza
mwenzio anategemea sex na mpenzi wake
na wewe unachomekea shida ya pesa hapo hapo...

Mwanamke anaejiheshimu haleti shida ya pesa siku ya kukutana na mpenzi wake
subiri siku ingine kabisa zungumza shida zako
ikija siku ya kukutana...iwe ni mapenzi tu na sio kuuziana
 
Hata mimi lazima nijiulize mara tatu tatu.

Wewe unakuja kukutana na mimi. Sasa kwanini uniombe nikurushie pesa na wakati ukija ukaniomba face to face ndiyo rahisi?

Au kuna umbali wa kulala? Pia nitajua unaniomba pesa ili ujue mimi ni mtoaji au sio mtoaji! Na nisipokutumia ndiyo hauji.
 
Hata mimi lazima nijiulize mara tatu tatu.

Wewe unakuja kukutana na mimi. Sasa kwanini uniombe nikurushie pesa na wakati ukija ukaniomba face to face ndiyo rahisi?

Au kuna umbali wa kulala? Pia nitajua unaniomba pesa ili ujue mimi ni mtoaji au sio mtoaji! Na nisipokutumia ndiyo hauji.
[emoji3][emoji3][emoji3]umbali wa kulala? Mkuu!
 
Hope mpo poa
Jamani kwa mfano unakuwa na boyfriend na mmepanga kumeet vizuri tu baadae ikatokea kitu ukamwambia naomba unisaidie hela kwa maana kuna mtu anahitaji na mimi nipo mbali na sehemu ya kutuma hela isitoshe haujawahi kumuomba hata siku moja ni hiyo siku tu ndo imetokea ukamuomba hela......baadae unampigia simu kumwambia mambo mengine hapokei simu zako wala kukujibu text......hivi kwanini inakuwa hivi naomba kujua
Ameona ww ni muuza k tu
 
Ni ishara kuwa unajiuza
mwenzio anategemea sex na mpenzi wake
na wewe unachomekea shida ya pesa hapo hapo...

Mwanamke anaejiheshimu haleti shida ya pesa siku ya kukutana na mpenzi wake
subiri siku ingine kabisa zungumza shida zako
ikija siku ya kukutana...iwe ni mapenzi tu na sio kuuziana

Shikamoo zako uko uliko

nahisi wewe una uprofesa kabisa sio kwa ushahuri huu. Namkasa wangu naomba ruhusa yako nije PM unishauri vizuri
 
Hata mimi lazima nijiulize mara tatu tatu.

Wewe unakuja kukutana na mimi. Sasa kwanini uniombe nikurushie pesa na wakati ukija ukaniomba face to face ndiyo rahisi?

Au kuna umbali wa kulala? Pia nitajua unaniomba pesa ili ujue mimi ni mtoaji au sio mtoaji! Na nisipokutumia ndiyo hauji.
Siku hizi umehama kambi? Haya mambo ya kuombana hela yanakihusu chama?

Waambie Assist haijawahi kumwacha mtu salama.
 
Hata mimi lazima nijiulize mara tatu tatu.

Wewe unakuja kukutana na mimi. Sasa kwanini uniombe nikurushie pesa na wakati ukija ukaniomba face to face ndiyo rahisi?

Au kuna umbali wa kulala? Pia nitajua unaniomba pesa ili ujue mimi ni mtoaji au sio mtoaji! Na nisipokutumia ndiyo hauji.
Nilikuwa mbali na sehemu ya kuweka hela na uwa sina tabia ya kuomba hela......
 
Bahili tu kwani ulimwomba nyingi? Angekupa akakupima.

Binafisi sijawahi kuomba hela kwa mwanaume yeyote sio kwamba sina shida niko tiyari kukopa kwa shoga ila sio kumwomba pesa mwanaume. Wanaume wengi mibahili mwanzo mwisho bora ufe na shida zako kuliko masimango.

Hela ya viumbe hawa ni chungu sana ukimuomba anakutafutia sababu. Binti ukizidiwa kopa kwa mtu baki ila sio mpz.

Kinachonishangaza wakiwa na shida tuko tiyari kwa lolote ili mradi tuwasaidie ila wao kutusaidia waziiito kama nn.

Wanaume make mkijua kuwa nyie ndo chanzo cha wanawake kuchepuka.sisi tukipenda unasahau yote ya zamani mapenzi tunahamishia kwa mpz sasa mpz gani kaombwa pesa kasepa kimya kimya? Kwa nn mtu usimkumbuke x wako ambae alikuwa anajiongeza hata usipomwomba? Hii ndo moja ya sababu sitowahi kuomba mwanaume pesa yake.akijua nina shida atume asipotaka aache.
 
Ni ishara kuwa unajiuza
mwenzio anategemea sex na mpenzi wake
na wewe unachomekea shida ya pesa hapo hapo...

Mwanamke anaejiheshimu haleti shida ya pesa siku ya kukutana na mpenzi wake
subiri siku ingine kabisa zungumza shida zako
ikija siku ya kukutana...iwe ni mapenzi tu na sio kuuziana
Hiyo sio shida ya pesa ila nilimuomba kwa kuwa nilikuwa mbali na hela nilikuwa nayo sema yeye ndo alikuwa mtu wa karibu angeweza kunisaidia
 
Back
Top Bottom