Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

kila mtu akibaki na hela na viungo vyake hakutakua na tatizo
Kwa hiyo unafananisha hela na viungo vya mwili? Akili za wanawake wengine. Kumnyima viungo unaona umemkomesha.sana[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwa hiyo unafananisha hela na viungo vya mwili? Akili za wanawake wengine. Kumnyima viungo unaona umemkomesha.sana[emoji23] [emoji23] [emoji23]
wala sio kukomeshana mfano huyu dada asingeomba hela na kaka asingeomba kuonana nae unahisi hii thread ingeazishwa..uzinzi ndo chanzo cha matatizo
 
wala sio kukomeshana mfano huyu dada asingeomba hela na kaka asingeomba kuonana nae unahisi hii thread ingeazishwa..uzinzi ndo chanzo cha matatizo
Nilichogundua wanawake ( baadhi yenu) huuona mwili wao kama source ya kupata pesa. Haya kila la kheri .usi assume kwamba chanzo ni kunyimwa penzi na je kama alikuwa hana hiyo pesa .angefanyaje?
 
Hope mpo poa
Jamani kwa mfano unakuwa na boyfriend na mmepanga kumeet vizuri tu baadae ikatokea kitu ukamwambia naomba unisaidie hela kwa maana kuna mtu anahitaji na mimi nipo mbali na sehemu ya kutuma hela isitoshe haujawahi kumuomba hata siku moja ni hiyo siku tu ndo imetokea ukamuomba hela......baadae unampigia simu kumwambia mambo mengine hapokei simu zako wala kukujibu text......hivi kwanini inakuwa hivi naomba kujua

Alikuwa hana,na angekuambia hana ungeona kama kakunyima na ungeanza maneno ooh mwanaume gani huna hela,nyie viumbe mishipa yenu ya aibu imesinyaa toka enzi
 
Angekuomba wewe ungemtumua? Au we huna status ya kuombwa

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Sababu mnawatumia wanaume kama mitaji, fikiria umeombwa wewe hela kama huna kuna shida gani kumwambia huyo muombaji huna? Na mbaya zaidi mnapotongozw tu hapo hapo unaanza ku submit shida zako , hapo mtu asikimbie anasubiri nini. ? Wengine mnalalamika kila mwanaume unaempata hakai, bila kijua kuwa mchawi ni wewe mwenyewe, JIREKEBISHENI

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
 
Demu njaa njaa haipendezi. Unaombaje hela on set of a date???
Couldn't you even raise it ukishafika mkatulia like itokee kama emergency ila msha meet. Unapokea simu ya majanga then ndio umshirikishe msela.

Sa wewe hata msela uhakika wa chupi bado hajawa nao unatupilia guruneti!?
 
Hela ni ndogo mno niliyomuomba ila nilimshangaa sana.......uwa sipendi kuomba hela kwa mwanaume ila nilijikuta nimemuomba kutokana na situation niliyokuwa nayo
Ulijaribu kwanza kumuomba baba yako?
 
Mimi mwanamke masikini masikini anayeomba omba hela simtaki.

Kwa sababu mimi si masikini masikini ninayeombaomba hela.

Ila bi Zuhura nimempa kadi yake ajinafasi anavyotaka.

Na hana ulimbukeni wa kutokwa macho mtoto wa watu.
Hahaha!!
Mkuu Unakuta hutaki binti masikini, na huyo mwenye pesa nae humpati.
Ukisema ukomae kivyako ni noumaa.

Sent from my MI 5s Plus using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni fisadi kama Mafisadi wengine unao wasikia.

Sent from my MI 5s Plus using JamiiForums mobile app
 
Hahaha!!
Mkuu Unakuta hutaki binti masikini, na huyo mwenye pesa nae humpati.
Ukisema ukomae kivyako ni noumaa.

Sent from my MI 5s Plus using JamiiForums mobile app
Ukiwa na pesa utazunguka viwanja vya wenye pesa utakutana na wenye pesa wanaotafuta wenye pesa wenzao.

Labda uwe domozege tu.
 
Ukiwa na pesa utazunguka viwanja vya wenye pesa utakutana na wenye pesa wanaotafuta wenye pesa wenzao.

Labda uwe domozege tu.
kama sio mtu wa viwanja je?
Na kuwa na pesa huanzia kiwango gani?

Sent from my MI 5s Plus using JamiiForums mobile app
 
kama sio mtu wa viwanja je?
Na kuwa na pesa huanzia kiwango gani?

Sent from my MI 5s Plus using JamiiForums mobile app
Kama si mtu wa viwanja hata mtandao unahusika.

Kuwa na pesa kwa standards za kibongo ni kuwa na uwezo wa kuunguza USD 10,000 kwa wiki bila kuua bendi.
 
Kama si mtu wa viwanja hata mtandao unahusika.

Kuwa na pesa kwa standards za kibongo ni kuwa na uwezo wa kuunguza USD 10,000 kwa wiki bila kuua bendi.
US $10,000? = Tsh 22,000,000?
Hata Rais halipwi hivyoo!!
 
Kama si mtu wa viwanja hata mtandao unahusika.

Kuwa na pesa kwa standards za kibongo ni kuwa na uwezo wa kuunguza USD 10,000 kwa wiki bila kuua bendi.
Mkuu Kwa Mwalimu mwenye bachelor aliye ajiriwa US kwenye shule za serikali analipwa bei gani kwa mwezi?


Utaratibu wa huko ni kama huku Bongo mpk mwisho wa mwezi?
 
Back
Top Bottom