Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Bahili tu kwani ulimwomba nyingi? Angekupa akakupima.

Binafisi sijawahi kuomba hela kwa mwanaume yeyote sio kwamba sina shida niko tiyari kukopa kwa shoga ila sio kumwomba pesa mwanaume. Wanaume wengi mibahili mwanzo mwisho bora ufe na shida zako kuliko masimango.

Hela ya viumbe hawa ni chungu sana ukimuomba anakutafutia sababu. Binti ukizidiwa kopa kwa mtu baki ila sio mpz.

Kinachonishangaza wakiwa na shida tuko tiyari kwa lolote ili mradi tuwasaidie ila wao kutusaidia waziiito kama nn.

Wanaume make mkijua kuwa nyie ndo chanzo cha wanawake kuchepuka.sisi tukipenda unasahau yote ya zamani mapenzi tunahamishia kwa mpz sasa mpz gani kaombwa pesa kasepa kimya kimya? Kwa nn mtu usimkumbuke x wako ambae alikuwa anajiongeza hata usipomwomba? Hii ndo moja ya sababu sitowahi kuomba mwanaume pesa yake.akijua nina shida atume asipotaka aache.
Kama kwel una tabia hii,Mwanaume uliyenaye au kumpata ndoa itadumu,milele na milele
Shikamoo zako uko uliko

nahisi wewe una uprofesa kabisa sio kwa ushahuri huu. Namkasa wangu naomba ruhusa yako nije PM unishauri vizuri


Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
 
Jamani waacheni wapenzi wameshapatana mbona hamsikii? Jana shemeji yetu katutimua leo tena mnataka dadayetu atutimue mie ngoja niondoke zangu mapema [emoji124][emoji124][emoji124]
 
Why ulishindwa kupokea simu unafikiri nilikuwa nakupigia kwaajili ya kukuomba hela????......what you did sikupenda kabisa......sitakujibu hapa tena
Aisee hivi kumbe mpo serious!?,mambo ya chumbani mnayaleta humu ...

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
 
Au ulikuwa msituni mkuu?

Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
 
Uchoyo tu na roho mbaya ndio maana wanatafutia na majina oooh "unajiuza" ili ujisikie vibaya usiombe, mara si umuombe mzazi wako, yeye why asimuombe mzazi wake!!!
Kama kapotezea nawe mpotezee tu, mwanaume mchoyo hivyo hata mkiingia kwenye ndoa atakuwa ni tatizo tu, ndio wale wa "nyumba yang,kochi langu,tv yangu" full uchoyo na ubinafsi.
Mmezoea kutufanya sisi ATM,sasa tumeshtuka,bora lawama kuliko hasara

Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kweli, maana sio kwa service mbovu kama hizo na mbaya zaidi wafanyakazi hawawi apologetic na wanaona kawaida tu kumbe wanafukuza wateja.
Kuna siku nilitaka kumpa kubwa air hostess mmoja wa Air Tanzania, mpaka yule air marshall akaja kunipoza.

Customer Service zetu inabidi ujiandae kisaikolojia kwanza.
 
Wanawake baadhi wamezidi mizinga,Mpaka Mtu unaogopa kumpigia simu kumpa Salam,maana hakuachi hivi hiv,lazima akuage na mzinga,shida zimekuwa shida mpaka kero,badiliken jaman

Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
 
Huyo wala hakupendi na hakuna mapenzi hapo zaid ya ngono. Mpenzi wako kukuomba hela ni kitu cha ajabu? Ni mambo ya kawaida katika mahusiano. Huyo hata akikuoa jiandae kisaikolojia maana utateseka sana. Hawa ndiyo wale wanaume baada ya kupata watoto anaoa mke wa pili na kukuacha. KUWA MAKINI UNAPOINGIA KWENYE MAHUSIANO
Oya mbona kama vile hujasoma maelezo ya huyu dada vizur,kwa ushauri tuu hebu jaribu kupitia maelezo ya jamaa kwasababu yumo humu na ya huyu manzi ndio uje ucomment tena

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mbona pesa ni kitu kidogo sana. Lbd uwe mwanaume suruali ndiyo utalalamika
MM MPENZI WANGU LAZIMA NIMPE HELA. Je, km anatoka home anakutana na mdaiwa wake? Unataka mpaka apelekwe polisi.
Wanaume wamepungua sana nyakati hizi
Ww bado hayakukuta ndg ila siku yakikukuta kila mwanamke utaemwona utahisi ndio walewale so sioni haja ya kuwatetea

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
 
Kuna siku nilitaka kumpa kubwa air hostess mmoja wa Air Tanzania, mpaka yule air marshall akaja kunipoza.

Customer Service zetu inabidi ujiandae kisaikolojia kwanza.


Hahaha!, mule mule, mpaka ATC?
Halafu ni sehemu muhimu kama hizo, sasa mtu una hela yako halafu umezoea service bomba si unaachana nao tu unaenda kwingine kwa nini usumbuke wakati unalipia?
Halafu kila kukicha malalamiko vyombo kama hivi vinakufa.
 
Wewe una machungu ya Magufuli. Nitafute PM nikupeleke likizo Bahamas ukale bata.

Halafu usimtaje bure Bi. Zuhura bila ruhusa nina wivu wa Mpemba na hasira za mkizi.

Mwenzako aliomba kuona portfolio hivi hivi akifikiri natania,alizima fegi mwenyewe nilivyomuonyesha mambo niliyofanya kwa masa matatu tu.

Kalagabaho. Zilongwa mbali, zitendwa mbali,sakala kandumbwa.
Hahaha....mimi likizo yangu huwa naimalizia hapa kayenze ufukweni, nyakati kama hizi nikishavuta zangu mpunga kwenye mifugo nampitia kiportable wangu Wankuru. Kwa rahaa zetu tunajiachia hapa batani, tunadokoa tilapia huku tukiwaona wengine kwenye maji wanacheza cheza!

Na huko Bahamas kuna mwenyeji wangu ananiambiaga fukwe zake hazina tofauti sana na Agakhan beach ya pale posta ya zamani. Ila ntakuja nihakikishe mwenyewe kabla sijaenda na wankuru.

Aisee!!! Hiyo portfolio nadhani ilikuwa combined na ya Bi Zuhura kwa huo muda yaani mpaka akazima fegi, mimi nikimuonyesha yangu hatahamiki mpaka kesho, kwanza nikianza na mifugo nilioachiwa na Mzee Ruchunguraa hauwezi ukasimama hata sekunde.

Bebeshi nang'ooo ale ntajirii
 
Aisee we kaka nimekuelewa sana na ninashukuru kwa kuelewa nilichomaanisa
Mpe bhasi nafasi ya jamaa,huyu jamaa mwenyewe kadandia tren kwa mbele hajui hata kinachoendelea ndio sababu anabaki kukusifia tuu

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
 
Hahaha!, mule mule, mpaka ATC?
Halafu ni sehemu muhimu kama hizo, sasa mtu una hela yako halafu umezoea service bomba si unaachana nao tu unaenda kwingine kwa nini usumbuke wakati unalipia?
Halafu kila kukicha malalamiko vyombo kama hivi vinakufa.
We acha tu, nisiseme sana nikaonekana mlalamishi bure hapa.
 
Kama ipo unampa hela enyewe anayoomba ya maandazi tu

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom