Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

"Asimuombe mzazi wake" nini hicho!?
Ndo maana mtafsiriwa Kama wauzaji. Na hii ni mentality mbovu kudhani kwamba kwenye mgegedo nyie ni watoaji na wanaume ni wapokeaji.

Wanawake wengi ni waongo na wamekuwa wadanganyifu, kuwa mvumilivu na usiwe mwepesi kumwomba hela, kuna wakati atakupa bila hata kumwomba (Ila kuna washenzy unaweza usipewe milele)


Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
 
Yaani hapa kuna mmoja kaniomba laki mbili, nimeshindwa hata cha kumjibu aisee...na wiki iliyopita nilimtumia laki na nusu, leo tena. .hawa watu ni nyonya Damu kabisa. ..

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
 
Yaani hapa kuna mmoja kaniomba laki mbili, nimeshindwa hata cha kumjibu aisee...na wiki iliyopita nilimtumia laki na nusu, leo tena. .hawa watu ni nyonya Damu kabisa. ..

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app

Mpe tuu mkuu Mungu atakulipa bana
 
Haha, acha kukandia Beverly Hills yetu ya Dar bwana...lol!
Masaki viunga vyangu. Kuna mtaa una jina langu huko.

Nimekuta wamejenga m Hoteli Doubletree nasikia hata mfumo wa majitaka hauna.

Sehemu imekaa poa halafu ina scandal mbaya hivyo.
 
Kuna mazingira mtu akikueleza ni lazima umuelewe. Huyu anasema walipanga kukutana halafu mmmhh sijiui ikawaje.hapo mmh kuna utata.
Kwenye maelezo yake ndipo alipokoroga ngazi,mna miadi ya kuonana then ghafla naona text naomba umtumie fulani hela mm nikija tutamalizana,ww unadhani wazo litakalo nijia kichwani ni lipi kwa wakati huo na usikute jamaa alishakutana na matukio ya namna hio

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
 
Acha kujipa moyo ila hali halisi ndio aliona ndio style kutaka kuchukua hela,ww utamuombaje mtu hela kwenye sim na mna mpango wa kuonana kama sio kutaka kumuuzia,na labda mshikaji alishakuweka kwenye kundi la wife material then bila kutarajia anashangaa mzinga wa haja huo...

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
Mbona amenipa sasa zaidi ya hiyo hela niliyomuomba......muulize akuambie
 
Acha kujipa moyo ila hali halisi ndio aliona ndio style kutaka kuchukua hela,ww utamuombaje mtu hela kwenye sim na mna mpango wa kuonana kama sio kutaka kumuuzia,na labda mshikaji alishakuweka kwenye kundi la wife material then bila kutarajia anashangaa mzinga wa haja huo...

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
Mbona amenipa sasa zaidi ya hiyo hela niliyomuomba......muulize akuambie
 
Mnajidai mko mbali na pesa kumbe ndio style ya kuomba hela,kwan huyo mtu mwenye shida ya hela huwezi kumwambia kuwa upo mbali na hapo ulipo huna hela kwenye sim ila utakaporudi mazingira rafiq basi utamtumia hela!?,achen ujanjaujanja bhana msipojirekebisha tutaendelea kuwakimbia tuu hamna namna...

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
Mbona amenipa hela zaidi ya hiyo
 
Masaki viunga vyangu. Kuna mtaa una jina langu huko.

Nimekuta wamejenga m Hoteli Doubletree nasikiahata mfumo wa majitaka hauna.

Sehemuimekaa poa halafu ina scandal mbaya hivyo.

Duh!, doubletree halafu haina mfumo wa maji taka? Umenikumbusha hotel moja ya 'Kitalii'
Kulikuwa hakuna TP, kwa siku mbili tatu mpaka karibu watu wanaondoka, ikabidi watu wawe wanatumia maji tu, kizungumkuti kilikuja kwa wale ambao sio utamaduni wao.
 
Duh!, doubletree halafu haina mfumo wa maji taka? Umenikumbusha hotel moja ya 'Kitalii'
Kulikuwa hakuna TP, kwa siku mbili tatu mpaka karibu watu wanaondoka, ikabidi watu wawe wanatumia maji, kizungumkuti kilikuja kwa wale ambao sio utamaduni wao.
Tuanzishe yetu sasa iwe na service bomba tupige hela.
 
mimi nilikua hivi ukija home napiga kwanza mzigo then nakupa unachotaka ila ukiomba kabla aise hupati that was the fomula
 
Tuanzishe yetu sasa iwe na service bomba tupige hela.


Kwa kweli, maana sio kwa service mbovu kama hizo na mbaya zaidi wafanyakazi hawawi apologetic na wanaona kawaida tu kumbe wanafukuza wateja.
 
Mwanamke akiniomba hela siku hiyohiyo tunaachana

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
 
Did you ask, why sikupokea simu? Ulipoomba ile pesa nilikwambia usubiri baada ya muda gani? Do you know nilikuwa nipo wapi na kwa situation gani? I admit you called several times, and i missed your calls, but ukatuma message ambazo hakuna mwanaume atakayeweza kuzivumilia. But nikaamua kunyanyua simu kupiga tena. Sijaanza hata kuongea kuelezea scenario nzima ukaanza kunishushia mvua ya maneno ya kejeli ambayo tangu nizaliwe hahahaaaaa it was my first time. Nilibaki kustaajabu tu haki ya mungu, nilibaki kimya as usual nikuache utawale jukwaa.
Hapa ss ndio patamu

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom