ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 8,681
- 16,279
Nanyie wenyewe muwe mnawaambia ambao tunawapiga nakuondoka,tena muda mwingine eanadhalilishwa nakupewa pesa,pale wanapoona hatuwaoi tunaenda kuoa wanawake wanaojitambua,wasilalamike,badala yake wajue kua ndio uanamke huo.Ndio uanaume huo, pambana na hali yako.