Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Hii part two inaweza ikazaa ngumi mama[emoji3][emoji3][emoji125] [emoji125] [emoji125]

brain is the beautiful part of the body.
Piganeni tuu watazamaji tuburudike

Sent from my D6603 using JamiiForums mobile app
 
Bahili tu kwani ulimwomba nyingi? Angekupa akakupima.

Binafisi sijawahi kuomba hela kwa mwanaume yeyote sio kwamba sina shida niko tiyari kukopa kwa shoga ila sio kumwomba pesa mwanaume. Wanaume wengi mibahili mwanzo mwisho bora ufe na shida zako kuliko masimango.

Hela ya viumbe hawa ni chungu sana ukimuomba anakutafutia sababu. Binti ukizidiwa kopa kwa mtu baki ila sio mpz.

Kinachonishangaza wakiwa na shida tuko tiyari kwa lolote ili mradi tuwasaidie ila wao kutusaidia waziiito kama nn.

Wanaume make mkijua kuwa nyie ndo chanzo cha wanawake kuchepuka.sisi tukipenda unasahau yote ya zamani mapenzi tunahamishia kwa mpz sasa mpz gani kaombwa pesa kasepa kimya kimya? Kwa nn mtu usimkumbuke x wako ambae alikuwa anajiongeza hata usipomwomba? Hii ndo moja ya sababu sitowahi kuomba mwanaume pesa yake.akijua nina shida atume asipotaka aache.
Usiwe hivyo bhanaa nani wa kukusikiza sasa kama sio mwenza omba kwanza akiwa hana ndo ukope mahala pengine maisha ya endelee

Sent from my LG-D838 using JamiiForums mobile app
 
Kama sijamuelewa vizuri huyo ni boy wake na imemtokea dharula huko aliko.ni kosa kumpa kampany

Sent from my LG-D838 using JamiiForums mobile app
Twende taratibu utaelewa nilichomaanisha.

Demu tumepanga tukutane. Baada ya muda ananitumia text ya kumtumia ndugu yake pesa yeye kabanwa.

Maswali kwangu.
1. Kwanini kama tunakutana asifike huku then tukaitume wawili? Hapa atajitetea huyo mtu anashida saana tena ya haraka [emoji777]
2. Je, ni njia ya kuniomba nauli? Au ni kipimo cha kunipima ninaweza kutoboka au la?

Nikishajiuliza haya na kama mahusiano yana mwezi nitakaa kimya tu. Kuombwa pesa na mpenzi wako sio vibaya ila unatakiwa uzingatie muktadha.
 
Uchoyo tu na roho mbaya ndio maana wanatafutia na majina oooh "unajiuza" ili ujisikie vibaya usiombe, mara si umuombe mzazi wako, yeye why asimuombe mzazi wake!!!
Kama kapotezea nawe mpotezee tu, mwanaume mchoyo hivyo hata mkiingia kwenye ndoa atakuwa ni tatizo tu, ndio wale wa "nyumba yang,kochi langu,tv yangu" full uchoyo na ubinafsi.
Huyu hayumo kwenye sifa za kiume kuhudumia
 
Na wewe kwa kuchochea unapenda hehehe

brain is the beautiful part of the body.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu na fani zetu, nyoyo zetu hufurahia pale tunapoona ugomvi, mifarakano na mambo mengi yasiyo mazuri.

Sent from my D6603 using JamiiForums mobile app
 
Twende taratibu utaelewa nilichomaanisha.

Demu tumepanga tukutane. Baada ya muda ananitumia text ya kumtumia ndugu yake pesa yeye kabanwa.

Maswali kwangu.
1. Kwanini kama tunakutana asifike huku then tukaitume wawili? Hapa atajitetea huyo mtu anashida saana tena ya haraka [emoji777]
2. Je, ni njia ya kuniomba nauli? Au ni kipimo cha kunipima ninaweza kutoboka au la?

Nikishajiuliza haya na kama mahusiano yana mwezi nitakaa kimya tu. Kuombwa pesa na mpenzi wako sio vibaya ila unatakiwa uzingatie muktadha.
Huyo kaka mwenyewe uzuri anajua kama sina shida muulize uambiwe.......sio kila anayeomba hela tena inamaanisha hana.....muulize atakuambia kama nina shida za kihivo
 
Huyo kaka mwenyewe uzuri anajua kama sina shida muulize uambiwe.......sio kila anayeomba hela tena inamaanisha hana.....muulize atakuambia kama nina shida za kihivo
Kila penye neno naomba pana shida bwana curious gal.

BTW, wewe ni mzuri hata akunyime.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu na fani zetu, nyoyo zetu hufurahia pale tunapoona ugomvi, mifarakano na mambo mengi yasiyo mazuri.

Sent from my D6603 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3]utakuwa na undugu na shetani si bure!

brain is the beautiful part of the body.
 
Twende taratibu utaelewa nilichomaanisha.

Demu tumepanga tukutane. Baada ya muda ananitumia text ya kumtumia ndugu yake pesa yeye kabanwa.

Maswali kwangu.
1. Kwanini kama tunakutana asifike huku then tukaitume wawili? Hapa atajitetea huyo mtu anashida saana tena ya haraka [emoji777]
2. Je, ni njia ya kuniomba nauli? Au ni kipimo cha kunipima ninaweza kutoboka au la?

Nikishajiuliza haya na kama mahusiano yana mwezi nitakaa kimya tu. Kuombwa pesa na mpenzi wako sio vibaya ila unatakiwa uzingatie muktadha.
Nimezingatia hapo kaomba mpezi wake ila ndo dharula imempata sikua ya ahadi na kwa maelezo yake yeye pia anoyo ila yipo mbali nayo hivyo njia rahisi ni kwa ubani wake

Tuko pamoja
 
Nimezingatia hapo kaomba mpezi wake ila ndo dharula imempata sikua ya ahadi na kwa maelezo yake yeye pia anoyo ila yipo mbali nayo hivyo njia rahisi ni kwa ubani wake

Tuko pamoja
Alishatangaza jimbo lipo wazi nishachukua form yangu... muda wowote nitambadilisha jina
 
Back
Top Bottom