Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Bahili tu kwani ulimwomba nyingi? Angekupa akakupima.

Binafisi sijawahi kuomba hela kwa mwanaume yeyote sio kwamba sina shida niko tiyari kukopa kwa shoga ila sio kumwomba pesa mwanaume. Wanaume wengi mibahili mwanzo mwisho bora ufe na shida zako kuliko masimango.

Hela ya viumbe hawa ni chungu sana ukimuomba anakutafutia sababu. Binti ukizidiwa kopa kwa mtu baki ila sio mpz.

Kinachonishangaza wakiwa na shida tuko tiyari kwa lolote ili mradi tuwasaidie ila wao kutusaidia waziiito kama nn.

Wanaume mwambie kuwa nyie ndo chanzo cha sisi kuchepuka.sisi tukipenda unasahau yote ya zamani mapenzi tunahamishia kwa mpz sasa mpz gani kaombwa pesa kasepa kimya kimya? Kwa nn mtu usimkumbuke x wako ambae alikuwa anajiongeza hata usipomwomba? Hii ndo moja ya sababu sitowahi kuomba mwanaume pesa yake.akijua nina shida atume asipotaka aache.
Hela ni ndogo mno niliyomuomba ila nilimshangaa sana.......uwa sipendi kuomba hela kwa mwanaume ila nilijikuta nimemuomba kutokana na situation niliyokuwa nayo
 
Uniombe hela, kwani mimi ni baba yako....[emoji34] [emoji34]
Yaani uniombe hela, utadhani wewe ni mke wangu....[emoji51] [emoji51]
Hata kama ni shida, ebu acha kusingizia mambo ya umbali wa money transactions...[emoji45] [emoji45]
Kwani hilo tatizo la hela, limekuja ghafla kama kimbunga.....[emoji15] [emoji15]
Ebu acha mambo yako bhana.....
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Mwanamke anaekupenda kweli wala haombi.unajikuta inatoka tu automatically. Siku akikwambia ujue yamemfika makubwa na ujue amewaza kuanzia asubuhi namna ya kukueleza ili umpe hiyo pesa.
Je kama na mimi yalinifika????
 
Hiyo sio shida ya pesa ila nilimuomba kwa kuwa nilikuwa mbali na hela nilikuwa nayo sema yeye ndo alikuwa mtu wa karibu angeweza kunisaidia
Na angetoa tu ndio basi tena. Pengine akili ilimwambia utajifanya umesahau kuwa umepigwa assist. Na hapo alikuwa na haki ya kudai.

Sasa jamaa alicalculate risk ya kuto lipwa na kuchomeshwa mahindi akaona isiwe shida bora akaushe tu
 
Uchoyo tu na roho mbaya ndio maana wanatafutia na majina oooh "unajiuza" ili ujisikie vibaya usiombe, mara si umuombe mzazi wako, yeye why asimuombe mzazi wake!!!
Kama kapotezea nawe mpotezee tu, mwanaume mchoyo hivyo hata mkiingia kwenye ndoa atakuwa ni tatizo tu, ndio wale wa "nyumba yang,kochi langu,tv yangu" full uchoyo na ubinafsi.
 
Bahili tu kwani ulimwomba nyingi? Angekupa akakupima.

Binafisi sijawahi kuomba hela kwa mwanaume yeyote sio kwamba sina shida niko tiyari kukopa kwa shoga ila sio kumwomba pesa mwanaume. Wanaume wengi mibahili mwanzo mwisho bora ufe na shida zako kuliko masimango.

Hela ya viumbe hawa ni chungu sana ukimuomba anakutafutia sababu. Binti ukizidiwa kopa kwa mtu baki ila sio mpz.

Kinachonishangaza wakiwa na shida tuko tiyari kwa lolote ili mradi tuwasaidie ila wao kutusaidia waziiito kama nn.

Wanaume make mkijua kuwa nyie ndo chanzo cha wanawake kuchepuka.sisi tukipenda unasahau yote ya zamani mapenzi tunahamishia kwa mpz sasa mpz gani kaombwa pesa kasepa kimya kimya? Kwa nn mtu usimkumbuke x wako ambae alikuwa anajiongeza hata usipomwomba? Hii ndo moja ya sababu sitowahi kuomba mwanaume pesa yake.akijua nina shida atume asipotaka aache.
Wenzako wanapewa bila hata ya kuomba.mwanamke ukishakuwa na tabia kama paka shume hela ya mwanaume anaejitambua utaisikia tu.
 
Uniombe hela, kwani mimi ni baba yako....[emoji34] [emoji34]
Yaani uniombe hela, utadhani wewe ni mke wangu....[emoji51] [emoji51]
Hata kama ni shida, ebu acha kusingizia mambo ya umbali wa money transactions...[emoji45] [emoji45]
Kwani hilo tatizo la hela, limekuja ghafla kama kimbunga.....[emoji15] [emoji15]
Ebu acha mambo yako bhana.....
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Kwani we unavyomuomba ni mkeo au mama yako?
Hivi shida huwa ina muda au taarifa!!! Mbona mnakuwa na roho mbaya hivyo!!
 
Uniombe hela, kwani mimi ni baba yako....[emoji34] [emoji34]
Yaani uniombe hela, utadhani wewe ni mke wangu....[emoji51] [emoji51]
Hata kama ni shida, ebu acha kusingizia mambo ya umbali wa money transactions...[emoji45] [emoji45]
Kwani hilo tatizo la hela, limekuja ghafla kama kimbunga.....[emoji15] [emoji15]
Ebu acha mambo yako bhana.....
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Ila nyinyi mkiwa na shida zenu mnataka kupewa bila pingamizi.....OMG
Ndio lilikuja ghafla na sikumlazimisha anipe sema alichonishangaza mimi nampigia simu nimwambie mambo mengine yeye anaogopa kupokea yani alinichekesha kwa kweli maana nilimuona hajielewi
 
Mimi sipendi kabisa mwanamke aniombe pesa.naijisikia raha sana nikitoa bila kuombwa. Yaani ukiniomba naona kama unataka tufanye biashara fulani hivi. Am sorry girls kama hamtopendezwa na tabia yangu.
 
Na angetoa tu ndio basi tena. Pengine akili ilimwambia utajifanya umesahau kuwa umepigwa assist. Na hapo alikuwa na haki ya kudai.

Sasa jamaa alicalculate risk ya kuto lipwa na kuchomeshwa mahindi akaona isiwe shida bora akaushe tu
Hahahahahaaaaaa yani alinichekesha sana nikamuona wa ajabu ila nashukuru nimeweza kumjua ni mtu wa aina gani na tungepotezeana muda tu
 
wanawake na nyie mnatia sana aibu, yaan ukishapata kibwana tu bas unaona ndio suluhisho la matatizo yako yooooote!! ebu badiliken bhana hv hamuon kama usawa huu wa msukuma haujakaa vzr? uyo mwanaume mwenyewe unaempiga kizinga nae anamajanga yake sema anaamua kukaza tu sasa iweje akusaidie ww? tukaushien bhana
 
Back
Top Bottom