General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,187
Hahahahaha!!!Tatizo Mangi unaanglia watu wanaolipwa mshahara.
Magi unaniangusha.
Hahahahaha!!!Tatizo Mangi unaanglia watu wanaolipwa mshahara.
Magi unaniangusha.
Walimu wanalipwa hela mbuzi sana, wengi wao wanalipwa around $60,000 - $65,000.Mkuu Kwa Mwalimu mwenye bachelor aliye ajiriwa US kwenye shule za serikali analipwa bei gani kwa mwezi?
Utaratibu wa huko ni kama huku Bongo mpk mwisho wa mwezi?
Nimeona ni annual salary.Walimu wanalipwa hela mbuzi sana, wengi wao wanalipwa around $60,000 - $65,000.
Kutegemea na mazingira,wengine wanalipwa as low as around $40,000 na as high as around $90,000
Cha ajabu, hawatofautiani sana na ma Profesa wa Vyuo wa kozi zisizona misuli.
Halafu nikiangalia Bongo Profesa mtu wa ujikosana nacheka sana.
See How Much Can a High School Teacher Expect to Get Paid?
Inategemea na mji uliopo na maisha unayotaka kuishi.Nimeona ni annual salary.
USD 60,000/12 = USD 5,0000= TSh 11,000,000/=
Je na gharama ya maisha ya kawaida kwa mtu mwenye mtoto mmoja na mke, kodi ya pango kwa nyumba ya kawaida ipoje?
Ila huku kwetu kwenye leafy suburbs hatutaki gozigozi, nyumba moja, magari mawili
Hahaha, NSA wa Magu wanakuona hivyo.
Just got home few minutes ago.
Does this qualify as a leafy suburb?
Taken about half an hour ago.
View attachment 539182
View attachment 539183
Mimi mwanamke masikini masikini anayeomba omba hela simtaki.
Kwa sababu mimi si masikini masikini ninayeombaomba hela.
Ila bi Zuhura nimempa kadi yake ajinafasi anavyotaka.
Na hana ulimbukeni wa kutokwa macho mtoto wa watu.
Ba Zuhura hahahaInategemea na mji uliopo na maisha unayotaka kuishi.
Uzuri wa Mnyamwezi kila kitu kipokwenye mtandao anagalia hapa Cost of Living in United States.
Ila huku kwetu kwenye leafy suburbs hatutaki gozigozi, nyumba moja, magari mawili, mke na mtoto mmoja, summer camp, movies, restaurants, trips to the beach, mizinga bongo etc kutegemea na utakavyojipanga, kutumia $10,000 kwa wiki au mwezi sijambo la ajabu.
Mwezi utakaonunua 65 inch LG OLED TV kabla ya mahesabu mengine ushatumia takriban $ 5000.
I just refurnished my living roomand morning room and spent a cool $5,000 just like that, and I was being super frugal.
Wewe una machungu ya Magufuli. Nitafute PM nikupeleke likizo Bahamas ukale bata.Al-watan.
Acha kutuzuga hapa huna hela wewe ndio maana una maneno mengi kama mwalimu mmoja wa history aitwae Kinchuri pale Mwanza secondary.
Huna mabovu wewe acha mikwara hata huyo bi Zuhura naskia ndio anaekulipia kodi ya pango!
Shukuru kumpata bi Zuhura vinginevyo ungekuwa usharudi huku kula vumbi la chamwino.
Ahaaaa....Tombinah.
Hivi Masaki kuna maji siku hizi?Ba Zuhura hahaha
Al-Watan bhana
Bongo bahati mbaya Hollywood yetu masaki.
Hivi Masaki kuna maji siku hizi?
Mnajidai mko mbali na pesa kumbe ndio style ya kuomba hela,kwan huyo mtu mwenye shida ya hela huwezi kumwambia kuwa upo mbali na hapo ulipo huna hela kwenye sim ila utakaporudi mazingira rafiq basi utamtumia hela!?,achen ujanjaujanja bhana msipojirekebisha tutaendelea kuwakimbia tuu hamna namna...Hiyo sio shida ya pesa ila nilimuomba kwa kuwa nilikuwa mbali na hela nilikuwa nayo sema yeye ndo alikuwa mtu wa karibu angeweza kunisaidia
Maji yapo...Hivi Masaki kuna maji siku hizi?
Nilikuwa naenda likizo kwa Bibi huko.Maji yapo...
Ama kweli uliondoka zamani sana.
Acha kujipa moyo ila hali halisi ndio aliona ndio style kutaka kuchukua hela,ww utamuombaje mtu hela kwenye sim na mna mpango wa kuonana kama sio kutaka kumuuzia,na labda mshikaji alishakuweka kwenye kundi la wife material then bila kutarajia anashangaa mzinga wa haja huo...Nimeshampotezea muda tu.......mimi hajaniboa kutonipa hela ila kwanini alikuwa hapokei simu yani hapo ndo nikamuona huyu hajielewi