Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

Naomba kueleweshwa kuhusu hii tabia

That Moment when Sanogo is trying to impress Wenger...[emoji23] [emoji23]
Teh
What the heck are u writing buddy?
Don't be stupid buddy
Kuombwa hela ndiyo unatokwa povu hivyo? Nipe namba zake nikusaidie
mwenzio nikuombwa hela ndiyo nafurahi
 
Nakumbuka mwaka Jana nilikuwa naenda Morogoro kwenye siti niliyokaa nilikaa na mrembo matata sana basi katika stori mbili tatu nikaomba phone number mtoto akanipa.Basi katika kuwasiliana siku nikaomba gemu kwa mtoto,akakubali lakini akanza kutangaza shida zake,nyambavu zake nikatupia kapuni basi wacha aanze kulia ooh mi nilikuwa nakutega,Mara nakupima kama kweli unanipenda.Kupendana kwenye hela
Hivi kati ya mwili na pesa kipi kina thamani mkuu?

Sent from my LG-D838 using JamiiForums mobile app
 
Uchoyo tu na roho mbaya ndio maana wanatafutia na majina oooh "unajiuza" ili ujisikie vibaya usiombe, mara si umuombe mzazi wako, yeye why asimuombe mzazi wake!!!
Kama kapotezea nawe mpotezee tu, mwanaume mchoyo hivyo hata mkiingia kwenye ndoa atakuwa ni tatizo tu, ndio wale wa "nyumba yang,kochi langu,tv yangu" full uchoyo na ubinafsi.

Tatizo unaomba wakati gani,.. Akili ya picha tu huna,?
 
Katika kosa la kimaumbile ambalo huwa naona wanawake hawakui na hawajakamilika ni hili la mahusiano.
Jambo hili kwa mwanamke halina umri, kwamba akifikia umri fulani ataacha udhaifu wa kuombaomba misaada, hakuna. Na hili hupelekea kupeoerusha ndege wengi. Ni ajabu sana.
Hili nitalieleza vizuri.
Automatic wanawake wote duniani wameji"group".
Kuna wanandoa, wasioolewa(wasimbe, kwa ujane ama kutokujaaliwa),malaya na makahaba.
Wote ukikutana nao barabarani ni wanawake sawa ingawa wengine huonesha group lao mapema.
Ni mwanamke group la ndoa, ndiye pekee anayeweza kutegemea kutunzwa na mumewe %100.
Ma group mengine yote huingia kimahusiano na mwanamume kimkataba na makubaliano maalumu na si kupeana majukumu.
Kwa mfano malaya ama kahaba anayefanya mapenzi kibiashara, utakuta anamdai mteja ama hawara yake stahili za mke!
Utamsikia akiuliza, " unajua nakula nini, navaa nini" ebo! Hivi kulala na mwanamke kahaba tena kwa malipo, hapo unabebeshwaje majukumu mengine ya kifamilia?
Ni vurugu tupu.
Naachia hapa, lakini kama mwanamke haujaolewa, unastahili kujibeba mwenyewe.
Siyo kutegemea kutunzwa na wanaume ambao si waume zenu.
Kuna vitu havita geuka ndo maumbile mwanaume halisi ni yule anaelinda mwanamke iwe ana kazi au hana hayo mengine ni shida zetu tu ndo zinasababisha tutengeneze sababu za kuwanyima

Hivi uombwe elfu 15 kweli na mtu anae kuvulia chupi uzime cm unamuweka kundi gani huyo?
 
Teh
What the heck are u writing buddy?
Don't be stupid buddy
Kuombwa hela ndiyo unatokwa povu hivyo? Nipe namba zake nikusaidie
mwenzio nikuombwa hela ndiyo nafurahi
Nashangaa sana wanamshutumu mtoto wa kike kuomba kwa ni vile uwezo hatuna ilibidi tuwakatie mafungu kila wiki kwa ajili ya dharula za kibinaadam
 
Nashangaa sana wanamshutumu mtoto wa kike kuomba kwa ni vile uwezo hatuna ilibidi tuwakatie mafungu kila wiki kwa ajili ya dharula za kibinaadam
Mkuu mahusiano bila kusaidiana siyo mahusiano ni utapeli.
Watu wanatokwa mapovu kisa wameombwa hela. Hela kitu gani bwana. Usipompa mpenzi wako hela anataka nani ampe?
This is a childish behaviour. Jamaa nimemwambia km hataki kumpa hela anipe namba zake
 
The guy's wrong, kwani angesema hana angekufa? After all, kama umekaa na mtu katika mahusiano lazima umjue, kama ni muombaji kila mara of course inakera, lakini once in a while akiwa na shida you've got to help. Huwa napinga sana kuhonga honga ovyo, coz at the end kuhonga kunapoteza direction hasa kwa nyakati hizi, lakini mtu mliyeshibana..just assist her.

Ukweli ndio msingi wa mahusiano mazuri, sema kweli leo sina, tafuta njia nyingine utatue shida yako, sio kukimbia tatizo kirahisi hivyo
 
Mkuu mahusiano bila kusaidiana siyo mahusiano ni utapeli.
Watu wanatokwa mapovu kisa wameombwa hela. Hela kitu gani bwana. Usipompa mpenzi wako hela anataka nani ampe?
This is a childish behaviour. Jamaa nimemwambia km hataki kumpa hela anipe namba zake
Ajabu mtu anaona pesa nikubwa kuliko mtu ambae huvua nguo kwa ajili yake

labda sijui matumizi ya pesa
 
Teh
What the heck are u writing buddy?
Don't be stupid buddy
Kuombwa hela ndiyo unatokwa povu hivyo? Nipe namba zake nikusaidie
mwenzio nikuombwa hela ndiyo nafurahi
Nimependa ulivyojaribu kuelewa [emoji23] [emoji23]
Maana katika hili so far I have sided wit neither. Sasa ukinihusisha katika ulaji wa sabuni hunitendei haki kiongozi

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Nimependa ulivyojaribu kuelewa [emoji23] [emoji23]
Maana katika hili so far I have sided wit neither. Sasa ukinihusisha katika ulaji wa sabuni hunitendei haki kiongozi

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Teh teh teh
Unajua rafiki yangu maisha yana mambo mengi. Tuachane na hayo.
Naomba namba zake mkuu. Nahitaji mke nahisi huyu atanifaa sana
 
Ajabu mtu anaona pesa nikubwa kuliko mtu ambae huvua nguo kwa ajili yake

labda sijui matumizi ya pesa
Ndiyo hapo hata mm nashangaa. Tangu mahusiano yaanze haujawi ombwa ila juzi tu umeombwa unakaa kimya.
Mapenzi ni upendo wa dhati ulio ktk kweli. Km hana anasema tu kuliko kuuchuna.
 
kila mtu akibaki na hela na viungo vyake hakutakua na tatizo
 
kuna dharura usiseme hivyo. Dunia duara

Huyo anaandika huku anaweka kuwa akipewa atapokea eeeeh

Uone kuwa ni muongo tu anapenda pesa za wanawake, kama hapendi angeandika kuwa hapokei pesa ya mwanamke.
 
Huyo anaandika huku anaweka kuwa akipewa atapokea eeeeh

Uone kuwa ni muongo tu anapenda pesa za wanawake, kama hapendi angeandika kuwa hapokei pesa ya mwanamke.
haaha na wenye misimamo hii huwaga hawana kitu. Wanajibaraguza
 
Mimi mwanamke masikini masikini anayeomba omba hela simtaki.

Kwa sababu mimi si masikini masikini ninayeombaomba hela.

Ila bi Zuhura nimempa kadi yake ajinafasi anavyotaka.

Na hana ulimbukeni wa kutokwa macho mtoto wa watu.
 
Huyo anaandika huku anaweka kuwa akipewa atapokea eeeeh

Uone kuwa ni muongo tu anapenda pesa za wanawake, kama hapendi angeandika kuwa hapokei pesa ya mwanamke.
Hahaha nikipewa napokea ndio.kwani nimeomba?
 
Back
Top Bottom