Na sisi hatutaki kuombwaombwa hela hovyo,tuna majukumu mengi kama nyie ambavyo mna majukumu,fanyeni kazi mjiingizie kipato,mambo yakutegemea wanaume jwanza yanashusha heshima,mi sioni sababu yawewe kushindwa kukopa nakusubiria mwanaume ndiye atatue shida zako.Wanawake mfike mahali mjitambue,msiishie kuvaa mawigi tu nakujipara halafu mnakua mnajidhalikisha.Wanawake wengine wanaona kabisa mnafanya kazi kwenye taasisi moja,kipato ni kilekile,lakini anataka eti keasababu ulishamlamba,uwe unasimamia bill zote,anashindwa kujiuliza kama mimi au sisi wanaume pia tunayo majukumu.Kupendapenda vya dezo ndiyomaana mnadhalilishwa kwakufanyiwa vitu vibaya na michepuko kwasababu inakua kama mnalipizwa.