Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,402
- 191,524
Mjasiliachupi huyu...halafu anajitia kukaza kama kaonewa vile!Hata kama ungekuwa tanga na Jamaa yupo dar,niwajibu wako ww kumove kwenda kwa mpenzi wako Kwa gharama zako mwenyewe.
Hizo ulizomletea Jamaa ni style za wale wadada wanaotumia papuchi zao kama source of Income.
Nampongeza Mshkaji kwakustukia