Kwa humu jukwaani, Great thinker ni mtu mwenye uelewa mpana wa mambo mengi ya kawaida na hata yale ya kisayansi. Mtu anayeweza kutoa majibu kwa yale wengine wanaona hayana majibu au kuelezea mada kwa ushahidi na sio kwa porojo....Na uzuri ni kuwa kila mmoja anajiona "griti sinka"🤣🤣🤣🤣🤣
Umeeleweka, sasa Leta hizo mada zao za hao unaowaona great thinkersKwani humu jukwaani huwa unakuja kuzurura? Nashindwa kutofautisha kati ya watu na viatu?
Hii tafsiri umeitoa wapi?Kwa humu jukwaani, Great thinker ni mtu mwenye uelewa mpana wa mambo mengi ya kawaida na hata yale ya kisayansi. Mtu anayeweza kutoa majibu kwa yale wengine wanaona hayana majibu au kuelezea mada kwa ushahidi na sio kwa porojo....
Lakini pia ni mtu ambaye hata kukitokea ubishi anajibu kwa hoja na sio kwa nguvu au kwa matusi;
na sifa muhimu zaidi...huwa hana msamiati unaitwa matusi....
Huu sio uzi wa kuanza kujadili member mmoja mmoja, kama hujui nani ni great thinker na umekaa humu kwa miaka basi tulia pembeni wenye uzoefu waseme. Toka 2018 na hujui?Umeeleweka, sasa Leta hizo mada zao za hao unaowaona great thinkers
nimeutoa kwa Great thinker...Hii tafsiri umeitoa wapi?
Je mtu akiwa na matusi ndo inamuondolea kigezo cha kuwa great thinker?Kwa humu jukwaani, Great thinker ni mtu mwenye uelewa mpana wa mambo mengi ya kawaida na hata yale ya kisayansi. Mtu anayeweza kutoa majibu kwa yale wengine wanaona hayana majibu au kuelezea mada kwa ushahidi na sio kwa porojo....
Lakini pia ni mtu ambaye hata kukitokea ubishi anajibu kwa hoja na sio kwa matusi;
na sifa muhimu zaidi...huwa hana msamiati unaitwa matusi....
Taarabu kibao, na huna pointHuu sio uzi wa kuanza kujadili member mmoja mmoja, kama hujui nani ni great thinker na umekaa humu kwa miaka basi tulia pembeni wenye uzoefu waseme. Toka 2018 na hujui?
mi sijawahi utaka, hauonagi upuuzi wangu eeh😆🤣🤣🤣 kwahiyo huutaki ugriti sinka tena?
Au sio!nimeutoa kwa Great thinker...
thank you for mentioning me boss. Na hata wewe u can be a great thinker too. Kikubwa tu ujiamini kwa unachokifanya au kukiongea bila kusahau msimamo wako.
Kwangu mimi, Great Thinker ni yule anayejadili hoja kwa mantiki, ushahidi na mtazamo mpana bila kushambulia watu. JF ina members wengi wenye uwezo huo, na mara nyingi hoja nzuri ndiyo hunifanya nikubali mtu ana fikra pana kuliko jina lake. 👏Kwa sisi wenye kuleta mada fikirishi, na kwa faida ya member ambao wanahitaji wa kupata suluhu ya jambo, au kupata like minds, ambao wanaweza kujadili vitu kwa mapana. Inaweza hata kuwa mwanzo wa kupata idea zenye kisaidiana kwenye hustle zetu za kila leo.
Naomba leo tuwekane wazi ni wakina nani waki comment wanakupa ile activation ya kufikiria zaidi?
Mtag tumjue na ikiwezekana mwekee na u genius wake unapotea wapi. Ili tujue namna ya kumtumia endapo unataka kujua kitu katika angle hiyo..
Tiririkeni wakuu.
wewe mtu umemuombea lissu kama tulivyosema au n kutafuta great thinkers jf my friend. Tusimame na lissu kwa maombi
Nimemention tu mkuu kwa upande wanguKuwekwa kundi moja na kina Seran hiyo ni omission or contradiction?