denoo G
JF-Expert Member
- Apr 4, 2026
- 1,156
- 3,697
Sana tena mno..Tena huyu kiumbe ndo hata sio wa kufikiria kabisa, sema huwa kanajizima data tu ila ana akiri nyingi akiamua ku focus.
Sana tena mno..Tena huyu kiumbe ndo hata sio wa kufikiria kabisa, sema huwa kanajizima data tu ila ana akiri nyingi akiamua ku focus.
kama alirithi na bado akaziendeleza vizuri na zikakua zaidi basi huyo ana akili kubwa sanawaliorithi pesa nao unasemaje?
hivi hii dhana ya kuitana ma griti sinka ilitokana na nini?
Sasa huo muda wa kusaka thread mbongo anatoa wapi, kukiwa labda ataje then watu waaprove au wakatae that's it.Mada kama hizi kwa mtu ambaye ni Great thinker hawezi kuzipokea bila ushahidi.
Hapa inatakiwa ukimtaja mtu uweke na ushahidi wa mada zake mbili au tatu zilizokufanya wewe uone ni Great thinker ili na wengine wakuunge mkono; hii kutaja taja tu; haiendani na Great thinker....
ooh kumbe!,, asante kwa ufafanuziJF ni "User generated content", wanachama ndio watoa taarifa, watoa habari, watoa maoni, wafichuzi wa maovu, hoja mbalimbali za kunoa bongo za kila nyanja. Kazi ya mods, ni kuhariri na kusimamia jukwaa tuu na sheria zake.
Kahusu swali lako ni kwamba; Jukwaa hili lilikuwa linajitambulisha kabisa kuwa ni "The home of great thinkers".
Na ni kweli jukwaa hili kwa kipindi flani likawa ni kitovu cha fikra, mijadala ya kujenga, tafiti mbalimbali. Kutokana na mijadala hiyo JF, ilichukuliwa kama sehemu ambayo watu wenye upeo mkubwa, uwezo wa kujenga hoja, kunoa bongo na ufichuzi wa maovu ndio kwao.
Kwa hiyo "Great thinkers" ni dhana iliyojengwa na jukwaa hili hili kutokana na mijadala, fikra pevu, uwezo wa kujenga hoja, uelewa mpaja wa wanachama wakw kwemye mambo mbalimbali.
Ndio dhana hiyo ikajengeka "JamiiForums; The home of great thinkers". Hii ilikuwa ni utambulisho rasmi kabisa wa jukwaa hili miaka flani. Ukiingia tuu ulikuwa unakutana na kauli mbiu hiyo, ambayo ilikuwa inaakisi mijadala na wanachama.
Sasa huo muda wa kusaka thread mbongo anatoa wapi, kukiwa labda ataje then watu waaprove au wakatae that's it.
Wewe apo!Kwa sisi wenye kuleta mada fikirishi, na kwa faida ya member ambao wanahitaji wa kupata suluhu ya jambo, au kupata like minds, ambao wanaweza kujadili vitu kwa mapana. Inaweza hata kuwa mwanzo wa kupata idea zenye kisaidiana kwenye hustle zetu za kila leo.
Naomba leo tuwekane wazi ni wakina nani waki comment wanakupa ile activation ya kufikiria zaidi?
Mtag tumjue na ikiwezekana mwekee na u genius wake unapotea wapi. Ili tujue namna ya kumtumia endapo unataka kujua kitu katika angle hiyo..
Tiririkeni wakuu.
Na uzuri ni kuwa kila mmoja anajiona "griti sinka"🤣🤣🤣🤣🤣hivi hii dhana ya kuitana ma griti sinka ilitokana na nini?
kama mpo group moja na wakina haszu na yule bint tz mi mnishushe tu😆😆😆Na uzuri ni kuwa kila mmoja anajiona "griti sinka"🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣MALCOM LUMUMBA
Huyu member anaandika uzi mrefu lakini fact tupu..!!
Hajawahi kuwa na minyege ya hovyo jukwaani wala kuleta mizaha..!!
😹😹😹 Mliobaki wote mapampula ukweli usemwe..!!
Mimi naona muda mwingine mawazo yao na ubora wa kufikiri wao upo kwenye comments hasa hasa na wasomaji ndo wanaelewa kwa ukubwa zaidiUkiandika jina lake tu hapo kwa search.... mada zake zinakuja na unatuwekea ushahidi.... tofauti na hapo unakosa sifa ya kutaja mtu kama Great thinker....
Ukishasema mada ni ya Great thinker...ni vizuri tuende na mtazamo wa Great thinker...
🤣🤣🤣 kwahiyo huutaki ugriti sinka tena?kama mpo group moja na wakina haszu na yule bint tz mi mnishushe tu😆😆😆
Kwa sababu wewe hauwezi kuona ubora wa mawazo ya mtu, ndo ufikiri kila member yuko kama wewe?Wekeni na hizo sababu za kuwaona ni great thinker, humu Unaweza kuandika upumbavu ili kuwafurahisha wapumbavu na wapumbavu hao wakakuona great thinker
Ndio mlete hayo mawazo yao sasa tuyaoneKwa sababu wewe hauwezi kuona ubora wa mawazo ya mtu, ndo ufikiri kila member yuko kama wewe?
Acha kujilinganisha na watu wenye akili wewe winga.MALCOM LUMUMBA
Huyu member anaandika uzi mrefu lakini fact tupu..!!
Hajawahi kuwa na minyege ya hovyo jukwaani wala kuleta mizaha..!!
😹😹😹 Mliobaki wote mapampula ukweli usemwe..!!