Nani awe 'JF Miss Chit-Chat' mwaka 2012?

Nani unampa kura yako kama Miss Chit Chat 2012?

  • Cacico

    Votes: 27 11.2%
  • Remmy

    Votes: 7 2.9%
  • Madame B

    Votes: 40 16.5%
  • Ciello

    Votes: 5 2.1%
  • Charminglady

    Votes: 115 47.5%
  • Arabela

    Votes: 48 19.8%

  • Total voters
    242
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Utaratibu ni mzuri, ila kwa nini hamjaweka option ya hakuna anayefaa kati ya hao? Kuna weengine hatuwajui wote. Mbona Mwali hauypo?
 
Please keep on voting for charminglady.

Tafadhali endelea kupiga kura kwa charminglady.

Por favor,tenga en votar a favor de charminglady.

请继续投票charminglady.

LENGO LETU NI charminglady afike zaidi ya 50%.Kwa msaada wa Mungu tutaweza na kwa kura yako tutafikia LENGO.
Pamoja Tunaweza!!
 
Last edited by a moderator:

Mercy daddy!!!!
 
Last edited by a moderator:

Ntumeeeeeeeeeeeee:A S 109::A S 109::A S 109::A S 109::A S 109:
 
glad to know you okay pumpkin....maana mtoto akiumwa daddy anakuwa na huzuni!
Ooooh my God daaad u av reminded me of sm one by calling me dat naaaame
Da im starving wana prepare some thing to feed my stomach
 
Ooooh my God daaad u av reminded me of sm one by calling me dat naaaame
Da im starving wana prepare some thing to feed my stomach

mmh usiache nami kuniwekea daughter....kila mara hupenda jinsi mnavyopika daughters wangu...hapa bado nina taswira ya yale mapochopocho aliyopika juzi you other sis charminglady lol...
 
Last edited by a moderator:
Hii si sawa yaani wewe wewe unaandandaa shindano na wewe wewe unakuwa kampeni manager

mkuu naomba uoneshe wapi nimepost hiyo comment,...acha mchezo mchafu, acha mbinu ya kuchukua post yangu kisha uka edit, si mchezo mzuri,...unanikwaza sana mkuu naomba utoe idhibitisho wapi nimepost kitukama hicho vinginevyo sitakuelewa hata kidogo
 
mbona mimi nashindwa kuvote?

mkuu kama unatumia jf mobile(yaani simu) huwezi isipokuwa tu mpaka ubonyeze hapo kwenye "Desktop" kisha ndio unaweza kuvote.lakini pia unaweza kutumia Computer.kifupi ni kuwa ukiwa kwenye jf mobile huwezi kuvote
 
mmh usiache nami kuniwekea daughter....kila mara hupenda jinsi mnavyopikwa daughters wangu...hapa bado nina taswira ya yale mapochopocho aliyopika juzi you other sis charminglady lol...
yeaaah dad hapana chezeiyer cl my sis. Mekuwekea hata ivo
 
Last edited by a moderator:
heheheeeeeiyaaaa........!!! kazi ndio imeanza,kampeni manager wa Arabela ndio naanza kazi

ulimaanisha nini acha jazba mkuu wapi na mimi nimeedit post yako unawezaweka ushaidi hapa maali nimeedit post yako basi mod nipige ban ya maisha
mkuu naomba uoneshe wapi nimepost hiyo comment,...acha mchezo mchafu, acha mbinu ya kuchukua post yangu kisha uka edit, si mchezo mzuri,...unanikwaza sana mkuu naomba utoe idhibitisho wapi nimepost kitukama hicho vinginevyo sitakuelewa hata kidogo
 
Last edited by a moderator:
Bora wewe useme mkuu....

mkuu ninomba kuoneshwa wapi nimepost kitu cha namna hiyo?....tuwe wawazi...mkuu watu8 wewe ni mwingoni mwa member ninaye kuheshimu sana naamini utatoa ushirikiano katika kuleta ushahidi,sipendi kuchafuliwa kwa sababu ambazo kwenu mnazani zinawapa faida,leta ushahidi na kama ni kweli naomba nipewe ban ya maisha
 
Last edited by a moderator:
ulimaanisha nini acha jazba mkuu wapi na mimi nimeedit post yako unawezaweka ushaidi hapa maali nimeedit post yako basi mod nipige ban ya maisha

ni lazima kuwa na jazba mkuu kitalolo,hili siwezi kuliacha likapita hiv hivi,naomba link ili watu wanihukumu maana hii sio fair
 
Last edited by a moderator:
heheheeeeeiyaaaa........!!! kazi ndio imeanza,kampeni manager wa Arabela ndio naanza kazi

ni lazima kuwa na jazba mkuu kitalolo,hili siwezi kuliacha likapita hiv hivi,naomba link ili watu wanihukumu maana hii sio fair


mkuu hacha hizo hapo juu ulimaanisha nini kujiita kampeni manager wa arabela?
mimi binafsi sijakuelewa labda unieleweshe na wewe umekuja na shutuma kuwa nimeedit post yako ili nikusingizie nionyeshe ushahidi wa post yako niliyoiediti na kama kama hii hapo juu sio post yako labda uniambie kuna mtu mwingine anajiita Ruhazwe JR
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…