Nani awe 'JF Miss Chit-Chat' mwaka 2012?

Nani awe 'JF Miss Chit-Chat' mwaka 2012?

Nani unampa kura yako kama Miss Chit Chat 2012?

  • Cacico

    Votes: 27 11.2%
  • Remmy

    Votes: 7 2.9%
  • Madame B

    Votes: 40 16.5%
  • Ciello

    Votes: 5 2.1%
  • Charminglady

    Votes: 115 47.5%
  • Arabela

    Votes: 48 19.8%

  • Total voters
    242
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Ruhazwe vp kampeni chafu inaruhusiwa? nataka ianze kuchafua hali ya hewa hapa, naona nashindwa hivihivi.

We fanya uwezavyo, atakayeshindwa atakata rufaa mwenyewe sio kutegemea wapiga kura,na waeleze ni namna gani kampeni chafu zilivyoathiri uchaguzi.
source: Mahakama ya rufaa
 
thamnks mkuu,nashukuru kwa msaada wako wewe pamoja na Moderator
haiwezekani contestants wakawa hao hao kila awamu yu shuld pic another .sijafurahia uchaguzi huo .umewapataje ciello alikuwa miss chitchat last month leo tena umemrudisha kha ,napinga kabissa huu uchaguzi
Ruhazwe JR be smart and professional a little bit.wote hao walishagombea lol unawang'ang'aniza ya nini lol
 
Last edited by a moderator:
nivea naomba upitie kwanza maelezo kadhaa hapo juu na therad moja inayosema "yafahamu haya juu ya mashindo ya umiss chitchat" kisha ndio urudi hapa.kwakua nimegundua hujui tunafanya nini sasa baada ya kumaliza nini
 
Last edited by a moderator:
Napenda kuwahamasisha wote ambao wanaupitia huu uzi,haya ni mashindano ya kumsaka miss jf chitchat 2012,kama bado hujapiga kura yako huu ni muda muafaka wa kupiga kura yako kumchagua Madame B asanteni sana
 
Last edited by a moderator:
Muone huyu bibi nae, ningekuwa na sura mbaya ndo ungekuwa unanivurumishia maPM ya kunitaka!?? au ndo sizitaki mbichi hizi!!!!?

akutake nani wewe mtu mwenyewe unatembea upande upande utafikiri umetoka jandoni,
na bado, Hilo trela tu.......................laja.
 
Hapo kwenye red itakuwa ni tarehe moja januari.......... ungeandika mwisho ni saa 5:59 usiku tarehe 31
 
Last edited by a moderator:
nilipotea kidogo,
nasikia keshatafuta wengine, sina hamu. ngoja nami nitafute wengine, kama uzuri nami ninao, na nayaweza vilevile.


Fanyafanya mambo basi Remmy,si unajua inawezekana kubadilisha kura,hii si kama ile ambayo ukishatumbuiza ndio basi tena..
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu binafsi......

Kwa heshima bila kuzima taa najitokeza mbele zenu kuomba kura....
Wapi familia yangu pendwa nikinzia kwa my lovely daddy watu8 & mrs. wake measkron? kura ziende kwa mwanenu mpendwa mumpendae kuliko wote charminglady.....

Dada zangu wapendwa saaaaaana sweetlady, WiseLady mpo wapi sis?????? mjue mdogo wenu nawahitaji sana.......

Kaka yetu wa hiyari Davie S.M uko wapi hebu ukuye pande hizi tafadhali.....

Cousin zetu FirstLady1,,, ladyfurahia songesheni vidole vyenu kunako poll jamani.....


Mashostitoo wa ukwenheeee!!!!!! watu weweeeee
Elizabeth Dominic,,,, Evelyn Salt,,, beibe nasty cam zis wei puliz.....

Heheheeeiyaaaaa JF wa mwanza mjue leo ndo leo asemaye kesho muongo....... Lile chimbo ndo lafunguliwa rasmi.... nitawapeni ofa ya vinywaji ila kula kwenu plz!!!! Sogeeni kwenye poll jamani.... wapi ThinkPad,,, tameer Nicas Mtei kama bado upo piga kura yako afu badae untafute nkupeleke chimbo na wengineo.....

Erickb52 asante kwa kura yako....
 
Last edited by a moderator:
Ohooooooo ngoja nije fasta nikuwahishe hospitali mana dokta aliniambia ukianza sikia maumivu ya tumbo ujue siku ndo hizo za kuleta kiumbe kipya duniani zimewajia

Nakusubiri mpenzi wangu, fanya hima si unajua nina :baby::baby: wako!!!
:busu: :busu: :busu: Chimbuvu wangu.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom